Mionekano ya vijana wa kiume huko tiktok mbona ina utata sana

Mionekano ya vijana wa kiume huko tiktok mbona ina utata sana

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Huu mtandao Nimeujua muda mrefu ila nilikuwa sijawahi kabisa kuingia kuna clip nyingi nilikuwa naona zinasambazwa kwenye mitandao mingine kiukweli kama mtu siku hiyo upo bored ukikutana na clip za tiktok zitakufanya ufurahi

Sasa leo ndio nimepakua hiyo app nimeingia kwenye huo mtandao nimeona kuna vijana wengi wa kiume kundi kubwa la vijana sura zao ni nyororo mno pigo zao zinatia utata kujilamba lips
 
Huu mtandao Nimeujua muda mrefu ila nilikuwa sijawahi kabisa kuingia kuna clip nyingi nilikuwa naona zinasambazwa kwenye mitandao mingine kiukweli kama mtu siku hiyo upo bored ukikutana na clip za tiktok zitakufanya ufurahi

Sasa leo ndio nimepakua hiyo app nimeingia kwenye huo mtandao nimeona kuna vijana wengi wa kiume kundi kubwa la vijana sura zao ni nyororo mno pigo zao zinatia utata kujilamba lips
Mwanaume kitendo cha ku download huo mtandao tayari ushaushusha uwanaume wako
 
Huu mtandao Nimeujua muda mrefu ila nilikuwa sijawahi kabisa kuingia kuna clip nyingi nilikuwa naona zinasambazwa kwenye mitandao mingine kiukweli kama mtu siku hiyo upo bored ukikutana na clip za tiktok zitakufanya ufurahi

Sasa leo ndio nimepakua hiyo app nimeingia kwenye huo mtandao nimeona kuna vijana wengi wa kiume kundi kubwa la vijana sura zao ni nyororo mno pigo zao zinatia utata kujilamba lips
Umemuona Uchebe lkn jamaaa anacheza afu anageuka anatikisa kalio dah nchi ngumu hii[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Jamaa wamejipiga filter meno meupo wanaonyesha lips wanaimba nyimbo mapunga huyu mtandao sijawai wala sitokuwa download Maisha naona clips zao instagram
 
[emoji38][emoji38] pole sana mkuu Ila hii tiktok ni ya madadaz tu na ukweli ndio huo
 
Umemuona Uchebe lkn jamaaa anacheza afu anageuka anatikisa kalio dah nchi ngumu hii[emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Anatikisa kishundu. Ila Shilole ana cha kujibu kwa Mungu, kumtoa ustaadh wa watu gereji na kumfanya awe mtu mitandao. Leo Uchebe anapiga picha akiwa chumba cha hotel anakata viuno kutoka kutoa aya za Q'uran🤣🤣🤣
 
daaa na mimi kuna kipind niliona nitizame, ila nilikua namuweke she flan kwenye simu yake..

Kwakweli niliona huo mtandao haunifai.
ila ni app nzuri kwa kutengenezea Video Clips.
 
Back
Top Bottom