Mind Illusion Projection: Jinsi ya kuidanganya mind ione vitu visivyo halisi kua ni halisi

Mind Illusion Projection: Jinsi ya kuidanganya mind ione vitu visivyo halisi kua ni halisi

nazungumzia movie ndg.
Naijua.. Sema yenyewe imeBase kwenye Spells/mazingaombwe zaidi.
Ila ni vitu vinaendana na yanayotokea kwenye jamii.
Unazika mgomba ukiwa unajua ni mtu kumbe sio...
 
Hivi wazungu wameshindwa kutengeneza movies za 3D? kuziangalia sio kwa TV tena hapa itahitajika projector iliyokaa viertical
Mkuu teknologia kama hizo sio kwa ajili ya matumizi ya sisi wananchi hizi zinatumika na vyombo vya usalama mpaka wakishaichoka ndio inatufikia sasa. Nadhani haiwezi kutengenezwa kua mbadala wa TV ili wasiue ajira na viwanda vya watu. Ila ngoja tuone huko mbeleni mambo yatakuaje
 
Salute mate;

Wanasemaga kwamba many of our battles we fight don’t exist, we make them exist because we create our own Demons. Kwamba mambo mengi yasiyo kawaida tunayoyaona hua sio halisi ila ni sisi tunayafanya yawe halisi, mfano unaweza kua unatembea njiani usiku ukaanza kuona mti Fulani umekaa kama mtu, unaweza kua ulitundika koti lako chumbani baadae usiku ukaanza kuona kama mtu kasimama chumbani kumbe ni koti lako…yote hayao yanatokea kwasababu unakua umeruhusu hofu ikitawale, hofu ikishakuingia basi unaweza kuona chochote kile unachotaka kuona hata kama ni vitu ndani utaona vinatembea kumbe sio kweli. Hapo ndio tunasema we create our own Demons.

Mitaani kumekua na visa mbalimbali mfano ulishawihi kukutana na kitu kireefu imevaa nguo nyeupe ukatoka mbio balaa kila unapokimbia unakikuta mbele yako , au ushawahi kukutana na ng’ombe wa mguu mmoja akakukimbiza au kitu chochote kisichokua cha kawaida chenye kuhusiana na uchawi au kusikia watu wakihadthia matukio ya namna hiyo. Kuna wale wanaoenda kutafuta pesa za ndagu wanaambiwa saa nane ya usiku nenda sehemu Fulani chochote utakachokiona usikimbie wala usikikwepe, mara anatokea simba anataka kukurukia au inatokea treni iko speed kali inatakiwa usiipishe. Ajabu ni kwamba ukikutana na kitu kirefu cheupe ukikipita mkono wa kushoto (?) kitu hicho hakikudhuru au usipoipisha hio treni haikudhuru…..Ukweli ni kwamba kupita upande wa kushoto wa kitu hicho kirefu hausaidii lolote wewe kushambuliwa na kitu hicho, vitu vyote nilivyoorodhesha hapo vinapokutokea hua sio halisi they are just an illusions. Usipokimbia kitu hicho unakua umedhibiti hofu ndani ya roho yako wachawi wanatumia hofu yako kukuHaunt.

Wachawi wote duniani wanapenda kuogopewa they feed up from your fear, unapomuhofu mchawi basi unakua umemuongezea nguvu ya kukuwinda pindi unapoacha kumuogopa tu basi hata kusumbua tena kuna mstari mmoja Jose mtabmbo anaimba kwamba “unaniwangia mimi nimelala, utajijua si wewe ndio unakesha” nachomaanisha ni kwamba unapokutana na kitu kisicho cha kawaida ukawaeza kudhibiti hofu yako ukaacha kukimbia basi kitu kile hakitakudhuru maana utakua hujaonyesha hofu since vitu hivyo tunavyokutana navyo hua sio halisi ni kwamba Mind yetu inakua imelazimishwa kuona vitu hivyo ni halisi ila behind the curtain unakuta ni hakuna kitu hicho au ni mtu wa kawaida kasimama.

Reality and Conscious mind.

By default wanauwezo wa kutengeneza vitu visivyo halisi kuwa kama halisi yaani Illusions projection au reality manipulation yaanii anaweza kutengeneza kitu kwa kutumia uwezo wake huo ukaona labda ukuta sehemu lakini sio ukuta sio halisi, lakini illusions hizo zinaweza kuwa na maadhara kwenye maisha halisi ya mwanadamu mfano mtu kaonyesha barabarani pale hakuna gari kumbe kuna gari wewe ukavuka likakukupitia. Kuna wakati mtu anaweza kua kafariki lakini mtu huyo hajafa kiuhalisia kama tunavyoona bali kachukuliwa kimazingira na kuhamishwa dimension nyingine, pale msibani sisi tunabaki tunaona mtu ndio tumemzika kumbe tumezika kipande cha mgomba au chochote kile

