Minazi ni miti iliyo hatarini kupotea, dalili zinaonekana

Rest in peace. Daah!
 
..wakati mwingine nadhani minazi ni investment nzuri kuliko uwekezaji ktk miti ya nguzo/mbao.

..tatizo linakuja kwenye muda wa matunzo ya minazi toka kupanda mpaka itakapoanza kutoa matunda.
Tatizo lipo wapi? Miaka mitatu? Unakumbuka sasa ni miaka mitatu toka JPM ashinde kipindi cha pili? Yaani ni 3 years lakini ni kama juzi.

Mnazi wa kisasa baada ya miaka mitatu unaanza kuvuna
 
Kuna miaka kumi ya ku sacrifice lakini baada ya hapo kama una heka moja una uhakika wa milioni 2 kila baada ya miezi mitatu.
Eka moja inabeba miti mingapi?

Upandaji hufanyika kwa umbali gani kati ya mche na mche na mstari na mstari?
 
Tatizo lipo wapi? Miaka mitatu? Unakumbuka sasa ni miaka mitatu toka JPM ashinde kipindi cha pili? Yaani ni 3 years lakini ni kama juzi.

Mnazi wa kisasa baada ya miaka mitatu unaanza kuvuna

..watafiti wanasema minazi ya kisasa sio mizuri, inashambuliwa sana na magonjwa.

..wanashauri tupande minazi ya asili / east african tall ambayo inavumilia magonjwa.

..mimi kwa mtizamo wangu east african tall inachukua muda mrefu toka kupanda mpaka kutoa matunda. Pia inatoa matunda kidogo ukilinganisha na minazi inayolimwa ktk nchi za wenzetu.

Cc Kibunango, Malila
 
naamini ktk kutunza mbegu asili, kwa hiyo nashauri tuwe na commercial farms zenye kutumia mbegu za kisasa na tuwe na mashamba ya kuhifadhi mbegu za asili.
 
Mimi bado ninaikubali hii ya kisasa pamoja na kwamba ina changamoto.

Muhimu ni kufuata matakwa ya kitaalamu ikiwemo usafi wa shamba/eneo.

Uchafu shambani ndicho chanzo kikuu cha magonjwa katika aina zote za matunda..
 
Mimi bado ninaikubali hii ya kisasa pamoja na kwamba ina changamoto.

Muhimu ni kufuata matakwa ya kitaalamu ikiwemo usafi wa shamba/eneo.

Uchafu shambani ndicho chanzo kikuu cha magonjwa katika aina zote za matunda..

..miche ya kisasa inapatikana wapi? Na asili ya miche hiyo ni nchi gani?

..maana mimi nimekwenda kwenye kitalu cha serikali Mkuranga nikaambiwa hawana ya kisasa, wana east african tall.
 
Serikali iache kudanganyika.... Minazi ya asili pia miti mingine ya asili ni bora. Waitishe kampeni ya upandaji wake. Faida za mimea ya asili inajulikana
 
Indonesia na Malaysia wanasafirisha tui la nazi la makopo Ulaya, Marekani, Japan hata Australia. Kwa ardhi tuliyonayo tungeweza kukaba soko la Afrika tu linatutosha.
Kalime.basi upige pesa fursa hiyo unakaa unaiongelea tu
 
naamini ktk kutunza mbegu asili, kwa hiyo nashauri tuwe na commercial farms zenye kutumia mbegu za kisasa na tuwe na mashamba ya kuhifadhi mbegu za asili.
Sahihi, zikipotea hizi ni tabu kwa kizazi cha baadae.
 
Waswahili walikuwa kila mtoto anapozaliwa wanapanda mnazi. Wanaomba kwa Mungu kuwa mtoto akue aje kula matunda yake. Walau minazi ilikuwa inaenda na idadi ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…