JanuaryKipara ndiye nani ??!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JanuaryKipara ndiye nani ??!!
January
Naona imbecile ndio atarusha sattelite kule california huku hana hela kulipa mishahara?🤣😆😂🤸story za vijiwen, juz kenya imerusha satellite kwa gharama kubwa kule california eti leo ruto atafute hela za mishahara only imbecile can believe.
Sasa hapo umetoa hoja gani. Nafikiri wewe utakua mlamba asali mtumbuliwa au cheti feki mhanga awamu ya 5.Wazalendo uchwara mlipata nafasi ya kutawala, mkaishia kuumiza kila asiyewasujudia kwa ulevi wa madaraka, imefikia mahali tunaona afadhali wahuni kuliko nyie wazalendo uchwara, hata kama wote nyie ni walewale.
Hayo Majungu uliyoleta ndio hoja? Kuna utawala bora gani kwenye serikali ya majizi ya kura? Hapa tupo tupo tu. Huo uzalendo uchwara wako baki nao, acha wenye nafasi ya kupiga sasa wapige hili shamba la bibi. Nyie kaleni ile 1.5t mliyoiba kipindi cha dhalimu.Sasa hapo umetoa hoja gani. Nafikiri wewe utakua mlamba asali mtumbuliwa au cheti feki mhanga awamu ya 5.
Tunaongelea kufichua ufisadi kwa madhumuni ya kuimarisha uongozi bora wewe unajida liwalo liwe. Kwanza hakuna kitu kama sukumagang. Hii ni dhana mnajenga wapenda upigaji na walamba asali awamu ya mama.
Haya bhana..umeeleweka.🙏Hayo Majungu uliyoleta ndio hoja? Kuna utawala bora gani kwenye serikali ya majizi ya kura? Hapa tupo tupo tu. Huo uzalendo uchwara wako baki nao, acha wenye nafasi ya kupiga sasa wapige hili shamba la bibi. Nyie kaleni ile 1.5t mliyoiba kipindi cha dhalimu.
😂😂😂😂😂😂😂Sukuma Gang watainunua Chadema 2025
Halafu kanajiona smart sana, mipango mingiiii.Sijawahi kumkubali kipara ..
Zile 11 trilions alizopewa kwa ajili ya matengenezo zinaniuma kweli,watanzania tunahitaji maombi
Kipara ni Njaanuary....Kipara ndiye nani ??!!
Wewe mbona hujitambui mtu kaleta hoja sensitive wewe unaongea Pumba?watu kama wewe ndo mnaosababisha CCM waendelee kuiba hela za Uma.Hamia Burundi mkuu, achana na hizi stress zitakumaliza mapema
Yes ipo, kwenye baadhi ya maelezo yake, inaonesha kwamba hizo Meter zimenunuliwa bila kukaguliwa na mamlaka za ukaguzi km TBS etc....Mleta mada hivi Sasa tunajadili ripoti ya CAG. Hili nalo limo kwenye ripoti ya CAG?
hana siku nyingi pale, tushamjua ana tafuta pesa za uchaguzi!Sijawahi kumkubali kipara ..
Kaandika hoja gani hapo zaidi ya usukuma gang wake, hata kuandika kiswahili tu hajui then unakuja mbio kumtetea Sukuma gang mwenzio. Kubadiri maana yake ni nini? Nayo ni spelling error?Wewe mbona hujitambui mtu kaleta hoja sensitive wewe unaongea Pumba?watu kama wewe ndo mnaosababisha CCM waendelee kuiba hela za Uma.