Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Young_Master asikusumbue, ni kuku wa kuchora yule! wa kumhofia kwa sasa ni ODM tu, si unajua kanioa mke wa 3 hivi majuzi?? lol shhshshshshs tutafanya kithirithiri kha!

kumbe Young_Master ni joka la mdiimu
Babu hana noma huyu wajukuu zake tunaenda kucheza kombolela tuu wala sio kingine
We valia ile kanga wameandika wenye wivu wajinyonge uje pande hizi
Kopo la kombolela liko tayari hapa
 
Last edited by a moderator:
kumbe Young_Master ni joka la mdiimu
Babu hana noma huyu wajukuu zake tunaenda kucheza kombolela tuu wala sio kingine
We valia ile kanga wameandika wenye wivu wajinyonge uje pande hizi
Kopo la kombolela liko tayari hapa
khaaaaaa! naja, nimevaa kanga ya 'mkwaju wako, tiba kwangu' lol! ila kimya kimya wake wenzangu wasisikie! lol, kunimith tu na kutaka nije mazima, kaazi kwel kwel!
 
khaaaaaa! naja, nimevaa kanga ya 'mkwaju wako, tiba kwangu' lol! ila kimya kimya wake wenzangu wasisikie! lol, kunimith tu na kutaka nije mazima, kaazi kwel kwel!


Mwambie babu Asprini kuwa unaenda kwa mjukuuu kuna mdudu kaingia jichoni waja kumtoa
Maana naona anapandisha presha na BP na OILCOM na TOTAL kwa pamoja
Babu ODM ni mdudu tuu anakuja kunitoa bana kaingia jichoni
 
Last edited by a moderator:
Babu Asprin usiwe na wasi wasi wakujuu zako tunakuja kucheza kombolela
Kopo tayari lishaandaliw ana uwanja wa kuchezea na sehem za kujificha
mwachie tuu cacico aje bana
utaniulia mume wallah! mbona tena kwa kumtia hasira? kula vyako kimya kimya kama besta na marlow! lol! naja lakini usinijeruhi!
 
Mwambie babu Asprini kuwa unaenda kwa mjukuuu kuna mdudu kaingia jichoni waja kumtoa
Maana naona anapandisha presha na BP na OILCOM na TOTAL kwa pamoja
Babu ODM ni mdudu tuu anakuja kunitoa bana kaingia jichoni
babu mstaarabu, hana shida. atakuadabisha polepole! lol, ila utauweza mfyonzo kama wa hubby wangu?
 
utaniulia mume wallah! mbona tena kwa kumtia hasira? kula vyako kimya kimya kama besta na marlow! lol! naja lakini usinijeruhi!

cacico hapa taratibu ndio mwendo
Si unamuona kobe anavyonyata ila anafika
Njoo bana Babu wala hana wasi wasi hapa ni kimya kimya tuu
 
Last edited by a moderator:
babu mstaarabu, hana shida. atakuadabisha polepole! lol, ila utauweza mfyonzo kama wa hubby wangu?
cacico mbona unaanza kunitisha tena sasa
Mi nishajiweka tayari hapa then unaanza zako tena
We njoo bana babu nitajua namna ya kupambana nae
 
Last edited by a moderator:
cacico hapa taratibu ndio mwendo
Si unamuona kobe anavyonyata ila anafika
Njoo bana Babu wala hana wasi wasi hapa ni kimya kimya tuu
na mwendo wa kobe ndio unaotakiwa, lol mbona wanitamanisha? ila Yummy ujue pia ni mke mwenzangu pande hizi? akisikia je?
 
Last edited by a moderator:
cacico mbona unaanza kunitisha tena sasa
Mi nishajiweka tayari hapa then unaanza zako tena
We njoo bana babu nitajua namna ya kupambana nae
tukutane wapi sasa?? namalizia uji wa kungu nikae sawa kwanza ndio nije! we ushapata mkuyati?? shshshshshs ODM asisikie, lol! yaani nakuja tu, ila mwenyewe hubby wangu nampenda balaa!
 
na mwendo wa kobe ndio unaotakiwa, lol mbona wanitamanisha? ila Yummy ujue pia ni mke mwenzangu pande hizi? akisikia je?

Si ndio maana nakuambia wewe kuja pande hizi Yummy ni mke wangu pia ila nasikia siku hizi anacheat
So na mimi nataka nilipize kisasi aise
taratibu yaani hakuna papara
 
Last edited by a moderator:
tukutane wapi sasa?? namalizia uji wa kungu nikae sawa kwanza ndio nije! we ushapata mkuyati?? shshshshshs ODM asisikie, lol! yaani nakuja tu, ila mwenyewe hubby wangu nampenda balaa!


Kila kitu kiko tayari hapa
Si unakijua vizuri kile kijiwe chetu cha kuchezea kombolela pale
We njoo utanikuta nishaandaa kopo na uwanja wote umefagiliwa cacico usichelewe maana Asprin ameenda kuhemea mpunga shambani hatarudi mchana huu
 
Last edited by a moderator:
Kila kitu kiko tayari hapa
Si unakijua vizuri kile kijiwe chetu cha kuchezea kombolela pale
We njoo utanikuta nishaandaa kopo na uwanja wote umefagiliwa cacico usichelewe maana Asprin ameenda kuhemea mpunga shambani hatarudi mchana huu
hilo neno la kuhemea limenikumbusha mbali sana, sijalisikia siku nyingiiiii! lol, haya bana naja mwahhhh!
 
Si ndio maana nakuambia wewe kuja pande hizi Yummy ni mke wangu pia ila nasikia siku hizi anacheat
So na mimi nataka nilipize kisasi aise
taratibu yaani hakuna papara
tobaaaaaaa Yummy naye ushacheza naye kombolela?? nasikia harufu ya damu kwa mbaali!
 
Last edited by a moderator:
kumbe Young_Master ni joka la mdiimu
Babu hana noma huyu wajukuu zake tunaenda kucheza kombolela tuu wala sio kingine
We valia ile kanga wameandika wenye wivu wajinyonge uje pande hizi
Kopo la kombolela liko tayari hapa

teh teh teh!!! Mr Rocky bwana...ngoja nikajifiche kwenye jumba bovu na cacico wangu nisije kamatwa nikazinga bure.
 
Last edited by a moderator:
hilo neno la kuhemea limenikumbusha mbali sana, sijalisikia siku nyingiiiii! lol, haya bana naja mwahhhh!


Asante sana cacico umenipa faraja aise
We njoo achana na huyo mzee amakemee mpunga wake maana ndege wanaumaliza
Halafu akirudi nyumbani jioni si unajua atakuwa ana harufu ya kikwapa full
Sasa mtoto mzuri kama wewe kunukishwa kikwapa cha yule mzee ni noma
tobaaaaaaa Yummy naye ushacheza naye kombolela?? nasikia harufu ya damu kwa mbaali!

Yummy ni ile ya kitoto kabisa hii ya kwetu si unajua imeenda shule na ni ya watu wakubwa
Kopo linabutuliwa kwenda mbali kwenye kijiwe chetu kile
Linatafutwa halionekani kabisa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom