Mimi Simba, ila jezi zetu ni kichekesho ni mbaya sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko kwa mkapa tayariii, sema nimekosa jezi zimeisha.
Huna uwezo huo.....leta picha hapa ukiwa kwa mkapa
 
Dizaina wa jezi za Simba, yupo Sido anasomea utengenezaji wa mabatiki na sabuni za rangi mawingu...
 
Sisi tumezipenda tunanunua
 
Sawa sawa
 
Wee utopolooo kaa huko kwako na jezi za historia 2. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tukutane baada evaluation za jezi zilizonunuliwa Sana msimu huu
 
Dizaina wa jezi za Simba, yupo Sido anasomea utengenezaji wa mabatiki na sabuni za rangi mawingu...
Mkuu ....lkn mbna nilisikia jersey zimetoka ulaya.....na sio kariakoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…