Minazi ni miti iliyo hatarini kupotea, dalili zinaonekana

Minazi ni miti iliyo hatarini kupotea, dalili zinaonekana

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1619667893374.jpeg

Asili ya miti au zao hili ni Asia, Waarabu na wafanyabiashara walileta zao hili Tanzania miaka ya 1600-700. Minazi ya asili hi chukua miaka 10 tangu kupanda mpaka kuvuna au kuangua Nazi. Mti wa mnazi hustaamili ukame na una maisha ya miaka 100 tangu kupandwa.

Kilimo cha minazi kiliwafaa Waarabu waliomua kuweka makazi katika Pwani za Afrika. Minazi hupaswa kufyekewa na uvunjaji ni kila baada ya miezi mitatu. Iliwawezesha wenye mashamba kufanya shughuli nyingine wakiwa wanasubiri Mavuno.

Wingi wa minazi ulisaidia watu kusuka viungo vilivyoezekea nyumba. Matapa yalitumika kulalia kuanzia kwenye vitanda hata kwenye misiba. Vifuu vya nazi vilitengeneza pawa , vifungo, shanga na hereni.

Minazi mingi iliyopandwa na wahenga imeshapita umri wa uhai (life span) na hapa katikati hakukuwa na jitihada nyingi za kupanda minazi mipya. Matokeo yake ni uhaba wa makuti ya kutengenezea viungo na matapa.

Kama kiungo cha kupikia nazi zina soko kubwa na uhaba wake unasababisha bei kuwa kubwa sokoni. Wenye mapenzi mema na hili zao tuanze kampeni ya kupanda minazi
 
mbegu za asili si hizi za kisasa zinazokauka baada ya miaka michache yakuanza kuvuna.
Uzuri wa mbegu za asili huhimili magonjwa mengi na mti ina life span ya miaka 100.
 
Minazi ni zao la biashara, ni kuwa vijana hawafahamu au hawana subira lakini ukiwa na heka tano za minazi wewe utaangua nazi mpaka mwisho wa maisha yako.
Ni kweli ila kama nilivyosema awali jukumu hili lapaswa kubebwa na wizara husika ili kuleta hamasa kwa wakulima wa zao hilo. Njia na nini Cha kufanya wanajua wao vizuri tu. I wish ungekabiziwa wizara ungeitendea vyema sana.
 
Minazi ni zao la biashara, ni kuwa vijana hawafahamu au hawana subira lakini ukiwa na heka tano za minazi wewe utaangua nazi mpaka mwisho wa maisha yako.
Natamani sana kulima hili zao.

Naomba kujua mazingira/maeneo ambapo hii miti hukua vizuri bila taabu:- udongo, maji/mvua,...n.k
 
Wanapita humu wanaona
Serikali ingewekeza katika kilimo kwa ujumla wake ili kuleta tija kwenye kilimo. Hizi habari za ukosefu wa ajira zingepungua kwa kiasi kikubwa sana na pato la taifa lingeongezeka mara dufu.

Kinachoniuma zaidi mambo haya nasikia sana wakiyajadili vyema kabisa pale bungeni na kufikia maadhimio kadha wa kadha lakini utekelezaji wake umekuwa mdogo sana. Hivyo wamebaki wale wakulima wa mazoea kina Babu zetu wakiendelea na shughuli hizi, huku vijana wakiamua kutafuta ridhiki katika sekta nyingine na kupelekea uzalishaji kupungua kwa kias kikubwa sana.

Maeneo mengi ya nchii hii yanasupport kilimo. Mpaka wakati huu nchi ingeshughulikia swala la kumuamisha mkulima katika utegemezi wa jembe la mkono kwenda kwenye machinery equipments, kilimo cha msimu na kuamia katika kilimo kitakachofanyika throughout the year kwa kuanzisha miradi ya umwagiliaji, kuhamasisha wakulima kuunda vikundi vya uzalishaji na kuviwezesha, kuwatafutia wakulima masoko ya uhakika na tija, kuboresha huduma za ugani nk.
 
