Mimi Yanga ila mwaka huu Simba wametuzidi kwenye jezi

Mimi Yanga ila mwaka huu Simba wametuzidi kwenye jezi

Kuna watu mnavounda jambo msifikiri uwezo wa kung'amua mambo ni mfupi kama mlivo wengine wanaanzia kufikiri ulipoishia, siku zote maji hujitenga na mafuta. Wewe usimba wako unauvalisha ngozi ya wananchi wazalendo utajisumbua bure sisi wala jezi za simba kwanza ni low quality in term of material as well as designing ya Yanga ni ya kiwango cha juu sana sio hizo BLAUZI za kuuzia maandazi na maji zinauzwa mpaka buku jero mtaani. Ushauri timu ziko nyingi hamia kokote usituletee kiwingu jezi yetu murua mno haijawahi kutokea. Msivunge wana Jangwani kumbe misukule ya ughaibuni.
 
Kuna watu mnavounda jambo msifikiri uwezo wa kung'amua mambo ni mfupi kama mlivo wengine wanaanzia kufikiri ulipoishia, siku zote maji hujitenga na mafuta. Wewe usimba wako unauvalisha ngozi ya wananchi wazalendo utajisumbua bure sisi wala jezi za simba kwanza ni low quality in term of material as well as designing ya Yanga ni ya kiwango cha juu sana sio hizo BLAUZI za kuuzia maandazi na maji zinauzwa mpaka buku jero mtaani. Ushauri timu ziko nyingi hamia kokote usituletee kiwingu jezi yetu murua mno haijawahi kutokea. Msivunge wana Jangwani kumbe misukule ya ughaibuni.
Sasa unawezaje kufananisha jezi zetu na za msimbazi interm of materials
IMG_20200912_072629.jpeg
 
Kwanini tusikubali jamaa wametuzidi
 
Hakika nimetoka kuona jezi zetu mpya wana janngwani nimekuwa disappointed kwakweli, sikuwahi fikiria kusubiri kote kule wangetuletea vituko kama vile aisee..

Jezi kuna ramani humohumo, jezi ina ukungu humohumo, designer wetu sijui wamekwama wapi mbona wenzetu simba jezi zao mzuri aisee, jezi za simba rangi imetulia isitoshe ata designer wao hakutaka kucomplicate sana lakini uzi umetoka bomba.

Angalizo:: management yetu ya yanga sisi ndo wanunuzi sasa mkiendeleza kutuletea jezi kama hizi tena sie tunasema kabisa tutaanza kuvaa jezi za msimbazi View attachment 1566475
Yanga hatuna 'fan uchwara' Kama wewe.
 
Back
Top Bottom