Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Mnatuchanganya Sasa😡😡Mkopo ni laana achana na hio kitu,ukichukua 60 marejesho lazima uwape m 39 faida Yao.
So hizo ni Hela zako ndizo unakopeshwa.
Labda Kama unayo biashara uijuao vizuri uingize pesa huko japo biashara kwa Hela ya mkopo nayo ni laana zaidi.
Mikopo imewafanya watumishi wengi kuwa masikini zaidi.
Mkopo ni laana
Punyeto ni laana
Umasikini ni laana
Uzinzi ni laana
Mnataka sote tufanane ili mgundue Nini😡😡