Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Mradi wa Mwalimu Nyerere wa umeme, Barabara za mwendokasi, Mradi wa umeme Rusumo na daraja la Busisi speed yake imepungua Sana. Lakini pia usimamizi wa Wizara na idara za serikali si wakuridhisha. Mradi unavyochukua muda mrefu ndivyo gharama uongezeka. Niwaombe JMT tukimbizane imalizike Kwa wakati .
Lakini pia nimpongeze Mhe. Rais Kwa kupata fedha za mwendokasi awamu ya sita. Natamani kuona barabara inayotoka mjini kwenda airpot to Chanika inapewa kipaombele Kwa Sasa Kwa Sasa itasaidia kisarawe kupanuka, itasaidia kufungua milango ya biashara ukanda huo na kukuza Pato la mwananchi na Taifa
Lakini pia nimpongeze Mhe. Rais Kwa kupata fedha za mwendokasi awamu ya sita. Natamani kuona barabara inayotoka mjini kwenda airpot to Chanika inapewa kipaombele Kwa Sasa Kwa Sasa itasaidia kisarawe kupanuka, itasaidia kufungua milango ya biashara ukanda huo na kukuza Pato la mwananchi na Taifa