Jinsi kuishawishi Mind ya mtu ione kitu hichi ni halisi wakiti sio halisi

Soul imegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni Mind,Impression na Intellect..Mind imegawanyika katika pande tatu ambazo ni Conscious mind, Unconscious mind na Subconscious Mind. Conscious mind ni sehemu ya Mind ambayo inahusika na kushughulikia yale mambo yote ambayo tunayafahamu either kwa kuona,kusikia au kuhisia, kiufupi Conscious mind inashughulikia yale ambayo yapo katika utambuzi/ufahamu wetu. Ndio maana wewe mwanadamu wa kawaida huwezi kuwaza nje ya vile vitu unavyofahamu kama unabisha jaribu kuwaza kitu ambacho hakipo au hakina ufanano na kitu ulichowahi kuona au kusikia… Conscious mind inajihusisha na memories,perception,feeling, sensation na fantasies zilizomo ndani ya utambuzi wetu, Conscious mind hua inashirikiana na Subconcious mind hivyo basi hua zinataka kufanana maana au ufanyaji wa kazi so chunga zisikuchanganye.

Conscious mind ndio sehemu ambayo mwanadamu hufikiria au ni sehemu ambayo mwandamu anaitumia kuwaza mambo mbalimbali…Kwenye masuala ya Computer, Data buffer ni sehemu ambapo vitu hua vinahifadhiwa kwa muda mfupi wakati vitu hivyo vikiwa vinaendelea kutolewa au kuchakatwa (processing) kutoka upande mmoja kwenda mwingine kwa mfano unapoingiza sauti kwenye computer kwa kutumia maiki sauti hiyo inaenda hadi kwenye data buffer kwa muda kisha inaenda kwenye CPU then inatolewa nje as Output wakati huo huo kuna sauti zinaingizwa kwenye computer na mtumiaji kwa kutumia maiki. Sasa ili kutekeleza jambo hilo Data buffer inakua imeweewa alogarithim iitwayo FIFO (First In First Out) ambapo data zile zinazoingia kwenye Data Buffer zitaanza kuchakatwa kisha zitatolewa nje kisha ndio zije nyingine.
NB: Data Buffer unaweza kuiita kwa lugha rahis Random Acess Memory (RAM)

kwenye mada yangu moja iliyopita nileeleza kwamba Subconcious mind ndio sehemu ya utanzaji wa kumbuku za kila kitu unachoona na kukifanya maishani mwako nikaifananisha na Data Cache and Cockies … Sasa basi kwenye Conscious mind kunafanya kazi kama kwenye Computer, kwakua ndio sehemu inayohusika na kuwaza/kufikiri yenyewe hua haitunzi kumbukumbu ya kile inachokifanyia kazi na yenyewe ina tumia huo mfumo wa FIFO wazo litakaloanza kuingia ndio hilo litakalofanyiwa kazi taarifa ya wazo hilo itapelekwa kwenye Subconscious mind kuhifadhiwa lakini pia Conscious mind inauwezo wa kuchakata data moja tu kwa wakati mmoja tu.Conscious mind inachukua taarifa mbalimbali kwa kutumia kuona,kusikia, kunusa,kuhisi,kugusa au kuonja. Conscious mind inakusanya na kuchambua kila kinachoendelea kwenye mazingira yako na kukichambua kwa njia hiyo ya FIFO kama kuna kitu inataka kukiwaza ila kilishawahi fanyiwa kazi basi Conscious mind itaResquest kwenye sotorage centre kitu hicho yaani kwa Subconcious mind

Blending In…..

Sasa basi mtu anapotaka kufanya watu wengine waone vitu visivyohalisi (illusion) kwamba ni halisi (Real) anachofanya anaingilia mfumo wa Conscious mind kuchakata taarifa , ataidanganya (Convincing) Conscious mind kwa kupitia mfumo wa macho yanayoona kwamba mkono huu nimeshika noti ya shilingi elfu kumi kwa hivyo basi Conscious mind ikiwa inaprocess macho yainachokiona inashindwa kutafsiri kile kilichopo kwakua mfumo wake wa utendaji umevamiwa hivyo Conscious mind itaenda kuomba kwenye Subconscious mind (data bank ya mwanadamu) kuleta taarifa iilyohifadhiwa ihusiyo noti hiyo ya elfu kumi…hapo sasa ndio mtu ataanza kuona mtu mrefu kasimama mbele yake kumbe sio, ataona ile ni nyoka kumbe sio.

