Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi tuseme ukweli tu, huyu naye tumwite mwandishi wa habari?Jinamizi la watangazaji kuacha kazi bado linaendelea kuitafuna TBC, Mtangazaji mwengine mkongwe Miriam Migomba ametangaza kuondoka Shirika la Utangazaji Tanzania TBC baada ya kuhudumu kwa muda mrefu.
Migomba anakuwa mtangazaji wa pili kuondoka kwenye Shirika hilo ndani ya mwezi mmoja baada ya Djaro Arungu kuondoka wiki iliyopita.
View attachment 2898427
Video: Djaro Arungu aacha kazi TBC
Mtangazaji wa kipindi cha "Papaso" Djaro Deus Arungu, ametangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa kuanzia leo sio mfanyakazi wa TBC FM. ANGALIA VIDEO HAPA Djaro amefanya kazi TBC kwa muda wa miaka 20. Written by Mjanja M1 ✍️www.jamiiforums.com
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
hao wanasumbua kila sehemu, wanachojua ni theory tu ila practice ya chochote hawajui. wengine aliwaleta Mahakamani majaji, wale tunaoendaga mahakamani tunawajua, ukienda kwa jaji aliyetolewa chuo gani sijui chochote kile ambaye hakuwa anapractice, hadi unamwonea huruma, hapo unajuakumbe elimu sio vyeti, ni ujuzi unaotokana na uzoefu wa practice ya kitu. ni mambumbumbu mno, yule phd judge ......naomba niishie hapa nisijemtaja jina.Katika blunder ambayo Magufuli alifanya ni kuwapa vyeo vya kiutendaji academicians ndani ya Serikali the so called Ma doctors na Professors, hawa watu managerial skills ni zero.
Waachwe waendelee kufundisha na kuwafokea wanafunzi ndio level yao.
HahahahaKama Dijaro Arungu kaacha kazi sasa Besti Nasso si atakua analia Sana maana ndo msaniii pekee ambae nyimbo zake hazipigwi radio yoyote zaidi ya TBC alafu hapo TBC yenyewe ilikua zinapigwa kwenye kipindi cha dijaro arungu tu.
Vipi Ayoub Rioba (PhD) hakubaliani na maono ya watangazaji!? Kwa nini huyo alie!? Anaondoka bila kupenda!? Bila shaka Kuna kitu hakiko sawa.Katika blunder ambayo Magufuli alifanya ni kuwapa vyeo vya kiutendaji academicians ndani ya Serikali the so called Ma doctors na Professors, hawa watu managerial skills ni zero.
Waachwe waendelee kufundisha na kuwafokea wanafunzi ndio level yao.
Sasa kama mtangazaji mkubwa kama huyu analia (kama kweli kanyanyaswa kingono) si atakuwa mjinga TU wakati Kuna njia nyingi za kupambana, vipi house girl wa nyumbani atafanyaje!?Usikute ni manyanyaso ya kingono, kakataa. Unajua wanawake mateso huwa hayaishi. Hapo najua itakuwa ngono tu kamkatalia mkubwa mmoja basi
Wacha atuhabarishe sisi wengine tunaochelewa kupata habari. Shida nini kwani!?Huna kazi ya kufanya siyo? Nenda katuletea taarifa na taasisi zingine za umma walioacha kazi ni wangapi
Nimecheka sana mkuu😅😅😅😅 kwahiyo Best Nasso kuacha kazi kwa Djaro chozi la uchungu limemtokaKama Dijaro Arungu kaacha kazi sasa Besti Nasso si atakua analia Sana maana ndo msaniii pekee ambae nyimbo zake hazipigwi radio yoyote zaidi ya TBC alafu hapo TBC yenyewe ilikua zinapigwa kwenye kipindi cha dijaro arungu tu.
Tatizo ni wanafunziNakubaliana na wewe, yaani hao ma VCs vyuo vyote ni vimeo inasemekana siku hizi kama shule za misingi au sekondari kuna jamaa yangu anasema no independent thinking nowdays, ukijifanya mbishi wanakuhamishia ka chuo ka ajabu ajabu hahaha
Au kalazimishwa? Pengine ni wale CDF anawasema? Majina yao kama magumu magumu kidogo. Ni katika kuwaza tu.Jinamizi la watangazaji kuacha kazi bado linaendelea kuitafuna TBC, Mtangazaji mwengine mkongwe Miriam Migomba ametangaza kuondoka Shirika la Utangazaji Tanzania TBC baada ya kuhudumu kwa muda mrefu.
Migomba anakuwa mtangazaji wa pili kuondoka kwenye Shirika hilo ndani ya mwezi mmoja baada ya Djaro Arungu kuondoka wiki iliyopita.
View attachment 2898427
Video: Djaro Arungu aacha kazi TBC
Mtangazaji wa kipindi cha "Papaso" Djaro Deus Arungu, ametangaza kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa kuanzia leo sio mfanyakazi wa TBC FM. ANGALIA VIDEO HAPA Djaro amefanya kazi TBC kwa muda wa miaka 20. Written by Mjanja M1 ✍️www.jamiiforums.com
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 ✍️
Mnafiki tu. Kazi aache mwenyewe aje kulia mbele yetu.Sa analia nini?
Kweli bwana huyu atakuwa mtu wa ndani wa TBCMbona ni wewe ndio unaleta habari zao za kuchishwa kazi
Naunga mkono Hoja, hili Litakua Anguko la Best Nasso [emoji3][emoji3]Kama Dijaro Arungu kaacha kazi sasa Besti Nasso si atakua analia Sana maana ndo msaniii pekee ambae nyimbo zake hazipigwi radio yoyote zaidi ya TBC alafu hapo TBC yenyewe ilikua zinapigwa kwenye kipindi cha dijaro arungu tu.
Katumikia muda mrefu; almost 20 years!Sa analia nini?
Alitakiwa aondoke kwa kujivuniaKatumikia muda mrefu; almost 20 years!
Mnamkosea sana.Labda anatafuta huruma
Ova
Hatujui mazingira yaliyomfanya aondoke ila lazima asikitike kuwaacha baadhi ya watu aliokuwa karibu nao kikazi kwa hiyo miaka.Alitakiwa aondoke kwa kujivunia