Tofautisha majukumu ya Mfalme na Raisi/Waziri mkuu wa nchikabisa kabisa,angepigiwa kelele mlafi wa madaraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofautisha majukumu ya Mfalme na Raisi/Waziri mkuu wa nchikabisa kabisa,angepigiwa kelele mlafi wa madaraka.
Mere accusationsLaana ya kuhusika kumuua Mkewe, kipenzi cha watu masikini...Mwanamke Mrembo " Princess Diana"
Anasema kuna mvutano wengine wanataka harry awe king wengine william wengine malkia awe meghan basi sasa wanaangalia katiba inasemaje WWengine Maguire
Hawakufanya sawa, kifo wengi tunakiogopa.Kuna jamaa yangu washkaji zake walikuwa na baba yao mzee kweli alikuwa anaugua sana na wakaplan mazishi maana walijua hatachukua week kadhaa.
Kilichotokea ni kuwa yule mzee alikuwa anaibuka ghafla anaomba ugali mkubwa na samaki na anaomba nyongeza.
Hali hiyo iliendelea miaka miwili mpaka last week yule mzee ndio alifariki. Ila akiwa kama ameacha laana maana ilifikia mahali vijana wake walipoona hafi wakawa kama wamemtelekeza.
Vuta kumbukizi kwa maandalizi ya mazishi ya baba wa Taifa, namna yalivyoanza huku hajafariki akiendelea na matibabu St Thomas hsp England.Kwamba wanajiandaa kwa mazishi wakati mtu hajafa?
Acha ujuha! Ulitaka aishi milele? Kwahiyo kwa kuwa wewe hujaua mtu, hautakufa?Laana ya kuhusika kumuua Mkewe, kipenzi cha watu masikini...Mwanamke Mrembo " Princess Diana"
Nimeshangaa sana wallah!! [emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe ukiwa na laana unaishi maisha safi na miaka yote hii?
Basi laana siyo kitu kibaya kama tunavyoaminishwa kumbe.
Mmmh hawaijui dawa ya kumalizia? Wakati mwingne wanageukaga wadudu au wanyama wakalii.Kuna jamaa yangu washkaji zake walikuwa na baba yao mzee kweli alikuwa anaugua sana na wakaplan mazishi maana walijua hatachukua week kadhaa.
Kilichotokea ni kuwa yule mzee alikuwa anaibuka ghafla anaomba ugali mkubwa na samaki na anaomba nyongeza.
Hali hiyo iliendelea miaka miwili mpaka last week yule mzee ndio alifariki. Ila akiwa kama ameacha laana maana ilifikia mahali vijana wake walipoona hafi wakawa kama wamemtelekeza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anasema kuna mvutano wengine wanataka harry awe king wengine william wengine malkia awe meghan basi sasa wanaangalia katiba inasemaje
Tafuta laana uishi good and blessed lifeNimeshangaa sana wallah!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee wa nongwa huyo😂Kuna jamaa yangu washkaji zake walikuwa na baba yao mzee kweli alikuwa anaugua sana na wakaplan mazishi maana walijua hatachukua week kadhaa.
Kilichotokea ni kuwa yule mzee alikuwa anaibuka ghafla anaomba ugali mkubwa na samaki na anaomba nyongeza.
Hali hiyo iliendelea miaka miwili mpaka last week yule mzee ndio alifariki. Ila akiwa kama ameacha laana maana ilifikia mahali vijana wake walipoona hafi wakawa kama wamemtelekeza.
Kwa nilizonazo nitaishi milele yote basi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta laana uishi good and blessed life
Fanya tugawane laana hizo mrembo😁Kwa nilizonazo nitaishi milele yote basi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tinubu na King Charles nani mkubwa? Zaidi kwa Uingereza kiongozi ni Waziri Mkuu, mfalme ni ceremonial!Ingekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.
Si unakumbuka tulivyomtenga na kumuua Gadafi kwa visingizio vya kijinga.
Mvutano huo wewe umechombezwa na nani yakhe!!Anasema kuna mvutano wengine wanataka harry awe king wengine william wengine malkia awe meghan basi sasa wanaangalia katiba inasemaje
Kwani ina athari gani kwenye uchaguzi wabserikali za mtaa?Sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
Nani anayefuatia kushika kiti chake kwa mujibu wa itifaki ya ufalme wa Uiengereza.
King Charles’ health ‘not good,’ funeral planning underway: Report
Gaddafi hakuwa mwafrika mkuuIngekuwa ni Afrika ingekuwa ni nongwa kubwa na sisi tungeandamana kudai kiongozi wetu ni mzee sana.
Si unakumbuka tulivyomtenga na kumuua Gadafi kwa visingizio vya kijinga.