Sasa basi kwakua kila kitu kinachofanyika kinakua kina chanzo chake basi uwezo wa mtu kuProject illusion kwa wengine unaweza kusababishwa na nguvu chanya (ungu) au nguvu hasi (shetani) kuna watu Mungu kawajalia tu uwezo wa kuweza KuConvice mind za wengine waone vitu Fulani ambavyo sio halisi. Uwezo huo hakuwapa kwa ajili ya kuwafurahisha tu bali kwa kusudi maalumu analolijua yeye as always Mungu akikupatia kitu maamuzi na utashi wa kukitumia yanabaki juu yako, kama kakupa uwezo wa kuimba uamuzi ni wako uimbe matusi au uimbe nyimbo za ujumbe kwa jamii ama umsifu yeye na kila chaguzi lako linamatokeo yake – and + kwenye biblia kumenukuliwa baadhi ya watumishi wa Mungu walivyoProject illusion mbalimbali kwa matakwa ya Mungu na zingine zilitengenezwa na Mungu mwenyewe………Vilevile Shetani hutoa pia uwezo wa kutengeneza illusion kwa watu wake wanaomfuta kumuomba hizo nguvu ndio pale sasa unatembea usiku unakutana jogoo mkubwa kama mbuzi au unakutana na ziwa sehemu ambayo unapitaga kila siku, ulishawahi kusikia kwamba mtu Fulani mapolisi wakienda kumkamata kwake usiku wanakuta pale kwenye nyumba kuna bonge la msitu hizo ndio illusion projection sasa ambazo shetani amekua akiwapatia wafuasi wake kutudanganya.

Infinity Multiverse, infinity Dangers

Ukiuliza viongozi wa wa kikatoliki dini uchawi ni nini? Watakuambia kwamba uchawi ni teknolojia isiyoendelea (stagnant) ambayo lengo lake ni kuleta matokeo hasi kwenye jamii, ukiona kiongozi wako wa dini yoyote anapinga uwepo wa uchawi basi kiongozi huyu inawezekana kabisa haamini uwepo wa Mungu maana learning of infinite-postive multiverse include learning of negative infinity dangers. Nikimaanisha kwamba unapojifunza uwepo wa Mungu na ukuu wake lazima ujifunze uwepo wa nguvu za giza/uchawi zinazokinzana na nguvu chanya ili ujue jinsi ya kupambana nazo kwa kutumia nguvu chanya/Mungu. Kipindi cha Middle Age –Dark ages barani ulaya kulikua kumefurika uchawi na mambo mengi ya kutishia ustawi wa mbegu halisi ya mwanadamu, RC kwakua wanafahamu mambo niliyoeleza hapo juu waliunda vikosi kazi vilivyoundwaa na makasisi mbalimbali ili kupambana na watu wenye nguvu hizo hasi…..Maishani kila kitu kipo katika mzani ulio sawa (Equilibrium) kila unachokiiona au kukisikia basi kina pande kinzani yake mfano uhai upo balanced na kifo Mungu counterpart wake ni Shetani hivyo pindi tu utakapo muamini Mungu/Shetani basi unaamini na uwepo wa shetani/shetani na nguvu zake hivyo lazima ujue jinsi ya kushindana nae..



Binafsi hua nasema kwamba Physics ni tawi la uchawi ambalo linajishughlisha na kuchukua mambo yale yanayofanywa na wachawi na kuyaweka katika teknolojia, kipindi hicho (dark ages)kabla ndege hazijavumbuliwa watu walikua wanaruka na fagio angani sisi kwetu tunatumia ungo ila baada tu ya industrialization mambo yote ya kichawi yalipigwa marufuku watu wakawekeza kwenye teknolojia zaidi ila elimu hawakuitupa wanaenda wanaitumia kupata ideas mbalimbali kisha kuvumbua teknolojia yao. Karibia kila kitu kinachofanyika kwenye masuala yahusiuyo physics basi yapo pia kwenye uchawi no wonder wakati Galei Galileo alipokuwa anawasilisha hoja yake ya sayari mbele ya viongozi wa kanisa wazebaba waliona anazungumzia uchawi mimi hadi theories za Copernicus hua naziona zimekaa kichawi chawi tu……huko juu tumezungumzia jinsiwachawi na watu wa kawaida wanaweza kuproject illusion sasa na huku kwenye masuala ya teknolojia Illusion zinatengenezwa vizuri tu.

