DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #41
Nilikuwa nimeki OverLook hicho kipengele ni baada ya kukisoma tena Ni naomba kuthibitisha kuwa..Unfortunately Rais anaruhusiwa kuvunja bunge na wakarudi kwenye uchaguzi. Since hakuna mbunge anaweza risk hilo ina maana watahamia CCM mara baada ya tu ya uchaguzi.
Hata Kenya tuliona hili, Odinga alikua na wabunge wengi ila Ruto alishinda urais. Ikabidi tu wabunge wengi wa odinga waunge mkono juhudi otherwise wangekosa miradi ya kiserikali n.k
Hivyo tunahitimisha kwamba anayeshinda Urais ndio atahodhi bunge hivyo hata upinzani ukishinda wabunge wengi bado hawawezi mchallenge Rais sababu ya katiba iliyompa umungu mtu Rais wetu
Ni kweli Bajeti zinaandaliwa na wizara husika lakini inapofikia hatua ya kupelekwa bungeni ni Rais anapeleka. Kwa hiyo anayehojiwa na Bunge ni Rais na Bunge likiikataa bajeti ni kwamba limemkatalia Rais na kuonyesha kutokuwa na imani naye. Hivyo Rais analazimika kuvunja Bunge na si hiari.Kwani Rais ndo anaandaa bajeti?
Bajeti inaandaliwa na wizara kutokea majumuishi ya chini ya kusector
Soma post #41Ni kweli Bajeti zinaandaliwa na wizara husika lakini inapofikia hatua ya kupelekwa bungeni ni Rais anapeleka. Kwa hiyo anayehojiwa na Bunge ni Rais na Bunge likiikataa bajeti ni kwamba limemkatalia Rais na kuonyesha kutokuwa na imani naye. Hivyo Rais analazimika kuvunja Bunge na si hiari.
Halazimiki ila lazima ashauriane na waziri mkuu ambaye ni Waziri kutoka Upinzani?
Kwahyo kitendo cha kushaurina na waziri mkuu ambaye sio wa chama chake huoni kama atalazimika?
View attachment 2911005
Sasa kuna tofauti ya kimantiki na nilichoandika? Bunge likikataa Bajeti Rais analazimika kuvunja Bunge na si hiari kwa sababu ni yeye anahojiwa na Bunge.Soma post #41
Baraza la mawaziri wa CCM, hawana mgombea wa uraisiBashe Kwenye BBT kafanya Utapeli tu hakuna kingine
Kipengele E kifutweNilikuwa nimeki OverLook hicho kipengele ni baada ya kukisoma tena Ni naomba kuthibitisha kuwa..
KWA KATIBA HII HAKUNA CHAMA CHA UPINZANI CHOCHOTE KITAKACHOCHUKUA NCHI HATA KAMA WAKIWEPO WOTE BUNGENI
View attachment 2911150
View attachment 2911151
Ugumu upi? Katika hali kama hiyo ni lazima Rais atambue kuwa raia hawana imani na chama chake kwa hiyo hawezi kutawala kama vile peke yake ndie aliyepewa ridhaa. Lakini kitakachotokea ni kuwa Rais atawahonga uwaziri wabunge wa chama kilichoshinda kwa sababu ingawa ni chama tawala lakini hakitakuwa na nafasi zenye maslahi za kuwahongq wabunge wake nje ya uenyekiti wa kamati. Ndani ya mwezi Waziri Mkuu atajikuta hana watu na mzani umeegemea kwa chama cha Rais!Mkuu Sikuwa na maanishi Hatari unayoisema wewe ya Vita au yoyote ile iliyofikiriwa..
