Mind Illusion Projection: Jinsi ya kuidanganya mind ione vitu visivyo halisi kua ni halisi

Mind Illusion Projection: Jinsi ya kuidanganya mind ione vitu visivyo halisi kua ni halisi

You can enchant someone by entering in his/her mind and project some illusion. But you can't enchant me coz my mind is too strong 🤗
Only a weak mind can be enchanted
 
Anza kukitafakari hiki nilicho kiandika kwanza kisha kifate.
Same applied kwa sisi tuifatayo Nuru kama una upako wako/roho mtakatifu rohoni mwako ukianza tu kujikita kutafuta mali basi ule uwezo wako unaanza kuupoteza maana unakua umewekeza nguvu zaidi katika kutafuta mali za mwili na sio mali za roho yako. Kwa kulizingatia hilo ndio maana watawa wa kikatoliki hua hawajishikizi katika materials kama vile pesa,majumba,watoto,mke nk maana wanajua wakiruhusu hiyo itokee basi hakutakua kuna Integrity ya utume wao maana huwezi tumikia mabwana wawili.
 
Same applied kwa sisi tuifatayo Nuru kama una upako wako/roho mtakatifu rohoni mwako ukianza tu kujikita kutafuta mali basi ule uwezo wako unaanza kuupoteza maana unakua umewekeza nguvu zaidi katika kutafuta mali za mwili na sio mali za roho yako. Kwa kulizingatia hilo ndio maana watawa wa kikatoliki hua hawajishikizi katika materials kama vile pesa,majumba,watoto,mke nk maana wanajua wakiruhusu hiyo itokee basi hakutakua kuna Integrity ya utume wao maana huwezi tumikia mabwana wawili.
Maneno yako uliyo yaandika yanahitaji mada pweke kuyajidili sababu yana pingana na akilo iliyo salama kadhalila uhalisia.

Ninachokijua mimi ni kuwa katika watu walio haribu imani (dini) ni WATAWA. Sababu wamejiharamishia yale aliyo halalisha Mola muumba. Hili linataka kutafakari. Si kweli watoto,wake au mali vina sifa hiyo pekee,kwani unaweza kuvitumia hivyo ukaipata pepo ya muumba.

Kadhalika umetumia tamko "utume" sijaelewa umelitumia kilugha au kiistilahi (kisheria) kama kisheria hakuna mtume wala nabii katika uso huu ardhi,kwanza ukizingatia maana ya tamko hilo pili ukiangalia uhalisia wa mambo.

Inabidi upate muda uwe unatafakari kwa kina unachokiamini,siyo unaamini tu.
 
Project illusion kwenye ajali
Kuna jamaa ambae alikuwa akitumiwa na wachawi aliwahi kueleza kwamba ajali jinsi inavyotokea au namna gani mtu anasababisha ajali

Alisema kinachofanyika pale ni kuamisha barabara na kuilekeza kwenye makolongo yaani dereva asiyekuwa na kinga Wala nguvu za kiroho huona barabara imenyooka Kumbe sivyo na kupelekea ajali mbaya Sana.

Me mwenyewe situation Kama hiyo imeshanikuta Sana nikiwa naendesha kamkweche kañgu kwenye lami, kwakweli usione mtu kasababisha ajali ukazani ni akili zake hapana bali project illution imetumika Kama mtoa mada alivyoeleza, waswahili huita kiini macho.
 
Project illusion kwenye ajali
Kuna jamaa ambae alikuwa akitumiwa na wachawi aliwahi kueleza kwamba ajali jinsi inavyotokea au namna gani mtu anasababisha ajali

Alisema kinachofanyika pale ni kuamisha barabara na kuilekeza kwenye makolongo yaani dereva asiyekuwa na kinga Wala nguvu za kiroho huona barabara imenyooka Kumbe sivyo na kupelekea ajali mbaya Sana.

Me mwenyewe situation Kama hiyo imeshanikuta Sana nikiwa naendesha kamkweche kañgu kwenye lami, kwakweli usione mtu kasababisha ajali ukazani ni akili zake hapana bali project illution imetumika Kama mtoa mada alivyoeleza, waswahili huita kiini macho.
Kweli kabisa wachawi wanatumia sana mbinu hiyo ya kiini macho. Unaona mnazika mtu kumbe mnazika mgomba. Ndio wanasema kua mtu mwenye macho yake manne ameona kua pale hawajazika mtu... Actually sio mtu ana macho manne au anauoni mzuri bali ni mtu ambae mind yake ipo strong enough kuziwia kua enchanted. Mtu anweza kua stronger in mind kwa uwezo wa giza au mwanga!

Haiingii akilini unaenda kutizama mazingaombwe halafu mwanamazngaombwe anakutengenezea shilingi efu 10 kwa shilingi miatano yako uliyoingilia kuangalia. Wanajua ile hela ile sio halisi
 
Kuna mwanamazingaombwe mmoja alitutishia kutugeuza nyoka baada ya kuchungulia alipokua anatoa show,[emoji3][emoji3][emoji16]
 
Kuna mwanamazingaombwe mmoja alitutishia kutugeuza nyoka baada ya kuchungulia alipokua anatoa show,[emoji3][emoji3][emoji16]
Wale jamaa walitudanganya sana. Elimu inasaidia sana hakuna kitu ambacho hakipanguliwi na physics
 
Maneno yako uliyo yaandika yanahitaji mada pweke kuyajidili sababu yana pingana na akilo iliyo salama kadhalila uhalisia.

Ninachokijua mimi ni kuwa katika watu walio haribu imani (dini) ni WATAWA. Sababu wamejiharamishia yale aliyo halalisha Mola muumba. Hili linataka kutafakari. Si kweli watoto,wake au mali vina sifa hiyo pekee,kwani unaweza kuvitumia hivyo ukaipata pepo ya muumba.

Kadhalika umetumia tamko "utume" sijaelewa umelitumia kilugha au kiistilahi (kisheria) kama kisheria hakuna mtume wala nabii katika uso huu ardhi,kwanza ukizingatia maana ya tamko hilo pili ukiangalia uhalisia wa mambo.

Inabidi upate muda uwe unatafakari kwa kina unachokiamini,siyo unaamini tu.
You take me for a fool, aren't you???
 
Positive affirmations are also very useful for keeping our brains occupied with pleasant and empowering thoughts or visualizations.

It is continually sorting impressions, deciding which are relevant to you and which are not.

So, you are walking across the street, you hear the roar of the moving automobile and you see that it is bearing down on you. Because of your knowledge of the speed of moving vehicles, you analysis tells you you are in danger and that some decision is required. you first question is, “Do I get out of the way? Yes or no?”

If the decision is “yes,” then your next is, “Do I jump forward? Yes or no?” If the decision is “no,” because of cross traffic, then you next question is, “Do I jump backward? Yes or no?”

If your decision is “yes,” this message is instantly transmitted to your subconscious mind and in a split second, your whole body jumps back out of the way, with no additional thought or decision on your part.
 
Sometime uwe unanitag basi.

Big up.
Ooh sorry. Next time nitakua nakualika basi kwenye mada.
Thanks for noticing me.
-any Qns so far?? I'll gladly to answer your question
 
Da'Vinci
Even for me, i appreciate this man. He know how to write unthinkable issue to become thinkable issue.
Pamoja sana Kiongozi, thinking is the only thing I can splendid do. Furaha yangu ni kuona watu wamependa na kuelewa mawazo yangu
For sure, He deserve more credit than he receive.
Best Regards
John Joba
Mpaka uwe na jina mjini ndio unaweza kupata hizo more credit. I'm nobody here
 
Back
Top Bottom