Holography ni mfumo unaowezesha mawimbi (wavefront )kurekodiwa ,kutengenezwa na kuonyeshwa tena katika picha zenye mfumo wa 3D, mbali na kurekodiwa mtu mwenye ujuzi anaweza kutengeneza Hologram kwa kutumia Computer Genarated Image. Mtu mwenye ujuzi wa holography anaweza kutengeneza kitu chochote atakachwa kwa kutumia Computer kisha akakiproject kwa projectors maalumu. Mtu anaweza kutengeneza hata mazingira unaona hapa kunanyumba zipo hivi na hivi ila kiuhalisia hakuna kitu kama hicho it’s just an illusion. Technology its so interesting kwakweli unaweza kudhani hapa tunapigiana hadithi za uongo ila ni vitu vipo sema tu sio kwa ajili ya matumizi ya kawaida kumbuka kila teknolojia unayoiona basi ujue chanzo chake cha kuundwa ni ili ikatumike jeshini/ajili ya kulinda usalama wa watu. Ssi tunaletewa hizi teknolojia ndogondogo tu ili tufurahie na kuboresha maisha tu , ndio maana mtu akikuambia kwamba unaweza kufungua njia ukatokezea kijijini kwenu utaona ni uongo ila wachawi wanafanya sana.

Jiulize tu mtu mchawi anawezaje kupotea chap akatokezea chumbani kwa mtu au mkoa mwingine its simple they jus opening portal/gateway na kutokezea upande mwingine kiuchawi inawezekane nikisema kwa kutumia physics inawezekana pia mtanibishia kama mnavyobishia Time Travelling.

Tuishie hapo, panapo majaliwa ten…


Da’Vinci

-excelsior
Nimeipata hii elimu kwa uzuri kabisa, nataman nifaham natural power kama inaweza kuwa learned na kuwa practiced
 
Nimeipata hii elimu kwa uzuri kabisa, nataman nifaham natural power kama inaweza kuwa learned na kuwa practiced
Pamoja sana Kiongozi, ndio unaweza kujigunza. Sasa itategemea unajifunza kwa udhamini wa nguvu za giza au za mwanga
 
Ukijiangalia kwenye kioo kwa muda wa dakika moja unakua unajiona wewe halisi ikizidi dakika moja Mind yako inaanza kukudanganya kwaba wewe ni mzuri. Ndio maana kadri ya jinsi unavyojiangalia kwenye kioo muda mrefu ndio unaanza kujiona mzuri. Kwanini??
Ubongo wako unachoka kuangalia kitu kimoja tu muda mrefu hivyo unaanza kukuletea sifa zingine mpya usoni mwako ambazo si halisi ili uridhike kwamba wewe ni mzuri uache kujiangalia au inafanya hivyo ili kukutia hamasa kwamba nawe ni mzuri.
Kumbe ukweli wanajua wakuonao, so ukijiangalia kwenye kioo usijisifu Kwamba ni mzuri acha watu wakuambie.
This is scientific correct!
 
Moja ya mfano wa ubongo kuonyesha illusion ni pua lako.

Ukiwa unaangalia kawaida huwezi kuliona pua mpaka utulie uangalie kwa umakini ndio utaliona. Kwanini? Macho yanaliona pua ila Mind yako inalipuuza (ignoring) pua lako ili lisikuzibe kuona mbele yako.. hii inasaidia watu wenye mapua makubwa tuone vizuri, Kwa umbali uliopo Kati ya pua na Macho na pua lilivyokaa basi tusingewez kuona mbele.

So akili hupuuza tu kuliona pua lako na sio kwamba halionekani na macho.
Kitu hiki kinafanyika tena Kwenye Miwani na Darubini
Ukivaa miwani ule mstari unaotenganisha kioo kimoja na kingine huwezi kuuona unakua kama haupo ila upo bali Mind yako ina Ignore hiyo mistari ili uone vizuri sio kuona vipande vipande.
Bado nachunguza kwanini jicho langu la kushoto ndio liko active sana kuliko la kulia!
[Mimi nikivaa miwani natumia jicho la kushoto kuona ]
 
Worries makes your mind shrink, and your brain crumble to fear. Hence you will see anything you want to see (Illusion)
 
Salute mate;

Wanasemaga kwamba many of our battles we fight don’t exist, we make them exist because we create our own Demons. Kwamba mambo mengi yasiyo kawaida tunayoyaona hua sio halisi ila ni sisi tunayafanya yawe halisi, mfano unaweza kua unatembea njiani usiku ukaanza kuona mti Fulani umekaa kama mtu, unaweza kua ulitundika koti lako chumbani baadae usiku ukaanza kuona kama mtu kasimama chumbani kumbe ni koti lako…yote hayao yanatokea kwasababu unakua umeruhusu hofu ikitawale, hofu ikishakuingia basi unaweza kuona chochote kile unachotaka kuona hata kama ni vitu ndani utaona vinatembea kumbe sio kweli. Hapo ndio tunasema we create our own Demons.

