Mimi nina majumba sio nyumba, ila sitaki kuyaonyesha – Steve Nyerere

Ni kweli ana majumba ila ni mapagale, hajawahi kumaliza kujenga nyumba ni kama ana kilaana fulani na anahonga sana yule mwanamke wellu
Kumbe kweli kanakula ile bata mzinga, wakati wamajamboz c kanafichwa kabisa haka kababu
 
Huna tofauti sana na aliesema anakunywa maji mengi mpaka kuwa mweupe
Nawe una majumba umepanga.pyuu
 
Akalipe deni lake la elfu 45 pale kwenye lile bucha la Joseph alipokopa nyama, mwezi wa tatu huu hapokei simu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…