Rest in peace. Daah!Mwaka 1986 hivi, Mheshimiwa Rais Mwinyi alitoa hadhari kuhusu kudharaulika kwa zao la nazi. Hasa uvunaji uliopindukia wa madafu, n.k. Akasema, itafika siku nazi itakuwa inauzwa moja sh. 100. Adjusting for inflation, bei ya nazi itakuwa imepanda kama alivyosema Mheshimiwa Mwinyi sr.
Tatizo lipo wapi? Miaka mitatu? Unakumbuka sasa ni miaka mitatu toka JPM ashinde kipindi cha pili? Yaani ni 3 years lakini ni kama juzi...wakati mwingine nadhani minazi ni investment nzuri kuliko uwekezaji ktk miti ya nguzo/mbao.
..tatizo linakuja kwenye muda wa matunzo ya minazi toka kupanda mpaka itakapoanza kutoa matunda.
Eka moja inabeba miti mingapi?Kuna miaka kumi ya ku sacrifice lakini baada ya hapo kama una heka moja una uhakika wa milioni 2 kila baada ya miezi mitatu.
Tatizo lipo wapi? Miaka mitatu? Unakumbuka sasa ni miaka mitatu toka JPM ashinde kipindi cha pili? Yaani ni 3 years lakini ni kama juzi.
Mnazi wa kisasa baada ya miaka mitatu unaanza kuvuna
Nini tena?Rest in peace. Daah!
naamini ktk kutunza mbegu asili, kwa hiyo nashauri tuwe na commercial farms zenye kutumia mbegu za kisasa na tuwe na mashamba ya kuhifadhi mbegu za asili...watafiti wanasema minazi ya kisasa sio mizuri, inashambuliwa sana na magonjwa.
..wanashauri tupande minazi ya asili / east african tall ambayo inavumilia magonjwa.
..mimi kwa mtizamo wangu east african tall inachukua muda mrefu toka kupanda mpaka kutoa matunda. Pia inatoa matunda kidogo ukilinganisha na minazi inayolimwa ktk nchi za wenzetu.
Cc Kibunango, Malila
Huyo mwamba niliyemjibu taarifa zinaonyesha alishafarikiNini tena?
Mimi bado ninaikubali hii ya kisasa pamoja na kwamba ina changamoto...watafiti wanasema minazi ya kisasa sio mizuri, inashambuliwa sana na magonjwa.
..wanashauri tupande minazi ya asili / east african tall ambayo inavumilia magonjwa.
..mimi kwa mtizamo wangu east african tall inachukua muda mrefu toka kupanda mpaka kutoa matunda. Pia inatoa matunda kidogo ukilinganisha na minazi inayolimwa ktk nchi za wenzetu.
Cc Kibunango, Malila
Mimi bado ninaikubali hii ya kisasa pamoja na kwamba ina changamoto.
Muhimu ni kufuata matakwa ya kitaalamu ikiwemo usafi wa shamba/eneo.
Uchafu shambani ndicho chanzo kikuu cha magonjwa katika aina zote za matunda..
Serikali iache kudanganyika.... Minazi ya asili pia miti mingine ya asili ni bora. Waitishe kampeni ya upandaji wake. Faida za mimea ya asili inajulikanaView attachment 1767152
Asili ya miti au zao hili ni Asia, Waarabu na wafanyabiashara walileta zao hili Tanzania miaka ya 1600-700. Minazi ya asili hi chukua miaka 10 tangu kupanda mpaka kuvuna au kuangua Nazi. Mti wa mnazi hustaamili ukame na una maisha ya miaka 100 tangu kupandwa.
Kilimo cha minazi kiliwafaa Waarabu waliomua kuweka makazi katika Pwani za Afrika. Minazi hupaswa kufyekewa na uvunjaji ni kila baada ya miezi mitatu. Iliwawezesha wenye mashamba kufanya shughuli nyingine wakiwa wanasubiri Mavuno.
Wingi wa minazi ulisaidia watu kusuka viungo vilivyoezekea nyumba. Matapa yalitumika kulalia kuanzia kwenye vitanda hata kwenye misiba. Vifuu vya nazi vilitengeneza pawa , vifungo, shanga na hereni.
Minazi mingi iliyopandwa na wahenga imeshapita umri wa uhai (life span) na hapa katikati hakukuwa na jitihada nyingi za kupanda minazi mipya. Matokeo yake ni uhaba wa makuti ya kutengenezea viungo na matapa.
Kama kiungo cha kupikia nazi zina soko kubwa na uhaba wake unasababisha bei kuwa kubwa sokoni. Wenye mapenzi mema na hili zao tuanze kampeni ya kupanda minazi
Kalime.basi upige pesa fursa hiyo unakaa unaiongelea tuIndonesia na Malaysia wanasafirisha tui la nazi la makopo Ulaya, Marekani, Japan hata Australia. Kwa ardhi tuliyonayo tungeweza kukaba soko la Afrika tu linatutosha.
Sahihi, zikipotea hizi ni tabu kwa kizazi cha baadae.naamini ktk kutunza mbegu asili, kwa hiyo nashauri tuwe na commercial farms zenye kutumia mbegu za kisasa na tuwe na mashamba ya kuhifadhi mbegu za asili.
Hivi hawa wana msaada gani kwa mtu mwenye shamba la mnazi!?
Hivi hawa wana msaada gani kwa mtu mwenye shamba la mnazi!?
Au mwenye mradi na zao la minazi.