Mimi siyo Tajiri. Mngemwona Baba yangu mngezimia na kufa kwa mshangao

Kiduku Lilo the young bil ulipotelea wapi 😁😁.

Jukwaa lilipoa kwa kiasi kukosa watu kama wewe

Moderator Mhariri tunaombenj msianze mambo yenu ya kuhamisba posf za huyu bwana, alikereka akaacha kuoost karibu kwa mwaka mzima na sisi members tulihuzunika sana.

Welcome again Kiduku Lilo

Tia nyuzi nyingine mkuu ya kutu inspire tuuchukie huu umaskini, fokea umaskini
 
Utakuta ulivyokuwa unaandika huu utopolo ulikuwa unaning'iniza poumbou sofani sebuleni kwa shemeji yako huku mking'ang'ania remote na beki tatu.

Kamoooonn inuka ukamfungulie geti shemeji yako anapiga honi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…