Mipaka ya Chama Tawala na Ukomo wake, Vipi kuhusu kambi kuu ya Upinzani Bungeni

Mipaka ya Chama Tawala na Ukomo wake, Vipi kuhusu kambi kuu ya Upinzani Bungeni

Inaenda kuundwa serikali ya mseto, maana chama chenye Wabunge wengi kitaweza kuwa na Spika wa Bunge na Waziri Mkuu.

So ili Rais aweze kufanya kazi ni lazima aungane na chama chenye Wabunge wengi ili serikali iundwe na kufanya wajibu wake.

Ova
Sio kwa mujibu wa ufafanuzi uliotolewa. Inaelekea Katiba iliyopo inampa mamlaka Rais kuvunja bunge kama anaona litamkwamisha. Kwa mantiki hiyo halazimiki kufanya kazi nao wakati ana haki ya kuvunja Bunge na kuita uchaguzi mpya.

Amandla...
 
Sio kwa mujibu wa ufafanuzi uliotolewa. Inaelekea Katiba iliyopo inampa mamlaka Rais kuvunja bunge kama anaona litamkwamisha. Kwa mantiki hiyo halazimiki kufanya kazi nao wakati ana haki ya kuvunja Bunge na kuita uchaguzi mpya.

Amandla...
Itabidi awavunje pia na wapiga kura, kama ni walewale watamrudishia Bunge lilelile alilovunja. Ndiyo maana njia sahihi isiyo ya kubet ni kuunda serikali ya pamoja.

Ova
 
Itabidi awavunje pia na wapiga kura, kama ni walewale watamrudishia Bunge lilelile alilovunja. Ndiyo maana njia sahihi isiyo ya kubet ni kuunda serikali ya pamoja.

Ova
Unadhani atarudia tena kosa wakati wanao hesabu kura ni wateuzi wake? Na nguvu ya uteuzi bado ni yake? Aidha, utashangaa kuona wale walioshinda wana hamia kwake.
Hii Katiba imekaa vibaya kwa kweli.

Amandla...
 
Inaenda kuundwa serikali ya mseto, maana chama chenye Wabunge wengi kitaweza kuwa na Spika wa Bunge na Waziri Mkuu.

So ili Rais aweze kufanya kazi ni lazima aungane na chama chenye Wabunge wengi ili serikali iundwe na kufanya wajibu wake.

Ova
Usichanganye na katiba ya Zanzibar ambayo inaruhusu serikali ya mseto. Katiba ya Tanzania hairuhusu mseto wa serikali.
 
[emoji28][emoji28][emoji28]
Hivi mkuu umejisikia kabla ya kujibu [emoji1787][emoji1787]
Unatakiwa ujuwa nini Maana ya Tawala
Labda wewe unechagua kujidanganya mwenyewe ....wewe unadhani ungewauliza wapinzani na ccm wachague chama chao kitoe wabunge wengi na kukosa urais au wakose wabunge wengi wapate urais ...unadhani wangechagua nini ? Bila shaka wote wangechagua vyama vyao vitoe Rais unajua kwa nini ? Ni sawa na kuulizwa swali je uwena wake wengi warembo ila usiwe na nguvu za kiume (anithi ) au uwe na mke moja tu na uwe na nguvu za kiume kamili weweungechagua nini ?


Bunge ni = anithi
Rais = lijari
 
Labda wewe unechagua kujidanganya mwenyewe ....wewe unadhani ungewauliza wapinzani na ccm wachague chama chao kitoe wabunge wengi na kukosa urais au wakose wabunge wengi wapate urais ...unadhani wangechagua nini ? Bila shaka wote wangechagua vyama vyao vitoe Rais unajua kwa nini ? Ni sawa na kuulizwa swali je uwena wake wengi warembo ila usiwe na nguvu za kiume (anithi ) au uwe na mke moja tu na uwe na nguvu za kiume kamili weweungechagua nini ?


Bunge ni = anithi
Rais = lijari
Unajua kuwa Bunge linaweza kumtoa Rais madarakani??
 
Unajua kuwa Bunge linaweza kumtoa Rais madarakani??
Swala siyo kumtoa au kutomtoa ....maana hata rais pia anaweza kuvunja bunge na kuitisha uchaguzi ...kumbuka zambia rais alifanyiwa figisu kwenye chama tawala akakimbilia chama cha upinzani kukafanyika uchaguzi akashinda tena
 
Swala siyo kumtoa au kutomtoa ....maana hata rais pia anaweza kuvunja bunge na kuitisha uchaguzi ...kumbuka zambia rais alifanyiwa figisu kwenye chama tawala akakimbilia chama cha upinzani kukafanyika uchaguzi akashinda tena
Sasa vipi kama Bunge likapitisha Dhima ya kutokuwa na Imani na Rais kabla ya yeye ajapanga kulivunja???
 
