Mimi nina majumba sio nyumba, ila sitaki kuyaonyesha – Steve Nyerere

Hahaaaaa ndo Mara ya kwanza kuskia MTU Ana Majumba alafu yeye amepanga haaha yaan watu wanapigania juu chini ili wawe na vibanda vyao kuepukana na kero za wenye nyumba yeye majumba yote hayo alaf amepanga.. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daah kweli bongo movie ni waigizaji hadi kwenye maisha halisi
 
Maneno yangekuwa yanaua, tungeua wengi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sana maana kuna haka ka msemo ka "wanaume wa dar " kashatrend hadi kwenye magazetu
 
Ni kweli ana majumba ila ni mapagale, hajawahi kumaliza kujenga nyumba ni kama ana kilaana fulani na anahonga sana yule mwanamke wellu
Hiyo anayotaka amia ipo madale, ndo inayokaribia kukamilika, ni nzuri kwa kweli
 
uyu steve asitudanganye aseme hyo nyumba itakayoisha ndo atahamia ndo hiyohiyo sio na majumba sitak kuonyesha we unanyumba nyingi unaenda kupanga wapi na wapi
 
Wasanii wa kibongo wanaigiza hadi kwenye maisha ya kweli............Sasa uwe na majumba halafu wewe upange si utakuwa na upungufu wa akili.
 
Labda alikua ana act wakati anaongea hahahaaa!!! majumba mchezo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…