raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Anasema kuna mvutano wengine wanataka harry awe king wengine william wengine malkia awe meghan basi sasa wanaangalia katiba inasemajeKwani Mabeyo wa UK anasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anasema kuna mvutano wengine wanataka harry awe king wengine william wengine malkia awe meghan basi sasa wanaangalia katiba inasemajeKwani Mabeyo wa UK anasemaje?
Kwa king charles ni kwamba baada ya kugundulika na pancretic cancer, inasemekana inakua kwa kasi sana, kiasi kwamba anakadirowa ana miaka miwili tu ya kuishi."London Bridge is down"
Ndio phrase ilikuwa inatumika kuandaa mazishi ya mama yake Charles, Queen Elizabeth tangu mwaka 1960
Mpaka umauti ulipomkuta September 2022
Kwa hiyo hata King Charles ni maandalizi tu ya kawaida kwao kufanya hivyo
Hukumbuki mme wa Malkia alikufa kabla ya queen lakini maiti haikuzikwa ikisubiri Malkia afe ndio azikwe kwanza ndio mzee afuate
Ndo wadhungu hao, hawana unafiki wanajua kabisa hatoboi hamna haja ya kurenbaremba taarifa.Kwamba wanajiandaa kwa mazishi wakati mtu hajafa?
Ko watu wasife ati laana? Shetani na Mungu wameua wangapi mbona wako hai?Laana ya kuhusika kumuua Mkewe, kipenzi cha watu masikini...Mwanamke Mrembo " Princess Diana"
Nisawa na kuambiwa stori mbaya za shetani, lakini uzuri wake hatuujui au hatuambiwi. Lakini hapo hapo twajua kila kitu ni duality ( negative na positive )Kumbe ukiwa na laana unaishi maisha safi na miaka yote hii?
Basi laana siyo kitu kibaya kama tunavyoaminishwa kumbe.
Ujanja wetu unaishia hapaNdio mwisho wa wanadamu wote.Ni ujinga tu kufurahia maisha na kusahau kifo.
Walau Camila Kawa queenHata kama protocol umri ule bado unataka madaraka ya ufalme!.
Gadafi Aliuliwa na hao hao magaidi wa Nato sio waafrika.Ingekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.
Si unakumbuka tulivyomtenga na kumuua Gadafi kwa visingizio vya kijinga.
sarkozy kwanza alimtapeli Gadafi akapata pesa za uchaguziGadafi Aliuliwa na hao hao magaidi wa Nato sio waafrika.
sisi hatukua wala hatuna shida ba Gadafi Majangili yalimuu.Yako hai mpaka leo Jangili la Kwanza Linaitwa Sakorzy Nicolaus lingine David Cameroun na Lingine Hullary Clinton haya majangili yalipanga yakaratibu zoezi la kumuua yule mzee.
Gadafi alikuwa gaidi hakustahili kuendelea kuishi kwa nataka Ali bora wa duniaGadafi Aliuliwa na hao hao magaidi wa Nato sio waafrika.
sisi hatukua wala hatuna shida ba Gadafi Majangili yalimuu.Yako hai mpaka leo Jangili la Kwanza Linaitwa Sakorzy Nicolaus lingine David Cameroun na Lingine Hullary Clinton haya majangili yalipanga yakaratibu zoezi la kumuua yule mzee.
Bado angekufa tu kila nafsi lazima ionje mautiLaana ya kuhusika kumuua Mkewe, kipenzi cha watu masikini...Mwanamke Mrembo " Princess Diana"
Halafu nihudhurie wapi kwingine Sheikh?Punguza kuhudhuria vijiwe vya kahawa.
Uingereza mfalme/malkia ni ceremonial tu tofauti na huku kwetu.Ingekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.
Si unakumbuka tulivyomtenga na kumuua Gadafi kwa visingizio vya kijinga.
Will ni mtoto wa Diana na Charles MfalmePrince Wiliiam si yule anayeitwa mbakaji.Hatakiwi kabisa.
Ndio hivyo mkuuKifo cha hovyo sana na fahari zote zile anakufa