Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Daah nyie watu nyie!huwezi amini vile vianko vyako ni vidogo ila huchezei pocket money yake kakishika😇Hilo linajulikana, na tuko proud kabisa 😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah nyie watu nyie!huwezi amini vile vianko vyako ni vidogo ila huchezei pocket money yake kakishika😇Hilo linajulikana, na tuko proud kabisa 😅😅😅
Dengelua haina tatizo hata!tatizo ni namna ya matumizi ya hiyo 20M hapo ndio tatizo linapoanziaSinywi dengelua tafadhali
Hatufanani mkuu pia sijarithi nime hustler binafsi baada ya familia mzee na mother kuparaganyika miaka ya 90
Sikushangai kukatwa kama unatokea Kaskazini.Nakatwa kodi tanzania na kenya net salary nabakiwa na 20 milion tsh sio kenyan shilling.
Nitafutie mchumba nioleweWapare wenzako hao wameolewa wewe bado uko unaaogeza furniture tuishi why my dear fanya kweli
Ahaha ww kabila ganiWapare wenzako hao wameolewa wewe bado uko unaaogeza furniture tuishi why my dear fanya kweli
Tunarithisha vuzazi..hahaha...Daah nyie watu nyie!huwezi amini vile vianko vyako ni vidogo ila huchezei pocket money yake kakishika😇
Ni huzuni kwa kweliTunarithisha vuzazi..hahaha...
Kwenye hili tumefanana sanaMpenzi mkubwa wa chadema (CCM hapana wana mambo mengi nisiyokubaliana nayo hasa utekaji na wizi wa kura
Sasa huzuni gani tena...hem tuache bwana😅Ni huzuni kwa kweli
Hata mia huioniKitendo cha wewe kuwa mpare miguu imenyongonyea.
Dah mko vizuri. Mmi hata miaka 3 siipati hiyo 😅Milion 20 kwa mwenzi wengine sie inasoma kwa week........haha
Weka wasifu wako timu kataa ndoa kuwashawishi, wamejaa humuNitafutie mchumba niolewe
Mkikuyu wakenyaAhaha ww kabila gani
SHoo mlilie Mungu atakupa danga zuri mbona huwi tu seriousNitafutie mchumba niolewe
Hayaa bwana karibu TanzaniaKisasa with maximu tanzanian men heights averages.
Alishasema, anapenda kujichua akiwa na hasiraKuna sifa moja hujaitaja
We umepata danga zuri?SHoo mlilie Mungu atakupa danga zuri mbona huwi tu serious