Mitaani kumekua na visa mbalimbali mfano ulishawihi kukutana na kitu kireefu imevaa nguo nyeupe ukatoka mbio balaa kila unapokimbia unakikuta mbele yako , au ushawahi kukutana na ng’ombe wa mguu mmoja akakukimbiza au kitu chochote kisichokua cha kawaida chenye kuhusiana na uchawi au kusikia watu wakihadthia matukio ya namna hiyo. Kuna wale wanaoenda kutafuta pesa za ndagu wanaambiwa saa nane ya usiku nenda sehemu Fulani chochote utakachokiona usikimbie wala usikikwepe, mara anatokea simba anataka kukurukia au inatokea treni iko speed kali inatakiwa usiipishe. Ajabu ni kwamba ukikutana na kitu kirefu cheupe ukikipita mkono wa kushoto (?) kitu hicho hakikudhuru au usipoipisha hio treni haikudhuru…..Ukweli ni kwamba kupita upande wa kushoto wa kitu hicho kirefu hausaidii lolote wewe kushambuliwa na kitu hicho, vitu vyote nilivyoorodhesha hapo vinapokutokea hua sio halisi they are just an illusions. Usipokimbia kitu hicho unakua umedhibiti hofu ndani ya roho yako wachawi wanatumia hofu yako kukuHaunt.

Wachawi wote duniani wanapenda kuogopewa they feed up from your fear, unapomuhofu mchawi basi unakua umemuongezea nguvu ya kukuwinda pindi unapoacha kumuogopa tu basi hata kusumbua tena kuna mstari mmoja Jose mtabmbo anaimba kwamba “unaniwangia mimi nimelala, utajijua si wewe ndio unakesha” nachomaanisha ni kwamba unapokutana na kitu kisicho cha kawaida ukawaeza kudhibiti hofu yako ukaacha kukimbia basi kitu kile hakitakudhuru maana utakua hujaonyesha hofu since vitu hivyo tunavyokutana navyo hua sio halisi ni kwamba Mind yetu inakua imelazimishwa kuona vitu hivyo ni halisi ila behind the curtain unakuta ni hakuna kitu hicho au ni mtu wa kawaida kasimama.

Reality and Conscious mind.

By default wanauwezo wa kutengeneza vitu visivyo halisi kuwa kama halisi yaani Illusions projection au reality manipulation yaanii anaweza kutengeneza kitu kwa kutumia uwezo wake huo ukaona labda ukuta sehemu lakini sio ukuta sio halisi, lakini illusions hizo zinaweza kuwa na maadhara kwenye maisha halisi ya mwanadamu mfano mtu kaonyesha barabarani pale hakuna gari kumbe kuna gari wewe ukavuka likakukupitia. Kuna wakati mtu anaweza kua kafariki lakini mtu huyo hajafa kiuhalisia kama tunavyoona bali kachukuliwa kimazingira na kuhamishwa dimension nyingine, pale msibani sisi tunabaki tunaona mtu ndio tumemzika kumbe tumezika kipande cha mgomba au chochote kile

Jinsi kuishawishi Mind ya mtu ione kitu hichi ni halisi wakiti sio halisi

Soul imegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni Mind,Impression na Intellect..Mind imegawanyika katika pande tatu ambazo ni Conscious mind, Unconscious mind na Subconscious Mind. Conscious mind ni sehemu ya Mind ambayo inahusika na kushughulikia yale mambo yote ambayo tunayafahamu either kwa kuona,kusikia au kuhisia, kiufupi Conscious mind inashughulikia yale ambayo yapo katika utambuzi/ufahamu wetu. Ndio maana wewe mwanadamu wa kawaida huwezi kuwaza nje ya vile vitu unavyofahamu kama unabisha jaribu kuwaza kitu ambacho hakipo au hakina ufanano na kitu ulichowahi kuona au kusikia… Conscious mind inajihusisha na memories,perception,feeling, sensation na fantasies zilizomo ndani ya utambuzi wetu, Conscious mind hua inashirikiana na Subconcious mind hivyo basi hua zinataka kufanana maana au ufanyaji wa kazi so chunga zisikuchanganye.

Conscious mind ndio sehemu ambayo mwanadamu hufikiria au ni sehemu ambayo mwandamu anaitumia kuwaza mambo mbalimbali…Kwenye masuala ya Computer, Data buffer ni sehemu ambapo vitu hua vinahifadhiwa kwa muda mfupi wakati vitu hivyo vikiwa vinaendelea kutolewa au kuchakatwa (processing) kutoka upande mmoja kwenda mwingine kwa mfano unapoingiza sauti kwenye computer kwa kutumia maiki sauti hiyo inaenda hadi kwenye data buffer kwa muda kisha inaenda kwenye CPU then inatolewa nje as Output wakati huo huo kuna sauti zinaingizwa kwenye computer na mtumiaji kwa kutumia maiki. Sasa ili kutekeleza jambo hilo Data buffer inakua imeweewa alogarithim iitwayo FIFO (First In First Out) ambapo data zile zinazoingia kwenye Data Buffer zitaanza kuchakatwa kisha zitatolewa nje kisha ndio zije nyingine.
NB: Data Buffer unaweza kuiita kwa lugha rahis Random Acess Memory (RAM)

