Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kaipania sana?Hii safari hii
MnoKwamba kaipania sana?
Asije tu akaanza kuzunguka huko huku akijitambulisha kuwa LIKUD kafika.
Awe na bajeti nzuri asifike aanze kuomba assistAsije tu akaanza kuzunguka huko huku akijitambulisha kuwa LIKUD kafika.
NB;Safari ya kwenda sehemu ngeni/mpya huleta kimuhemuhe bin mawenge!
Safari njemaBajeti ipo mkuu
Sasa,nakushauri usiendelee kudai taarifa nyingi mnoo.Utakinai eneo kabla haujafika huko.Mengine unatakiwa ukakutane nayo hukohuko.Tunapoelekea utatuuliza hadi watembea kwa miguu hupita upande gani mwa barabara.Bon voyage,boss!Bajeti ipo mkuu
🤣🤣🤣🤣 ni wivu tu mkuu.Sasa,nakushauri usiendelee kudai taarifa nyingi mnoo.Utakinai eneo kabla haujafika huko.Mengine unatakiwa ukakutane nayo hukohuko.Tunapoelekea utatuuliza hadi watembea kwa miguu hupita upande gani mwa barabara.Bon voyage,boss!
Siyo wivu,hakyanane!Nina wasiwasi unataka ukaibe gesi yetu kule.Anyway,panya huliwa kwa wema tu huko.Chamaki ...!🤣🤣🤣🤣 ni wivu tu mkuu.
Kumbe mara moja tu kwa mwezi. Dah.Mnada wa mbuzi hapo.! Fika nkanaledi pale wanauza nguo kuanzia saa tano asubuhi. Fika tangazo wanafanya mnada kwa mwezi mara moja.!
Nenda msimbati kale samaki mpaka basi mana kule samaki kilo 4000 wakati mnauziwa hapo shekilango kila 12,000
Safari njema.Habari zenu wana Mtwara tafadhali anae fahamu kuhusu ratiba za minada ya Mtwara mjini tafadhali. Nitakapo kuwa Mtwara nitautumia muda huo kuzunguka kwenye minada yote ya Mtwara kwa ajili ya ku interact na wana Mtwara.
With much thanks in advance