Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

Wanasayansi wanakwazika kukubali kuwa kuna Mungu kwa sababu wakikukali watakuwa wamemjua mungu kuliko watu wa dini maana mungu kisayansi watakapo mkubali watakuwa wametambua kuwa mungu ni mkuu sana maana wanasayansi wanajua ukuu wa ulimwengu na maumbiko yake kuliko watu wa dini
Kàma unajua historical ya ulimwengu na dunia kimantiki.
Basi habari za mungu na miungu ni story za kutungwa Tu 😂
 
Mimi naona jibu tayari tunalo, ila kwakuwa ability ya mwanadamu, nikutafuta na kutamani kuwa au kujua na hata kupenda, vitu vya ajabu,miujiza na vya kufikirika ndio inapelekea sisi kujiuliza maswali haya, na mbaya zaidi vitu hivyo jinsi vinavyozidi kuwa halisi ndivyo mwanadamu anazidi kuvipuuza na kuviona vya kawaida kabisa, imagine mchimba madini wakati anaingia kuchimba madini kwa mara ya kwanza alitamani kupata madini bila kuwa na hesabu ya madini mangapi anahitaji, ila jinsi alivyoendelea kuyapata ndivyo alivyoendelea kuyasaka mengi zaidi ya hayo, ila lengo ni madini tu anataka na hajui anataka mangapi au ya ukubwa gan, so hata sisi, majibu tunayo kwamba sisi ni binadamu, na asili yetu ni hapahapa Duniani, ...wakati watu wanajiuliza haya maswali kitambo ndipo wakajua wao ni tofauti na wadudu,mimea,wanyama so wao ni binadamu, baada ya kujua wao ni binadamu sasa hivi hili jibu linaonekana ni jepesi mno anataka majibu mengine ya kustaajabisha (kuna mtu alishawahi kusema pengine ubongo ndio unaosumbua mwanadamu) namimi nataka wataalamu wamalize utata hapa watuambia kazi ya ubongo ni nini? Tukishajua kazi ya ubongo nafikiri tutajua kwanini mpaka sasa tunajiuliza haya maswali
Sayansi haina kikomo cha kudadisi mambo.


Nkikutana na maoni yako mara nyingi inaonyesha wewe ni mtu ambae unapenda ukishakariri jambo basi liwe hivyo hivyo, Sayansi haipo hivyo.


Kuhusu ubongo kila siku zinakuja tafiti na majibu mapya.


Umesema watalaamu wamalize utata, Sayansi sio siasa kwamba utata unamalizwa tu kwa hoja.

Na unaposema majibu tunayo hiyo ni kwa mtazamo wako wewe, Sio sayansi.
 
Kàma unajua historical ya ulimwengu na dunia kimantiki.
Basi habari za mungu na miungu ni story za kutungwa Tu [emoji23]
Je binadamu anayo nafsi na anayo akili ?kama unakubali basi jua kuwa hata sayansi inajua kuwa akili kubwa sana na nguvu kubwa sana ndiyo iliyo umba vitu vyote ila awakubali kuwa hiyo akili ni mungu
 
Sayansi haina kikomo cha kudadisi mambo.


Nkikutana na maoni yako mara nyingi inaonyesha wewe ni mtu ambae unapenda ukishakariri jambo basi liwe hivyo hivyo, Sayansi haipo hivyo.


Kuhusu ubongo kila siku zinakuja tafiti na majibu mapya.


Umesema watalaamu wamalize utata, Sayansi sio siasa kwamba utata unamalizwa tu kwa hoja.

Na unaposema majibu tunayo hiyo ni kwa mtazamo wako wewe, Sio sayansi.
Okay leta hizo tafiti mpya kuhusu ubongo, ili tujue sayansi inasemaje kuhusu ubongo, mimi huwa sikariri huwa naelewa jambo na hakuna sehemu nimeilimit sayansi katika tafiti zake, nimetaka tuelewe kazi ya ubongo huenda ikapunguza ukali wa hayo maswali, kwasababu unapojiuliza wewe ni nani na unajua wewe ni binadamu unamaanisha nini?
 
