Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.Hata kama protocol umri ule bado unataka madaraka ya ufalme!.
kabisa kabisa,angepigiwa kelele mlafi wa madaraka.Ingekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.
Si unakumbuka tulivyomtenga na kumuua Gadafi kwa visingizio vya kijinga.
Kumbe ukiwa na laana unaishi maisha safi na miaka yote hii?Laana ya kuhusika kumuua Mkewe, kipenzi cha watu masikini...Mwanamke Mrembo " Princess Diana"
Kwani Mabeyo wa UK anasemaje?Ingekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.
Si unakumbuka tulivyomtenga na kumuua Gadafi kwa visingizio vya kijinga.
"London Bridge is down"Kwamba wanajiandaa kwa mazishi wakati mtu hajafa?
Punguza kuhudhuria vijiwe vya kahawa.Laana ya kuhusika kumuua Mkewe, kipenzi cha watu masikini...Mwanamke Mrembo " Princess Diana"
Nop huyo hana kashfa. Prince William ni mtoto wa Charles. Yule mwenye kashfa ni prince Andrew ambae ni mdogo wake mfalme Charles.Prince Wiliiam si yule anayeitwa mbakaji.Hatakiwi kabisa.
Na Libya wanatumia mfumo wa Kifalme?!Ingekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.
Si unakumbuka tulivyomtenga na kumuua Gadafi kwa visingizio vya kijinga.