Minazi ni miti iliyo hatarini kupotea, dalili zinaonekana

Minazi ni miti iliyo hatarini kupotea, dalili zinaonekana

..SMZ Pemba wanajitahidi kuboresha zao la minazi. nimesoma mahali kwamba serikali ina vitalu vya kuzalisha minazi ambayo hugawiwa kwa wananchi maeneo mbalimbali.
Kwa jinsi tulivyoanza na kauli mbiu ya Kilimo ndiyo Uti wa Mgongo wa Taifa letu. Ulitegemea mazao yenye tija yangepewa kipaumbele na wataalamu wa masoko kututafutia masoko nje. Kwakweli sikuhizi Nazi huuzwa tui kwenye makopo au maji ya madafu kwenye makopo.
 
Kuna miaka kumi ya ku sacrifice lakini baada ya hapo kama una heka moja una uhakika wa milioni 2 kila baada ya miezi mitatu.

..kweli.

..lakini " hed ek " inakuja kwenye kuchagua kati ya mbegu za asili au kisasa.

..kwasababu kisasa wanasema inazaa baada ya miaka 4 na asili inazaa baada ya miaka 7.

..vilevile wanasema kisasa inazaa nazi nyingi kuliko minazi ya asili, ila haihimili magonjwa.
 
..kweli.

..lakini " hed ek " inakuja kwenye kuchagua kati ya mbegu za asili au kisasa.

..kwasababu kisasa wanasema inazaa baada ya miaka 4 na asili inazaa baada ya miaka 7.

..vilevile wanasema kisasa inazaa nazi nyingi kuliko minazi ya asili, ila haihimili magonjwa.
Unaweza kuweka robo heka ya kale na 3/4 mbegu mpya. Nina uhakika huko Indonesia ambako uzalishaji wa nazi ni mkubwa wanatumia mbegu za kisasa.
 
Kwa jinsi tulivyoanza na kauli mbiu ya Kilimo ndiyo Uti wa Mgongo wa Taifa letu. Ulitegemea mazao yenye tija yangepewa kipaumbele na wataalamu wa masoko kututafutia masoko nje. Kwakweli sikuhizi Nazi huuzwa tui kwenye makopo au maji ya madafu kwenye makopo.

..serikali ilijitahidi kufanya research ya mbegu bora za minazi ila ilifeli vibaya, naona wameamua kurudi kwenye minazi ya asili.

..lakini hata ukitafuta taarifa za zao la minazi kwa kweli unaona kabisa kwamba hii sekta haijachangamka.

..labda huko ndio kwa kuwekeza ambako watu bado wamelala, ila kama ulivyosema inahitaji uwe mvumilivu.
 
..serikali ilijitahidi kufanya research ya mbegu bora za minazi ila ilifeli vibaya, naona wameamua kurudi kwenye minazi ya asili.

..lakini hata ukitafuta taarifa za zao la minazi kwa kweli unaona kabisa kwamba hii sekta haijachangamka.

..labda huko ndio kwa kuwekeza ambako watu bado wamelala, ila kama ulivyosema inahitaji uwe mvumilivu.
Kaka yangu amenunua heka sita za shamba lina minazi. Aliyeuza ameuza kwasababu ya matatizo. Kaka ameamua kuongeza minazi shamba zima.
 
Unaweza kuweka robo heka ya kale na 3/4 mbegu mpya. Nina uhakika huko Indonesia ambako uzalishaji wa nazi ni mkubwa wanatumia mbegu za kisasa.
..i think that is the best way to go about it.

..unaweza kuingia kichwa-kichwa mbegu ya kisasa halafu mingi ikafa.



cc Lily Tony, Malila, PatriceLumumba
 
..i think that is the best way to go about it.

..unaweza kuingia kichwa-kichwa mbegu ya kisasa halafu mingi ikafa.



cc Lily Tony, Malila, PatriceLumumba
Zamani kati ya Dar na Bagamoyo palikuwa na shamba kubwa la minazi pembeni ya barabara. Sijui bado liko?
 
Nje ya mada kidogo
Hivi kabla ya kuja wakoloni tz kulikuwa na mazao na matunda yapi
Maana kila zao au tunda unasikia asili yake ni Portugal, India, Germamy uk etc
 
Mkuu hebu taja Government inaweza fanya nini mwananchi au kampuni ya binafsi haiwezi kifanya tena kwa ufanisi?
Hili mbona liko wazi kwenye post yangu ya awali nimeongea mambo ambayo Serikali inapaswa kuweka mkono wake ili kuwakwamua wakulima hasa hawa wadogo. Nadhani uliona nini kilifanyika kule Mtwara baada ya wanunuzi wa korosho kushindwana bei na wakulima.
 
Kweli inahitajika hamasa ya wafanyabiashara kuwekeza kwenye zao la nazi,wasijikite kwenye ile minazi ya voda fasta ya miaka mitatu bali kwenye ile natural ya miaka 10 ili iende miaka 100 ijayo.
 
Kuna mikoa nazi inauzwa mpaka buku jelo.
Minazi ni fursa kumbe,sijui kwanini inasahaulika hivi.

Maximum bei niliyowahi kununua nazi ni 1500/= ila kipindi cha kawaida ni 1000/= ,nazi nzuri zinazotoka mafia....Za Bagamoyo nyingi za kufukia chini ukiiona kwa nje imekauka kau ila ukivunja ni koroma.
 
Maximum bei niliyowahi kununua nazi ni 1500/= ila kipindi cha kawaida ni 1000/= ,nazi nzuri zinazotoka mafia....Za Bagamoyo nyingi za kufukia chini ukiiona kwa nje imekauka kau ila ukivunja ni koroma.
Hii ya Voda fasta hata mimi siiamini. Sisi tulikuzwa na minazi. Mzazi anakwenda kukopa amana anasema nitarejesha nikishaangua nazi zangu.

Bibi alikua na kiunga alichoachiwa na babu, licha ya kuangua nazi kulikua na mgema pombe. Mshahara wa Mgema ulikua pombe ya wiki mbili kwa mwezi. Siku Mgema akileta pesa ya pombe alikuja na pombe pia.

Bibi alikua Don kijijini hakua anakaukiwa na pesa.
 
Hii ya Voda fasta hata mimi siiamini. Sisi tulikuzwa na minazi. Mzazi anakwenda kukopa amana anasema nitarehesha nikishaangua nazi zangu.

Bibi alikua na kiunga alichoachiwa na babu, licha ya kuangua nazi kulikua na mgema pombe. Mshahara wa Mgema ulikua pombe ya wiki mbili kwa mwezi. Siku Mgema akileta pesa ya pombe alikuja na pombe pia.

Bibi alikua Don kijijini hakua anakaukiwa na pesa.

Kweli voda fasta si mizuri kwa plan ya muda mrefu ni bora uvumilie miaka 7 mbele ili wajukuu waje kufaidi huko miaka 90 mbele.

Ukiwa na mashamba ya minazi ile ya asili lazima uwe don.

Zamani tulikuwa tunavuna tu pombe ya "Tembo" aka Mnazi........Mgema akisifiwa tembo hulitia maji.
 
Back
Top Bottom