Itakuwa kana ilivyo Poland sasa.

Serikali itakuwa ya chama chenye wabunge wengi na Ndio hao watatoa PM.

Upinzani kitakuwa hicho chama kilichotoa Rais.

Itabidi Rais ashirikieni na waziri mkuu kuunda serikali na taasisi zingine. Vinginevyo Rais atanyimwabajeti kwenye mambo mengi.

Hapo mtifuano lazima uwe mkubwa. Dawa ni kuunda serikali ya mseto.
 
Sasa vipi kama Bunge likapitisha Dhima ya kutokuwa na Imani na Rais kabla ya yeye ajapanga kulivunja???
Wewe umejitoa kwenye mada yako mwenyewe ...maana uliuliza kuwa kati vya urais na ubunge upi unakifanya chama kuwa tawala? Ila kwa sasa umetoka nje ya mada unataka kushindanisha nguvu ya mihimili....ila kwa vyovyote vile hata kama watamwai rais kwa kupiga kura bado ni bure yeye anaendelea kuwa rais mpaka uchaguzi mwingine hivyo anaweza kujiunga na chama chochote kingine na kugombea uchaguzi mpya ...na nikakutolea mfano wa zambia
 
Wewe umejitoa kwenye mada yako mwenyewe ...maana uliuliza kuwa kati vya urais na ubunge upi unakifanya chama kuwa tawala? Ila kwa sasa umetoka nje ya mada unataka kushindanisha nguvu ya mihimili....ila kwa vyovyote vile hata kama watamwai rais kwa kupiga kura bado ni bure yeye anaendelea kuwa rais mpaka uchaguzi mwingine hivyo anaweza kujiunga na chama chochote kingine na kugombea uchaguzi mpya ...na nikakutolea mfano wa zambia
Mkuu hii ni paradoxical Events sitaki kuizungumzia sana..
Maana wapiga kura bado ni wale wale vipi wakiendelea kuchagua vile vile na nchi ikaendelea kuwa vile vile kwenye uchaguzi kila mara...

Kuhusu Jibu la Mada yangu bado linakuwa Gumu kwa sababu..
Excutive (Serikali na Rais) bado na Wenyewe mi Muhimili kama ulivyo Bunge na Mahakama..

Mbaya zaidi kwa Tanzania Serikali haiwei serkali mpaka Ichagizwe na muhimili wa Bunge kwa hiyo baadhi ya watumishi wa Muhimili wa serkali (Mawaziri) ni wabunge Akiwemo Mtendaji Mkuu wa Kazi za serkali ambaye Ni waziri Mkuu...

Logic bado iko Na maswali mengi ambayo bado majibu sijapata kama unayo karibu
 
Hili swali hata mimi naomba kuuliza japo nimelikuta mahali.

Naomba kuuliza swali? Kuwa chama tawala kunatokana na kushikilia mhilili wa Serikali, mhimili wa Bunge au vyote viwili?

Mfano;
Chama cha Mapinduzi CCM kikishinda kura za urais na ndio kikaunda serikali..

ila Bungeni CHADEMA ndio ikawa na idadi kubwa zaidi ya wabunge tuchukulie Mfano Chadema ikawa na Wabunge 198 ACT 62 na vyama vingine 20 na Chama cha mapinduzi wakawa ina idadi ya wabunge 110..

kwa maana hiyo Chama cha CCM kitaunda kambi rasmi ya upinzani bungeni?
Au CHADEMA?

Hapo chama tawala ni Chama CHA MAPINDUZI au CHADEMA au CHADEMA na CCM kwa pamoja?

Cred..Thomas Kibwana..
Linashikila pande zote maana chenyewe kinatawal pasipo kipingamizi chochote
 
Mkuu hii ni paradoxical Events sitaki kuizungumzia sana..
Maana wapiga kura bado ni wale wale vipi wakiendelea kuchagua vile vile na nchi ikaendelea kuwa vile vile kwenye uchaguzi kila mara...

Kuhusu Jibu la Mada yangu bado linakuwa Gumu kwa sababu..
Excutive (Serikali na Rais) bado na Wenyewe mi Muhimili kama ulivyo Bunge na Mahakama..