Okay leta hizo tafiti mpya kuhusu ubongo, ili tujue sayansi inasemaje kuhusu ubongo, mimi huwa sikariri huwa naelewa jambo na hakuna sehemu nimeilimit sayansi katika tafiti zake, nimetaka tuelewe kazi ya ubongo huenda ikapunguza ukali wa hayo maswali, kwasababu unapojiuliza wewe ni nani na unajua wewe ni binadamu unamaanisha nini?
Pengine uwezo wako wa kupambanua mambo kudadavua na kudadisi upo chini, Ndio maana unashangaa swali la mtoa mada,


Nadhani mantiki ya swali lake haswa bado hujapata.
 
Okay leta hizo tafiti mpya kuhusu ubongo, ili tujue sayansi inasemaje kuhusu ubongo, mimi huwa sikariri huwa naelewa jambo na hakuna sehemu nimeilimit sayansi katika tafiti zake, nimetaka tuelewe kazi ya ubongo huenda ikapunguza ukali wa hayo maswali, kwasababu unapojiuliza wewe ni nani na unajua wewe ni binadamu unamaanisha nini?
Kama ubongo ndio unatunza kumbukumbu zote(explicitly & implicitly) na pia ina regulate shughuli zote za mwili ni kusema kwamba ndio kama antenna ya mwili kupokea taarifa za nishati yake. Kwaiyo kazi ya ubongo ni kupokea signal za nishati.

Lakini pia ni kiungo kama viungo vingine vya mwili, ambapo umetokana na muunganiko wa atoms nyingi hadi kutengeneza organ ya ubongo hivyo basi hata utendaji kazi wa ubongo unaweza kuathiriwa kutokana na ubora wa cell.

Ubora wa akili ya mtu unasomeka kwenye Fikra zake(mind), ubora wa akili ya mwili unasomeka kupitia afya ya mwili na vyote vinaratibiwa na ubongo.

Idea nyingi zinasema kuwa hakuna binadamu hadi sasa aliyewahi kutumia asilimia hata 20 ya uwezo wake wa akili. Japo ubongo unapokea akili katika ukamilifu wake kutoka katika chanzo halisi cha mtu(nishati/wazo). Ubora wake utategemea maamuzi ya nafsi (kiunganishi cha nishati na mwili), hivyo tunakuja kuona fikra zina akisi nafsi.

Kama ubora wa akili unapimwa na fikra upande wa nishati na ubora wa akili ya mwili unapimwa na afya ya mwili hivyo basi ni kusema akili ya binadamu inatoka nje ya mwili wa binadamu, yaani kwenye chanzo halisi cha binadamu( nishati/wazo).
 
Energy is a scientific terms
Energy zote zinathibitika kisayansi

Energy unayo iita Roho sijui Mungu HAIPO kwenye sayansi kwasababu HATHIBITIKI
Je nafsi ni kitu chenye kukubalika kisayansi au la ? Je nafsi ni energy ya aina gani kisayansi ? Ukiweza kujua nafsi ni energy ya aina gani basi utajua kuwa neno Roho ndiyo neno energy kisayansi ni lugha tu ..
Mungu ni energy pia ila yeye ni mfalme wa ulimwengu wa energy
 
Ukisema kwamba sayansi siyo ngumu unakosea maana science ni kitu chenye kukua . Science yote tuliyo nayo wanadamu leo ni chembe tu ya science tusiyo ijua soma hii kanuni chini inabeba majibu yote ya science na dini na uzito wa science labda wewe una zungumzia science tuliyo nayo hadi sasa tu.

