DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
- #21
Bashe kusimama na Lissu hawezi ila kusimama na Mama anaweza..Kutoka CCM sio kwa kuvutwa, ni kwa kukosa nafasi wakati upinzani kwenda CCM ni maslahi.
Mkuu huwezi kuwa serious, Bashe hata kusimama na Lissu hawezi ndio useme asimame na mama?
CCM wana uhaba wa viongozi wenye mvuto kwa sasa, Mama mwenyewe ni sababu ya dola tu lakini ndio hayohayo.
Kumbuka Bashe anaweka Kiasi kupata ushawishi ila kwa lissu kwa sasa Anakosa Mvuto sana..
Mi naona Mvuto mwingi unaanza kurudi kwa Mbowe kama ilivyokuwa mwaka 2005..Mbowe alivyokuwa wamoto..
Kuhusu Mvuto ni kwli CCM kwa sasa Viongozi wanalazimisha kupendwa ila na wenyewe wanajua hawapendwi