Serikali ingewekeza katika kilimo kwa ujumla wake ili kuleta tija kwenye kilimo. Hizi habari za ukosefu wa ajira zingepungua kwa kiasi kikubwa sana na pato la taifa lingeongezeka mara dufu. Kinachoniuma zaidi mambo haya nasikia sana wakiyajadili vyema kabisa pale bungeni na kufikia maadhimio kadha wa kadha lakini utekelezaji wake umekuwa mdogo sana. Hivyo wamebaki wale wakulima wa mazoea kina Babu zetu wakiendelea na shughuli hizi,huku vijana wakiamua kutafuta ridhiki katika sekta nyingine na kupelekea uzalishaji kupungua kwa kias kikubwa sana. Maeneo mengi ya nchii hii yanasupport kilimo. Mpaka wakati huu nchi ingeshughulikia swala la kumuamisha mkulima katika utegemezi wa jembe la mkono kwenda kwenye machinery equipments, kilimo cha msimu na kuamia katika kilimo kitakachofanyika throughout the year kwa kuanzisha miradi ya umwagiliaji, kuhamasisha wakulima kuunda vikundi vya uzalishaji na kuviwezesha, kuwatafutia wakulima masoko ya uhakika na tija, kuboresha huduma za ugani nk.
Indonesia na Malaysia wanasafirisha tui la nazi la makopo Ulaya, Marekani, Japan hata Australia. Kwa ardhi tuliyonayo tungeweza kukaba soko la Afrika tu linatutosha.
 
Natamani sana kulima hili zao...
Naomba kujua mazingira/maeneo ambapo hii miti hukua vizuri bila taabu:- udongo, maji/mvua,...n.k
1619700786367.png
If you have access to a fresh coconut, you might think that it would be fun to grow a coconut plant, and you would be right. Growing a coconut palm tree is easy and fun. Below, you will find the steps for planting coconuts and growing coconut palms from them. Planting Coconut Trees To start to grow a coconut plant, begin with a fresh coconut that still has the husk on it. When you shake it, it still should sound like it has water in it. Soak it in water for two to three days.

Read more at Gardening Know How: Growing Coconut Palms – How To Grow A Coconut Plant StackPath

After the coconut has soaked, place it in a container filled with well-draining potting soil. It is best to mix in a little sand or vermiculite to make sure the soil you will be growing coconut trees in drains well. The container needs to be around 12 inches (30.5 cm.) deep to allow for the roots to grow properly. Plant the coconut point side down and leave one-third of the coconut above the soil. After planting the coconut, move the container to a well lit, warm spot – the warmer the better. Coconuts do best in spots that are 70 degrees F. (21 C.) or warmer.

Read more at Gardening Know How: Growing Coconut Palms – How To Grow A Coconut Plant StackPath
 
View attachment 1767569If you have access to a fresh coconut, you might think that it would be fun to grow a coconut plant, and you would be right. Growing a coconut palm tree is easy and fun. Below, you will find the steps for planting coconuts and growing coconut palms from them. Planting Coconut Trees To start to grow a coconut plant, begin with a fresh coconut that still has the husk on it. When you shake it, it still should sound like it has water in it. Soak it in water for two to three days.

Read more at Gardening Know How: Growing Coconut Palms – How To Grow A Coconut Plant StackPath

After the coconut has soaked, place it in a container filled with well-draining potting soil. It is best to mix in a little sand or vermiculite to make sure the soil you will be growing coconut trees in drains well. The container needs to be around 12 inches (30.5 cm.) deep to allow for the roots to grow properly. Plant the coconut point side down and leave one-third of the coconut above the soil. After planting the coconut, move the container to a well lit, warm spot – the warmer the better. Coconuts do best in spots that are 70 degrees F. (21 C.) or warmer.

Read more at Gardening Know How: Growing Coconut Palms – How To Grow A Coconut Plant StackPath
Tulipokuwa wadogo ninakumbuka tulipanda kunde na maharage chini ya minazi. Walisema kunde zinatoa nutrition inayohitajika kwa minazi.
 
Back
Top Bottom