The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Amka wewe utajikojoleaGaddafi hakuwa mwafrika mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amka wewe utajikojoleaGaddafi hakuwa mwafrika mkuu
Uingereza wana katiba?Anasema kuna mvutano wengine wanataka harry awe king wengine william wengine malkia awe meghan basi sasa wanaangalia katiba inasemaje
HahahahaAmka wewe utajikojolea
Baada ya William ni GeorgeWilliam kijana wa Princes Diana, bila shaka atafuatia kukalia kiti. Japo ni kama familia ya kifalme inapitia moto maana mkewe William ana pitia kwenye ugonjwa wa kansa.
Ni kazi baada ya Willoam, je atafuata yule mtoto wa Diana wa nje ya ndoa?
George son of William ?Baada ya William ni George
YesGeorge son of William ?
WanaroganaKiti kimekuwa chamoto.
Laana wakati kakata miaka ya kutoshaLaana ya kuhusika kumuua Mkewe, kipenzi cha watu masikini...Mwanamke Mrembo " Princess Diana"
Kwanza babu yake aliwafunga babu zetu minyororoNajiuliza safari hii mama atakwenda tena aingizwe kwenye mkokoteni na maraisi wengine wa kiafrika ?
Napendekeza akifa viongozi wa kiafrika waache kimbelembele
Wewe na familia na yako bado hamjaanza mchakato wa mazishi yako?Sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
Nani anayefuatia kushika kiti chake kwa mujibu wa itifaki ya ufalme wa Uiengereza.
King Charles’ health ‘not good,’ funeral planning underway: Report
His Royal Highness Prince George of Wales is second in line to the throne just behind his father.William kijana wa Princes Diana, bila shaka atafuatia kukalia kiti. Japo ni kama familia ya kifalme inapitia moto maana mkewe William ana pitia kwenye ugonjwa wa kansa.
Ni kazi baada ya Willoam, je atafuata yule mtoto wa Diana wa nje ya ndoa?