Hata Hivyo Serkali mseto inakuwa Nzuri pale ambapo Naibu Rais/Makamu wa Rais ndiyo anakuwa Mpinzani ila waziri mkuu akiwa mpinzani Huwa ni kama kuna ugumu sana wa rais kutenda baadhi ya mambo
VIpi kipara Hatofaa?Baraza la mawaziri wa CCM, hawana mgombea wa uraisi
Soma Post No 41 atavunja Bunge lote na Utaitishwa uchaguzi mkuu hapo ndo tunaona Ubovu wa katibaUgumu upi? Katika hali kama hiyo ni lazima Rais atambue kuwa raia hawana imani na chama chake kwa hiyo hawezi kutawala kama vile peke yake ndie aliyepewa ridhaa. Lakini kitakachotokea ni kuwa Rais atawahonga uwaziri wabunge wa chama kilichoshinda kwa sababu ingawa ni chama tawala lakini hakitakuwa na nafasi zenye maslahi za kuwahongq wabunge wake nje ya uenyekiti wa kamati. Ndani ya mwezi Waziri Mkuu atajikuta hana watu na mzani umeegemea kwa chama cha Rais!
Amandla...
Ndo wamegoma Kubadili katiba kwa sababu inawaweka madarakaniKipengele E kifutwe
Wala sijakuelewa..Jambo Zuri Ila , kama ni mtumishi wa serikali Yan (mtumwa) , akaenda upande wa chadema itakula kwako.
Jk alibadilisha Sheria ya Kwamba mtumishi wa serikali AU (mtumwa) hapasi kushiriki siasa.
Jk alirudusha Sheria ya ukoloni ya m UK , ya Kwamba ukiwa mtumishi wa ukoloni hupasi kuwafanya siasa.
Tulivyo upata uhuru nusu, Sheria ikabadilishwa MTU yoyete ana haki ya kushiriki siasa Kwa kufuata Sheria za nchi.
CCM ya jk wakabadilisha wakarudisha ile ya mkoloni, ili kuondoa ushindani kwenye siasa, kumbuka kipindi hicho wasomi wengi walingia kwenye siasa hasa vyama vya upinzani, nakuipa challenges CCM,
Kilichotokea ni Historia , kila MTU Anaye jihusisha na siasa inabidi awe chawa
Chama tawala ni kile kilicho shinda uraisHili swali hata mimi naomba kuuliza japo nimelikuta mahali.
Naomba kuuliza swali? Kuwa chama tawala kunatokana na kushikilia mhilili wa Serikali, mhimili wa Bunge au vyote viwili?
Mfano;
Chama cha Mapinduzi CCM kikishinda kura za urais na ndio kikaunda serikali..
ila Bungeni CHADEMA ndio ikawa na idadi kubwa zaidi ya wabunge tuchukulie Mfano Chadema ikawa na Wabunge 198 ACT 62 na vyama vingine 20 na Chama cha mapinduzi wakawa ina idadi ya wabunge 110..
kwa maana hiyo Chama cha CCM kitaunda kambi rasmi ya upinzani bungeni?
Au CHADEMA?
Hapo chama tawala ni Chama CHA MAPINDUZI au CHADEMA au CHADEMA na CCM kwa pamoja?
Cred..Thomas Kibwana..
Inatisha. Rais anaweza kuvunja Bunge kwa sababu za ovyo ovyo tu!Soma Post No 41 atavunja Bunge lote na Utaitishwa uchaguzi mkuu hapo ndo tunaona Ubovu wa katiba
VIpi kama Kikashinda Urais ila wabunge wote 393 wakawa Wa Upinzani?Chama tawala ni kile kilicho shinda urais
Cha msingi katiba mpya IundweInatisha. Rais anaweza kuvunja Bunge kwa sababu za ovyo ovyo tu!
Amandla...
Kinabaki kuwa chama tawala tu ila kisicho na nguvuVIpi kama Kikashinda Urais ila wabunge wote 393 wakawa Wa Upinzani?
π π πKinabaki kuwa chama tawala tu ila kisicho na nguvu
Inaenda kuundwa serikali ya mseto, maana chama chenye Wabunge wengi kitaweza kuwa na Spika wa Bunge na Waziri Mkuu.Kiongozi uje utoe neno hapa tafadhali. Nataka kujifunza zaidi kuhusu hili.
Mdakuzi