Mipango ya kumzika mfalme Charles ineaendelea.Hali yake si nzuri.

Mipango ya kumzika mfalme Charles ineaendelea.Hali yake si nzuri.

"London Bridge is down"
Ndio phrase ilikuwa inatumika kuandaa mazishi ya mama yake Charles, Queen Elizabeth tangu mwaka 1960
Mpaka umauti ulipomkuta September 2022
Kwa hiyo hata King Charles ni maandalizi tu ya kawaida kwao kufanya hivyo

Hukumbuki mme wa Malkia alikufa kabla ya queen lakini maiti haikuzikwa ikisubiri Malkia afe ndio azikwe kwanza ndio mzee afuate
Kwa king charles ni kwamba baada ya kugundulika na pancretic cancer, inasemekana inakua kwa kasi sana, kiasi kwamba anakadirowa ana miaka miwili tu ya kuishi.
Ila pia yeye mwenyewe bado anahofu kwamba william hatoweza hajawa tayari kuongoza... So ni kama wapo kwemye dillema
 
BBC na vyombo vingine vya Kifalme, huwa wanafanya mazoezi haya-Mipango ya Mazishi-mara nyingi tu, hata pale Afya za Wafalme hao zikiwa nzuri.

Ufalme huu upo Ukingoni, udhalimu wake wa karne na karne sasa unapata majibu yake.

Familia wazidishiwe nguvu kwa kipindi hichi kigumu.


NB:Utakuwa mda muafaka kuondoka kwenye unyonyaji unaifanywa na Mkuu wa Jumuiya ya Makoloni yake. Commonwealth.

GOD save The King!
 
Ingekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.
Si unakumbuka tulivyomtenga na kumuua Gadafi kwa visingizio vya kijinga.
Gadafi Aliuliwa na hao hao magaidi wa Nato sio waafrika.
sisi hatukua wala hatuna shida ba Gadafi Majangili yalimuu.Yako hai mpaka leo Jangili la Kwanza Linaitwa Sakorzy Nicolaus lingine David Cameroun na Lingine Hullary Clinton haya majangili yalipanga yakaratibu zoezi la kumuua yule mzee.
 
Gadafi Aliuliwa na hao hao magaidi wa Nato sio waafrika.
sisi hatukua wala hatuna shida ba Gadafi Majangili yalimuu.Yako hai mpaka leo Jangili la Kwanza Linaitwa Sakorzy Nicolaus lingine David Cameroun na Lingine Hullary Clinton haya majangili yalipanga yakaratibu zoezi la kumuua yule mzee.
sarkozy kwanza alimtapeli Gadafi akapata pesa za uchaguzi
 
Gadafi Aliuliwa na hao hao magaidi wa Nato sio waafrika.
sisi hatukua wala hatuna shida ba Gadafi Majangili yalimuu.Yako hai mpaka leo Jangili la Kwanza Linaitwa Sakorzy Nicolaus lingine David Cameroun na Lingine Hullary Clinton haya majangili yalipanga yakaratibu zoezi la kumuua yule mzee.
Gadafi alikuwa gaidi hakustahili kuendelea kuishi kwa nataka Ali bora wa dunia
 
Ingekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.
Si unakumbuka tulivyomtenga na kumuua Gadafi kwa visingizio vya kijinga.
Uingereza mfalme/malkia ni ceremonial tu tofauti na huku kwetu.
 
Back
Top Bottom