Mipango miji na usafiri Dodoma

Mimi nadhani wenye ma bus ndio wanatakiwa kujiongeza sio kila kitu mpaka wafikiwe, wanatakiwa kuna na mawakala wao pale kuwahudumia abiria ambao wanataka kusafiri na ma bus yao kuunganisha safari wewa Dar na Dom hili litasaidia na wao kupanga ratiba zao kuendana na Train. Lakini kama suala la umbali tu wa SGR na Bus Stand mimi nadhani hili halina solution sababu ukipelekwa wewe stand au wachache mpelekwe kuna abiria wengi wanashuka Dom wataingia usumbufu kama huo kulipa nauli kwenda makwao, kama mbali kwako basi ni mbali kwa wengine pia.

Stand Ya Magufuli Dar ni karibu kwa watu wa Kimara, Mbezi mpaka ubungo na sehemu zingine lakini ni mbali sana kutoka Mbagala, Kigamboni..... Na pia inachangamsha uchumi watu wanapata kazi.
 
Mji hauwezi kupanuka kama mtakusanya vitu vyote sehemu moja. Sasa toka SGR lazma kuwe na tax, boda au bajaji ili uende sehemu nyingine.

Hata stendi ya Morogoro iko mbali na ya SGR
Hapo niliichona ni kukosekana kwa usafiri wa daladala kati ya stesheni na stend.
 
Kilichokosekana ni RELIABLE PUBLIC TRANSPORT ndani ya mji. Sio suala la hizo stations kuwa karibu, haziwezi kukaa karibu popote pale.
 
Wanaoelekea Singida na Tabora unaende kupandia stend bubu Kizota
 
Swala ni muda. Na urahisi. Kama ni swala la uchumi marching guys wangeruhusiwa wauze karanga uwanja wa ndege. Waunganishe miundo mbinu. Italeta maana kupunguza muda wa safari.
 
Kilichokosekana ni RELIABLE PUBLIC TRANSPORT ndani ya mji. Sio suala la hizo stations kuwa karibu, haziwezi kukaa karibu popote pale.
Kwa sababu ya shughuli na misafara ya viongozi ni kawaida kusimamishwa muda mrefu ikisubiriwa ipite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…