Mimi siyo malaika ni binti wa kawaida tu!

Mimi siyo malaika ni binti wa kawaida tu!

Kwanza miye mtu wa hvyo huwaga sinaga msamaha nae binafsi kabisaa....maana mnafiki!

Kuna watu wanakera humuu!

Ujue nifah wengine wamekuja jf kutafuta kick,kutafuta likes na comments wako..waonekane kwamba wao ndo wanaongoza kwa likes na comment's so wanatafuta kila namna kujulikana..!!

Heeeeeeee! Kumbe ndio hivyo?
Umaarufu wa JF una faida basi? Zaidi utaongeza maadui tu.
 
Back
Top Bottom