Mbaya zaidi kwa Tanzania Serikali haiwei serkali mpaka Ichagizwe na muhimili wa Bunge kwa hiyo baadhi ya watumishi wa Muhimili wa serkali (Mawaziri) ni wabunge Akiwemo Mtendaji Mkuu wa Kazi za serkali ambaye Ni waziri Mkuu...

Logic bado iko Na maswali mengi ambayo bado majibu sijapata kama unayo karibu
Wacha na mimi nikuulize swali la akili lenye mtego ndani yake ...je msajili wa vyama akifuta usajili wa chama tawala wewe unadhani nini kitatokea kwa rais ? Maana swala lako linafanana sana na jambo la msajili kukifut chama tawala
 
Wacha na mimi nikuulize swali la akili lenye mtego ndani yake ...je msajili wa vyama akifuta usajili wa chama tawala wewe unadhani nini kitatokea kwa rais ? Maana swala lako linafanana sana na jambo la msajili kukifut chama tawala
Akikifuta ajiandae na kuhama nchi kabisa..
Na hata hicho kikao cha kufuta atakifuta akiwa na watu gani..maana kabla hajachapisha Maadhimio ya kikao..
Yeye ndo atakuwa amechapishwa kuachia ofisi 🤣🤣..
 
Akikifuta ajiandae na kuhama nchi kabisa..
Na hata hicho kikao cha kufuta atakifuta akiwa na watu gani..maana kabla hajachapisha Maadhimio ya kikao..
Yeye ndo atakuwa amechapishwa kuachia ofisi [emoji1787][emoji1787]..
Jibu lako ni sawa na kisa cha madenge aliulizwa na mwalimu ukiwa na maembe kumi rafiki zako wakakunyang'anya 6 utabaki na mangapi madenge akajibu nitapigana nao mpaka wanirudishie
Kwa ili swali nadhani umejua nini maana ya chama tawala ....maana chama tawala ni kile ambacho msajili akikifuta basi kunatokea tafaruku kwenye urais
 
Jibu lako ni sawa na kisa cha madenge aliulizwa na mwalimu ukiwa na maembe kumi rafiki zako wakakunyang'anya 6 utabaki na mangapi madenge akajibu nitapigana nao mpaka wanirudishie
Unajua kwanini kwa sababu bado ni paradoxical na inanirudisha pale pale kwenye kipi hasa ni Chama tawala
 
Mkuu hii ni paradoxical Events sitaki kuizungumzia sana..
Maana wapiga kura bado ni wale wale vipi wakiendelea kuchagua vile vile na nchi ikaendelea kuwa vile vile kwenye uchaguzi kila mara...

Kuhusu Jibu la Mada yangu bado linakuwa Gumu kwa sababu..
Excutive (Serikali na Rais) bado na Wenyewe mi Muhimili kama ulivyo Bunge na Mahakama..

Mbaya zaidi kwa Tanzania Serikali haiwei serkali mpaka Ichagizwe na muhimili wa Bunge kwa hiyo baadhi ya watumishi wa Muhimili wa serkali (Mawaziri) ni wabunge Akiwemo Mtendaji Mkuu wa Kazi za serkali ambaye Ni waziri Mkuu...

Logic bado iko Na maswali mengi ambayo bado majibu sijapata kama unayo karibu
Ebu chunguza vizuri thesis yako, uliandika mwenyewe au uliandikiwa? Usiendelee kusumbua watu kwa kuwa kamwe hutaelewa!
 
Hili swali hata mimi naomba kuuliza japo nimelikuta mahali.

Naomba kuuliza swali? Kuwa chama tawala kunatokana na kushikilia mhilili wa Serikali, mhimili wa Bunge au vyote viwili?

Mfano;
Chama cha Mapinduzi CCM kikishinda kura za urais na ndio kikaunda serikali..

ila Bungeni CHADEMA ndio ikawa na idadi kubwa zaidi ya wabunge tuchukulie Mfano Chadema ikawa na Wabunge 198 ACT 62 na vyama vingine 20 na Chama cha mapinduzi wakawa ina idadi ya wabunge 110..

kwa maana hiyo Chama cha CCM kitaunda kambi rasmi ya upinzani bungeni?
Au CHADEMA?

Hapo chama tawala ni Chama CHA MAPINDUZI au CHADEMA au CHADEMA na CCM kwa pamoja?

Cred..Thomas Kibwana..
Mnadai katiba mpya wakati iliyopo hamjaisoma na hamjui lolote
 
Back
Top Bottom