Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Le Mutuz angekuwa aliuawa kwa haya manenoManeno yangekuwa yanaua, tungeua wengi!
sindiyo comedy mkuu. Ukiekti comedy hata Akili zako lazima zikae kikomedy komedyAnode zake ana nyumba a a alafu amepanga
Hahahahahahah Aisee!Hiki kijamaa kinasura flani ya kitapeli...hata sikaamini kabisa
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Atakuwa alikuwa anaigiza muvi ya tajiri mfupi part 2
Huyo mwanamke anayemhonga ndo nani?Ni kweli ana majumba ila ni mapagale, hajawahi kumaliza kujenga nyumba ni kama ana kilaana fulani na anahonga sana yule mwanamke wellu
Mimi mwenyewe nimefikiri huyu comedian, huwezi kujua anaigiza au yuko serious.hiyo kauli ameitoa akiwa anaigiza.
Duh! Huyo mwenye shati kubwa kama turubahi ni Le Mutuz au?Sasa amesema anamajumba si akae kwake kwanini anaangaika kupaga huyu jamaa na mwenzie lemutuz huwa wanamaisha yakidananda sana na ndomana huwa wanapatana View attachment 391744
Huyo jamaa amevaa kitu gani hicho?Sasa amesema anamajumba si akae kwake kwanini anaangaika kupaga huyu jamaa na mwenzie lemutuz huwa wanamaisha yakidananda sana na ndomana huwa wanapatana View attachment 391744