kwenye mada yangu moja iliyopita nileeleza kwamba Subconcious mind ndio sehemu ya utanzaji wa kumbuku za kila kitu unachoona na kukifanya maishani mwako nikaifananisha na Data Cache and Cockies … Sasa basi kwenye Conscious mind kunafanya kazi kama kwenye Computer, kwakua ndio sehemu inayohusika na kuwaza/kufikiri yenyewe hua haitunzi kumbukumbu ya kile inachokifanyia kazi na yenyewe ina tumia huo mfumo wa FIFO wazo litakaloanza kuingia ndio hilo litakalofanyiwa kazi taarifa ya wazo hilo itapelekwa kwenye Subconscious mind kuhifadhiwa lakini pia Conscious mind inauwezo wa kuchakata data moja tu kwa wakati mmoja tu.Conscious mind inachukua taarifa mbalimbali kwa kutumia kuona,kusikia, kunusa,kuhisi,kugusa au kuonja. Conscious mind inakusanya na kuchambua kila kinachoendelea kwenye mazingira yako na kukichambua kwa njia hiyo ya FIFO kama kuna kitu inataka kukiwaza ila kilishawahi fanyiwa kazi basi Conscious mind itaResquest kwenye sotorage centre kitu hicho yaani kwa Subconcious mind

Blending In…..

Sasa basi mtu anapotaka kufanya watu wengine waone vitu visivyohalisi (illusion) kwamba ni halisi (Real) anachofanya anaingilia mfumo wa Conscious mind kuchakata taarifa , ataidanganya (Convincing) Conscious mind kwa kupitia mfumo wa macho yanayoona kwamba mkono huu nimeshika noti ya shilingi elfu kumi kwa hivyo basi Conscious mind ikiwa inaprocess macho yainachokiona inashindwa kutafsiri kile kilichopo kwakua mfumo wake wa utendaji umevamiwa hivyo Conscious mind itaenda kuomba kwenye Subconscious mind (data bank ya mwanadamu) kuleta taarifa iilyohifadhiwa ihusiyo noti hiyo ya elfu kumi…hapo sasa ndio mtu ataanza kuona mtu mrefu kasimama mbele yake kumbe sio, ataona ile ni nyoka kumbe sio.

Sasa basi kwakua kila kitu kinachofanyika kinakua kina chanzo chake basi uwezo wa mtu kuProject illusion kwa wengine unaweza kusababishwa na nguvu chanya (ungu) au nguvu hasi (shetani) kuna watu Mungu kawajalia tu uwezo wa kuweza KuConvice mind za wengine waone vitu Fulani ambavyo sio halisi. Uwezo huo hakuwapa kwa ajili ya kuwafurahisha tu bali kwa kusudi maalumu analolijua yeye as always Mungu akikupatia kitu maamuzi na utashi wa kukitumia yanabaki juu yako, kama kakupa uwezo wa kuimba uamuzi ni wako uimbe matusi au uimbe nyimbo za ujumbe kwa jamii ama umsifu yeye na kila chaguzi lako linamatokeo yake – and + kwenye biblia kumenukuliwa baadhi ya watumishi wa Mungu walivyoProject illusion mbalimbali kwa matakwa ya Mungu na zingine zilitengenezwa na Mungu mwenyewe………Vilevile Shetani hutoa pia uwezo wa kutengeneza illusion kwa watu wake wanaomfuta kumuomba hizo nguvu ndio pale sasa unatembea usiku unakutana jogoo mkubwa kama mbuzi au unakutana na ziwa sehemu ambayo unapitaga kila siku, ulishawahi kusikia kwamba mtu Fulani mapolisi wakienda kumkamata kwake usiku wanakuta pale kwenye nyumba kuna bonge la msitu hizo ndio illusion projection sasa ambazo shetani amekua akiwapatia wafuasi wake kutudanganya.

Infinity Multiverse, infinity Dangers

Ukiuliza viongozi wa wa kikatoliki dini uchawi ni nini? Watakuambia kwamba uchawi ni teknolojia isiyoendelea (stagnant) ambayo lengo lake ni kuleta matokeo hasi kwenye jamii, ukiona kiongozi wako wa dini yoyote anapinga uwepo wa uchawi basi kiongozi huyu inawezekana kabisa haamini uwepo wa Mungu maana learning of infinite-postive multiverse include learning of negative infinity dangers. Nikimaanisha kwamba unapojifunza uwepo wa Mungu na ukuu wake lazima ujifunze uwepo wa nguvu za giza/uchawi zinazokinzana na nguvu chanya ili ujue jinsi ya kupambana nazo kwa kutumia nguvu chanya/Mungu. Kipindi cha Middle Age –Dark ages barani ulaya kulikua kumefurika uchawi na mambo mengi ya kutishia ustawi wa mbegu halisi ya mwanadamu, RC kwakua wanafahamu mambo niliyoeleza hapo juu waliunda vikosi kazi vilivyoundwaa na makasisi mbalimbali ili kupambana na watu wenye nguvu hizo hasi…..Maishani kila kitu kipo katika mzani ulio sawa (Equilibrium) kila unachokiiona au kukisikia basi kina pande kinzani yake mfano uhai upo balanced na kifo Mungu counterpart wake ni Shetani hivyo pindi tu utakapo muamini Mungu/Shetani basi unaamini na uwepo wa shetani/shetani na nguvu zake hivyo lazima ujue jinsi ya kushindana nae..



