bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,015
- 4,985
Uwiiiiiiiiiie yeuwiiiiiiiooHuyo jamaa amevaa kitu gani hicho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwiiiiiiiiiie yeuwiiiiiiiooHuyo jamaa amevaa kitu gani hicho?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] pozi la bro tu.yaani kweli huyu ni le billionaire.Sasa amesema anamajumba si akae kwake kwanini anaangaika kupaga huyu jamaa na mwenzie lemutuz huwa wanamaisha yakidananda sana na ndomana huwa wanapatana View attachment 391744
Hahaaa chezea jf ww , hapa tunatumbua majipu tuHahaha jf mmemshambulia hadi anajitetea teh....zilimfkia nini...
Msanii tena komediani... Mwenzeni anafanya ukomediAnode zake ana nyumba a a alafu amepanga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sana maana kuna haka ka msemo ka "wanaume wa dar " kashatrend hadi kwenye magazetuManeno yangekuwa yanaua, tungeua wengi!
Haka kajamaa nasikia ni kadalali ka wauza k wa bongo muviz
Hiyo anayotaka amia ipo madale, ndo inayokaribia kukamilika, ni nzuri kwa kweliNi kweli ana majumba ila ni mapagale, hajawahi kumaliza kujenga nyumba ni kama ana kilaana fulani na anahonga sana yule mwanamke wellu
Basi udalali unalipaUkweli ndio huo!
Le mutuzi kweli anatumi app ya kujiedit kule kwake [emoji23] [emoji23] mbona apo mnene sanaSasa amesema anamajumba si akae kwake kwanini anaangaika kupaga huyu jamaa na mwenzie lemutuz huwa wanamaisha yakidananda sana na ndomana huwa wanapatana View attachment 391744
Wasanii wa kibongo wanaigiza hadi kwenye maisha ya kweli............Sasa uwe na majumba halafu wewe upange si utakuwa na upungufu wa akili.![]()
Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere amedai yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao wanamiliki nyumba nyingi lakini hataki kuzionyesha.
Akiongea katika kipindi cha Uhondo cha EFM Jumatano hii, Steve Nyerere amedai yeye haoni ufahari wa kuonyesha mali alizonazo kama wanavyofanya baadhi baadhi ya wasanii.
“Mimi nina majumba sio nyumba ila sitaki kuonyesha instagram,” alisema Steve Nyerere. “Pia kuna nyumba kubwa ambayo ndiyo nitaamia ikiisha, kwa sasa hivi nimepanga Mkwajuni Kinondoni na naishi na familia yangu,”
Katika hatua nyingine mwigizaji huyo amewataka watanzania kuhudhuria show yake ya ‘East African STANDUP COMEDY’ ambayo itafanyika kwa mara ya kwanza Jumamosi katika hotel ya Protea jijini Dar es salaam.
[emoji2] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23]dah. hili shati ukienda kwa fundi unaweza kutoa shuka na maforonya mawili ya mito.
![]()