Mimi sio kungwi ila ni mwanamke, ichukue hii

Mtoa mada katoa hoja ww umekuja na lawama, hoja yako iko wapi mkuu? Au naww ndo upo hiyo hatuna ya feminist?
Ungekuwa na upeo mkubwa wa kuelewa ungeiona hoja ila kwa vile na wewe ndio wale wale wazee wa kujifariji huwezi kuona hoja sisi wengine huwa hatusikilizi porojo za mitandaoni bali tunaangalia hali halisi, na uzuri huku kwenye jamii wote hali halisi tunaiona vinginevyo mtuambie hawa wanawake wenye tabia za hovyo tunaoona wanaolewa kila siku huwa wanaolewa na wanawake wenzao, maana kama kweli mngekuwa mnaoa hao wanawake wenye sifa nzuri nzuri mnazoziimba humu mitandaoni basi hizo ndoa zisingekuwa zinavunjika kila siku na wala tusingekuwa tunasikia vilio toka kwa wanaume walio kwenye ndoa
 
enheee tena wewe mnyaki tutaendana coz ni majirani,,nagonga 30 next month 😌
Karibu,karibu beautiful mpenzi. Kwanza niseme kuwa nakuheshimu sana na kisha nakupenda.Nitakujali ktk hali na namna zote,tujenge familia ya katoto 1 Mungu atatubariki.
 
2025 no dating broke ladies.
No marrying ladies over 27 yrs. Wacha wapambane na usingle maza
 
Waambie hao kuku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…