[emoji116][emoji116]

Wenye akili tumieni hizi fafanuzi mbili nilizo zibuni kujifunza

1)..(SCIENCE IS THE REVERSE ENGINEER OR REVERSE KNOWLEDGE OF GOD CREATION)

2)SCIENCE IS KNOWLEDGE TOWARD GOD NOT AGAINST GOD

Hizi fafanuzi nimeibuni mimi mwenyewe kwa kutumia akili ....yoyote anaweza kujifunza kitu hapa kwenye hizo fafanuzi
Ok
 
Umeuliza swali tata sana

BINADAMU ni
Mwili na nafsi
Mwili unabeba nafsi

Mwili ni kama hardware na nafsi ni kama software

MWILI ni jumla ya vitu vyote vilivyo ungana kumtengeneza binadamu kama mikono macho moyo korodani nywele nk nk

NAFSI ni ule utashi wako wa ndani unao utumia kuamua mwili ufanye nini nk nk

Kwahiyo wewe sio single item

Wapo waumini wa IMANI wanakwenda mbali zaidi kwa kusema binadamu ni Mwili nafsi na ROHO
Binadamu ni mwili roho na nafsi
 
Mimi mtu ni energy(umeme/wazo).
Sihitaji mwili ili niwepo ila nahitaji mwili ili kuonekana dhahiri(wazo kuwa kitu) na kutimiza kusudi.

Kinachoniunganisha mimi na mwili ni nafsi. Hivyo nafsi hubeba utambulisho wangu.

Natumia nafsi kujidhibiti/ kuconnect kati ya mimi na mwili wangu maana mimi ni spirit/energy tu ila mwili nimuunganiko wa vinasaba( kumbukumbu) zinazoendana na mazingira husika.

Hivyo baada ya muunganiko huo ndio naonekana mimi mtu(wazo) kupitia mwili.

Nikijitambulisha mimi ni nani, ni kuiwakilisha nafsi upande iliyouchagua mfano: wewe(wazo) unataka kutimiza jambo fulani lakini itakuhitaji uvumilivu na muda kutimiza hilo jambo lakini wakati huo huo mwili hautaki shida unahitaji kupata raha, hivyo kutakuwa na vita kati ya wewe na mwili na kitachoamua hatima yako ni nafsi either ichague upande wa mwili au upande wa wewe.

Hapo utajitambulisha mvumilivu au mwenye tamaa kulingana na upande ulivyochagua nafsi yako na inakuwa ni mwendelezo wa tabia yako ama ya utambulisho wako.
Excellent!
 
ROHO ipo kiimani zaidi
MWILI na NAFSI vipo kiuhalisia
Roho siyo issue ya imani mzee, ni really issue..unaweza ku access spiritual rhythm ukielekezwa.

Religious ndo ipo kiimani zaidi.
 
Well.

Kwanza kabisa tuelewa kwamba, "Hakuna sayansi bila dini, na dini bila sayansi imepungukiwa".

Sayansi inafanya kazi ya kutafuta na kuona: Je, yale yote ambayo dini au imani imesema yapo; au je, ni kweli.

Sasa, hakuna sayansi au mwanasayansi ambaye anakataa kwamba ulimwengu umefanyika kwa akili nyingi na ya hali ya juu sana.

Sayansi inakubali na inaona kila kitu kinachoonekana kimefanyika kwa akili nyingi sana kuanzia na muundo wao wa nje na hata utendaji kazi wao, ni wa akili ya hali ya juu.

Sasa, ni nini au hali gani ambayo imesababisha vitu kuwepo, na kuwepo kwa akili hivi?

Hapo ndipo nadharia ya "Mlipuko Mkubwa" (The Bing bang theory), ambayo ni msingi wa nadharia karibu zote za sayansi, inafafanua kuwa ulimwengu umetokana na mlipuko mkubwa. Maana ya maneno "Mlipuko Mkubwa", ni Nishati (Energy). Kwahiyo kwa maneno mengine: ulimwengu umetokana na nishati.

Ingawa nadharia hii ina maswali mengi, lakini ndio inayokubaliwa na wanasayansi wengi.

Sasa, hoja ni "Nishati" (energy) kwa upande wa sayansi na "Mungu" au "Roho" kwa upande wa dini.

Sayansi inasema Nishati. Je, hii nishati ambayo sayansi inasema kama chanzo cha vitu ni nini?

Dini inasema, ulimwengu umeumbwa na Mungu. Na Mungu ni roho. Je Mungu maana yake ni nini? Na roho maana yake ni nini?

