Serikali haiwezi kua solution ya kila kitu
Serikali haijui kufanya chochote,na inachofanya turn out to be bad or sub standard
Kama zao halina utility value,law of economics inasema litakufa tu regardless.
Cha msingi ni zijengwe economic policies zitakazoleta incentive kwa yeyote atakaelima,kama hakina economic incentive kwa mlimaji basi that thing will be a failure
Mazao yalikuja mengi na yakatoweka na yatakuja mengine pia,dunia ina miaka 4 bilioni,unachokihofia ni mainstay tangu mababu na mababu
Wananchi wafanye innovation wao kama wao wa seed storage and preservation fuelled na economic benefits nk,sera ziwekwe hizi industry kama industry zifunguke
Utaokoa some and others will die and disappear due to kukosa value at this age and times.
Serikali hua haina akili na passion na dedication kama wananchi mmoja mmoja...
Tena serikali zenyewe ndio hizi maiti za mapumbavu ya CCM,forget that solution