Mirathi ya Kobe Bryant yazua gumzo USA, utajiri wote wagawanywa kwa mke na watoto huku wazazi wakiishi kimaskini

Huna mtoto wewe eti mpenzi mtazamaji .
....hta wewe utazeeka na unakuta umefanya effort ila pesa ulilipia ada watoto na wakipata baadae wasikuangalie wewe Uwe mpenzi mtazamaji ni wao na wake zao tu how will you feel?fucking ushauri....
 
Kobe yeye kwa nini hakuwapa ama kuwasaidia wazazi wake akiwa hai?

Mwanaume cha kwanza unachotakiwa kufanya ukifanikiwa ni ku uplift kwanza background yako kabla hujaamua kusimama mwenyewe.

How comes jamaa aliwaacha na kuwatelekez wazazi wake bila kuwainua?

Watu weusi wa ulaya wana malezi mabaya sana. Angalia Ronaldo, amepata pes acha kwanza ni nyumbani, kuinua watu wako, kuinua ndugu zako kisha unaamua kujiinua mwenyewe

Shida ilikua kwa kobe, alikua mtu wa hovyo.
 
Una kitu Mkuu utafika mbali
 
Una wazazi?
 
Wakati wa uhai wake waandishi wa habari walienda kwa wazazi wa Kobe na kufanya mahojiano kuhusu maisha ya star huyo na picha za zamani wakawaonesha.
Kobe alikasirika sana na hakuwasamehe wazazi wake mpaka anakufa.
Kulikuwa na shida gani wazazi kuonesha picha kwa waandishi? Au zilionesha "uhalisia" wa familia enzi hizo? Ha ha ha! Ila kama ndio ukweli why akasirike?
 
Sababu ya kifo cha huyo
NI NINI? au umafia wa kimyakimya watu wabaki na mali?
 
Una wazazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…