Binafsi hua nasema kwamba Physics ni tawi la uchawi ambalo linajishughlisha na kuchukua mambo yale yanayofanywa na wachawi na kuyaweka katika teknolojia, kipindi hicho (dark ages)kabla ndege hazijavumbuliwa watu walikua wanaruka na fagio angani sisi kwetu tunatumia ungo ila baada tu ya industrialization mambo yote ya kichawi yalipigwa marufuku watu wakawekeza kwenye teknolojia zaidi ila elimu hawakuitupa wanaenda wanaitumia kupata ideas mbalimbali kisha kuvumbua teknolojia yao. Karibia kila kitu kinachofanyika kwenye masuala yahusiuyo physics basi yapo pia kwenye uchawi no wonder wakati Galei Galileo alipokuwa anawasilisha hoja yake ya sayari mbele ya viongozi wa kanisa wazebaba waliona anazungumzia uchawi mimi hadi theories za Copernicus hua naziona zimekaa kichawi chawi tu……huko juu tumezungumzia jinsiwachawi na watu wa kawaida wanaweza kuproject illusion sasa na huku kwenye masuala ya teknolojia Illusion zinatengenezwa vizuri tu.

Holography ni mfumo unaowezesha mawimbi (wavefront )kurekodiwa ,kutengenezwa na kuonyeshwa tena katika picha zenye mfumo wa 3D, mbali na kurekodiwa mtu mwenye ujuzi anaweza kutengeneza Hologram kwa kutumia Computer Genarated Image. Mtu mwenye ujuzi wa holography anaweza kutengeneza kitu chochote atakachwa kwa kutumia Computer kisha akakiproject kwa projectors maalumu. Mtu anaweza kutengeneza hata mazingira unaona hapa kunanyumba zipo hivi na hivi ila kiuhalisia hakuna kitu kama hicho it’s just an illusion. Technology its so interesting kwakweli unaweza kudhani hapa tunapigiana hadithi za uongo ila ni vitu vipo sema tu sio kwa ajili ya matumizi ya kawaida kumbuka kila teknolojia unayoiona basi ujue chanzo chake cha kuundwa ni ili ikatumike jeshini/ajili ya kulinda usalama wa watu. Ssi tunaletewa hizi teknolojia ndogondogo tu ili tufurahie na kuboresha maisha tu , ndio maana mtu akikuambia kwamba unaweza kufungua njia ukatokezea kijijini kwenu utaona ni uongo ila wachawi wanafanya sana.

Jiulize tu mtu mchawi anawezaje kupotea chap akatokezea chumbani kwa mtu au mkoa mwingine its simple they jus opening portal/gateway na kutokezea upande mwingine kiuchawi inawezekane nikisema kwa kutumia physics inawezekana pia mtanibishia kama mnavyobishia Time Travelling.

Tuishie hapo, panapo majaliwa ten…


Da’Vinci

-excelsior
ngoja nitulie nisome
 
Mfano 3 jinsi Ubongo unavyo-Ignore vitu.
Ukienda sehemu labda sehemu yenye harufu kali kwa muda kama dakika 3 halufu itakua kali ila baada ya muda harufu itakata/utaona ile hali ni ya kawaida (Chukulia mfano vyoo vya shule au vya Sokoni😆)

Ukikaa muda mrefu chooni Ubongo wako una ignore ile harufu unakua unasikia tu harufu ya kawaida. Ubong unafanya kuipuuza hiyo harufu ili uepukane nakero ya harufu...
Kisayansi kitendo hicho huitwa Diffusion ambapo ni mjongeo wa vitu kutoka sehemu yenye mgandamizo mkubwa kwenda kwenye mgandamizo mdogo (Movement of particles from the area of higher concentration to lower concentration)
 
Sio kwamba pua iko chini ya macho ndo maana haionekani
Kama kilivyo kidevu hakionekani na macho 4 real
 
Sio kwamba pua iko chini ya macho ndo maana haionekani
Kama kilivyo kidevu hakionekani na macho 4 real
Pua linaonekana hasa ncha yake, ila kidevu hakionekani kwa sababu macho yanaona kwa nyuzi 120. Macho na kidevu yapo kwenye nyuzi sawa 0° ndio maana hayawezi kuona kidevu. Angalia macho yako na kidevu kama havipo usawa mmoja.
Nimeeleweka?
 
