Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
- Thread starter
- #41
Kwa jinsi tulivyoanza na kauli mbiu ya Kilimo ndiyo Uti wa Mgongo wa Taifa letu. Ulitegemea mazao yenye tija yangepewa kipaumbele na wataalamu wa masoko kututafutia masoko nje. Kwakweli sikuhizi Nazi huuzwa tui kwenye makopo au maji ya madafu kwenye makopo...SMZ Pemba wanajitahidi kuboresha zao la minazi. nimesoma mahali kwamba serikali ina vitalu vya kuzalisha minazi ambayo hugawiwa kwa wananchi maeneo mbalimbali.