Minazi ni miti iliyo hatarini kupotea, dalili zinaonekana

Minazi ni miti iliyo hatarini kupotea, dalili zinaonekana

Ukiamua kuwa na shamba la heka mbili za minazi tunaita “kiunga”, jengo nyumba ya shamba ya vyumba viwili vya kulala na sebule kubwa. Nje weka Sim tank buns maji ya mvua na choo cha shimo. Weka jiko la gas.

Chumba kimoja weka mfanya kazi, chumba cha pili ni cha kwako kama itabidi ulale shamba. Sebule unahifadhia nazi kabla hazijaenda sokoni.

Kijana unampa 50,000 lakini ana uhuru wa kulima mazo ya kula kama mihogo, bamia, mahindi na kazi yake kubwa ni kuzunguka shamba.
 
Kukomesha wezi, nenda na mkwezi wako mtoe mbali. Wale wakwezi wa karibu akishachuma nazi zako baada ya miezi miwili anarudi mwenyewe.
Dah hapo mkwezi itabidi umlipe per month,ambao hatuwezi kuwaajiri hawa wakwezi sijui tutumie mbinu gani wezi wengi sana
 
Ukiamua kuwa na shamba la heka mbili za minazi tunaita “kiunga”, jengo nyumba ya shamba ya vyumba viwili vya kulala na sebule kubwa. Nje weka Sim tank buns maji ya mvua na choo cha shimo. Weka jiko la gas.

Chumba kimoja weka mfanya kazi, chumba cha pili ni cha kwako kama itabidi ulale shamba. Sebule unahifadhia nazi kabla hazijaenda sokoni.

Kijana unampa 50,000 lakini ana uhuru wa kulima mazo ya kula kama mihogo, bamia, mahindi na kazi yake kubwa ni kuzunguka shamba.
50 si umemnyonga sana mkuu?
 
Siku hizi wanaezekea nyumba na kuifanya mbao ndiyo maana inapotea
 
Nimependa hii mada, nilikuwa nataka kujua mavuno na masoko, eka moja ya minazi inazaa nazi kiasi gani (average), kila baada ya muda gani..
na masoko ya nazi yakoje, na, je, mazao mengi yanaathiriwa sokoni na teknolojia,mfano nazi za azam, vipi kuhusu zao hili..? asante Sky Eclat
 
Back
Top Bottom