Muhimu sana. Dini na sayansi: vyote vinashughulikia "Kweli za Akili".
Umeelezea vyema kias,ila jifunze kutofautisha kati ya Spiritually na Religious. Science inakubaliana na Spirituality siyo Religion.
 
Kisayanyi uwezi kusema kitu hakipo kwa sababu sayansi aijakijua hicho kitu...kuna vitu vingi vilikuwa avijulikani kisanyansi lakini vilikuwepo ila baadaye vikaja kujulikana ..logic yako ni potovu kwa sababu wewe unaleta dhana kuwa saysnsi ikigundua kitu ndiyo kitu icho kilicho gunduliwa kinaanza kuwepo na sayansi isipo kigundua kitu basi icho kitu ni hakipo ...very stupidii logic
Umempiga na hoja nzito sana.
 
Majina yao tu yanakuonyesha ni vitu tofaut
Tumia akili neno roho ni neno kuu tena ni neno la kwanza kabisa la maneno yote pasipo roho hata mungu hayupo ..tumia akili acha kudanganywa na uongo wa makanisani na mitume feki vitu vyote ni roho mungu pia ni roho .. ufalme wote wa mungu ni roho maana yake vitu vyote alivyo umba mungu ni roho pia
 
Tumia akili neno roho ni neno kuu tena ni neno la kwanza kabisa la maneno yote pasipo roho hata mungu hayupo ..tumia akili acha kudanganywa na uongo wa makanisani na mitume feki vitu vyote ni roho mungu pia ni roho .. ufalme wote wa mungu ni roho maana yake vitu vyote alivyo umba mungu ni roho p8a
Mwanzo 1:18
Nenda ukaisome utaelewa kuwa nafsi ndio iliokuu zaidi ya vote ivyo
Na Mungu ni roho
Ila nafsi ni personale ya mtu.
Mtu ni nafsi
Roho ni sifa ama tabia xa io nafsi
Na mwili ndio kitu cha nje

Nafsi itendayo dhambi ndio inayohukumiwa
Kumbuka sio roho kwa sabab nafsi ndio mtu.
Roho ni tabia ya nafsi yake
Kama wivu hasira uuaji na kadhalika

Pia Kumbuka baba wa hasira ni ibilisi
Maana aliekufanya uhisi nimeanganywa na mitume sio Mungu.
 
Mwanzo 1:18
Nenda ukaisome utaelewa kuwa nafsi ndio iliokuu zaidi ya vote ivyo
Na Mungu ni roho
Ila nafsi ni personale ya mtu.
Mtu ni nafsi
Roho ni sifa ama tabia xa io nafsi
Na mwili ndio kitu cha nje

Nafsi itendayo dhambi ndio inayohukumiwa
Kumbuka sio roho kwa sabab nafsi ndio mtu.
Roho ni tabia ya nafsi yake
Kama wivu hasira uuaji na kadhalika

Pia Kumbuka baba wa hasira ni ibilisi
Maana aliekufanya uhisi nimeanganywa na mitume sio Mungu.
Mungu ni nafsi ila ni roho ndiyo maana unasikia inasemwa roho mtakatifu au roho ya mungu hivyo neno roho ndiyo neno la kwanza pasipo roho hakuna mungu wala ufalme wa mungu maana vyote ni roho
 
Mungu ni nafsi ila ni roho ndiyo maana unasikia inasemwa roho mtakatifu au roho ya mungu hivyo neno roho ndiyo neno la kwanza pasipo roho hakuna mungu wala ufalme wa mungu maana vyote ni roho
Roho mtakatifu ni sehemu tu ya ofisi ya Mungu

Ww ndn mwako una roho.
Na ndani kabisa inakaa nafsi
Roho ni hali ama form ya nafsi.
Nafsi ndio mtu mwenyewe.
Mwili ni nyumba ya roho na roho ni nyumba ya nafsi

Roho ndizo tabia za nafsi.
Na form nje ya mwili.

Roho ni form tu ya Mungu.
Mungu mwenyewe ni zaidi ya roho
 
Back
Top Bottom