Kuna swali langu niliuliza hapo ili nipate mawazo tofauti kutoka kwenu naona halikijibiwa. Basi ningependa niweke mawazo jibu langu hapa. Mtanikosoa kama haitaMake sense...
Swali linahusu je Ubongo wa Mwanadamu hua unasahau? Je mtu hufanyeje ili kukumbuka kitu?

Binafsi nasema Hapana, Mwanadamu hua hasahau kitu, ni taarifa hua zinakua deceased kwa muda. Kivipi??


Mwanadamu anakusanya taarifa (data) mbalimbali kwa kutumia mifumo ya fahamu kama Pua (Taarifa za harufu), Ulimi (Radha), Macho (Picha) Masikio (Sauti) na ngozi (Hisia).
Sasa basi Mwanadamu anapochukua data kwa kutumia moja ya mlango wa fahamu mfano Macho labda alimuona mtu fulani sehemu falani basi ile data hiyo inahifadhiwa kwenye ubongo wako unaohusika na kumbukumbu hapo itaitwa information .

Sasa kwa siku moja mtu anaona watu na vitu vingi sana inafika hatua information ya mtu yule inapotea kichwani humkumbuki tena hapo tunasema "Umemsahau" lakini si hivyo kinachotokea ni kwamba Folder lenye information za mtu huyo zinakua mbaaaali sana Kwakua halitumiki mara kwa mara (Yaani mtu huyo hamuonani labda imepita miaka 10)

Sasa siku ukikutanana yule mtu ubongo unachukua data ya picha yake kwa kutumia macho yako, sauti yake kwa masikio yako kisha inaipeleka ile picha kwenye maktaba ya kumbukumbu kichwani mwako...inachofaya inafananisha/inaScan kama kuna taarifa zinazomuhusu mtu huyo ndani yako. Pale unapokua unasumbuka kumkumbuka mtu ndio mafaili yanapekuliwa na ubongo huko ndani (Hapo mtu anazidi kukuambia hunikumbuki tu 😆 tukikutana sehemu fulani)

Ubongo unaScan wee unaleta taarifa za watu mabalimbali wenye kufanana na mtu huyo. Hapo mtu anaanza kuuliza au wewe ni fulani? Wewe sio fulani kweli? Hadi inakuja ile picha halisi kabisa.
Unampata
Ubongo haupotezi taarifa yoyote ya Mwanadamu Never! Ni vile tu taa

Njia hiyo ndio Google wanaitumia unapoSearch kitu kwenye site zao.
Upo sahihi mkuu,

Lakini kuna aina mbili za memory
Short term memory
Long term memory

Hizo unazozizungumzia ni long term memory ndio huwa zinahifadhiwa hazipotei, lakini short term memory kama vile majibu ya hesabu za logarithm ulizozifanya ukiwa form two majibu yake yote unayakumbuka?

Kiufupi ni kwamba kuna taarifa ndogo ndogo hua zinakuwa filtered kabla ya kupakiwa kwenye long term memory mfano namba majina n.k zisipofanikiwa zinakuwa erased ndio maana unaweza kumkumbuka mtu ila usikumbuke jina lake.
 
Ahsante kwa kuongezea..
Lakini mkuu kwa wale wenye kumbukumbu kali inakuaje?? Mfano mimi nikisoma kitu nakua naona kama kilivyo ndani ya kichwa changu
Nikiamua kumkumbuka kitu nakumbuka every detail...
Watu wasiosahau vitu vidogovidogo si wapo??
Uwezo mkubwa wa kutunza kumbu kumbu unategemea mambo yafuatayo
  • Umri
  • Lishe
  • Trauma kama vile ajali inayohusisha kichwa au kupigwa na kitu kizito kichwani kinaweza kuathiri uwezo wa kutunza kumbu kumbu
  • Magonjwa kama vile Malaria, HIV/AIDS, parkisons disease, stroke, Delirium, dementia n.k yanaweza kupunguza uwezo wa kutunza kumbu kumbu
  • Kubanwa kichwa wakati wa kujifungua kunaweza kujeruhi ubongo, inasemekana watoto njiti na wanaozaliwa kwa opereaheni wengi ni ma genius
  • Uvimbe kwenye ubongo au kansa
  • N.k
Mkuu wewe ni mtoto njiti? Au ulizaliwa kwa oparesheni?
key point ni kwamba jambo lolote linalo athiri ubongo huhatarisha afya ya akili.
 
Back
Top Bottom