Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Hivi Gwajima unamuonaje wewe? Muulize Mbasha atakusimulua vzr,alikamata msg akamhoji mke wake Frola akakili. Mpaka leo hii Mbasa ana act ku move on lkn dish limeyumba sababu ya Gwajima. Kama una ndugu yako kafa muute mwana CCM mwenzako Gwaji boy amfufueKuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kwa hiyo kwa mujibu wa mtoa mada Romani hakuna huduma za kiroho?hawa ndio wenyewe sasa wanaotoa huduma za kiroho, sio hayo ya wapinga kristo uliyoyataja
Ukiona MTU mzima anamuamini Gwajima ujue anashida kwa kichwa. Mzee wa mkono na kiuno cha baunsaHivi Gwajima unamuonaje wewe? Muulize Mbasha atakusimulua vzr,alikamata msg akamhoji mke wake Frola akakili. Mpaka leo hii Mbasa ana act ku move on lkn dish limeyumba sababu ya Gwajima. Kama una ndugu yako kafa muute mwana CCM mwenzako Gwaji boy amfufue
Maaskofu wa Kikatoliki wamefundishwa kikamilifu maisha ya Kikristo na wanajua elimu,uzoefu na hata kujitolea kimaisha kuishi maisha hayo.Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Elewa kuwa Katoliki huwa inawaelimisha sana makasisi wake kabla ya kuwasimika. Hakuna kasisi wa kikatoliki ambaye hana elimu ya Philosophy, Psychology na Logic.Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Mungu sio kama taasisi ya kusajiri wahandisi,au basata,kwamba akikutambua,kila MTU atajua,Kusoma sio tatizo unaweza kusoma alafu Mungu asikutambue.
Tofauti ni hawa wanavaa kanzu nyeupe na wengine wanavaa suti 😀😀Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Tofauti ni kwa saana kanisa katoliki ni taasisi wakati hawa wengine ni ofisi binafsi za mfukoni au wasaka tonge kwa lugha ingineKuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Si kweli! Hujui chochote. Unazungumzia jambo usilolijua. Wakatoliki tunaamini na ndio mafundisho ya kanisa kwamba ili umwone Mungu hupaswi kuwa na doa lolote. Hivyo basi kwa kuwa tunajua binadamu si wakamilifu na hapa na pale tunatenda dhambi wakati mwingine bila hata kujua basi tunafanya sala ili Mungu amsamehe huyu mja wake dhambi hizo ndogondogo alizofanya kwa kujua au kutojua. Imani yetu inatufundisha kwamba hawa wenye madoa ya dhambi lazima wasafishwe kwanza kabla ya kufika mbimguni. Kusafishwa huko kunafanyika mahali panaitwa toharani (purgatory). Hawa ndio tunawaombea. Huyu ni wajibu wetu kama wakristo. Mengine tunamwachia Mungu mwenyewe.Roman Catholic ni dhehebu duniani linaloamini mtu hata akiwa jambazi akafa na ujambazi wake waliobaki wakimwombea anaenda mbinguni, madhehebu mengine yote hayaamini katika hilo,yanaamini mtu hutengeneza njia yake kabla hajaondoka
Mbona mimi sijawahi kuona kwa Gwajima na wengine wa kiroho wakiongoza misa ya mazishi na hata ya ndoa?Ingawa sikuwaona lakini! Lakini wale wa madhehebu ya kiroho huwa hawalembi maneno kwenye misiba.Lazima wapige Neno LA Mungu bila kumng'unya maneno ya kufariji.Kama mtu amekufa bila kutubu dhambi zake kwa Jina la Yesu moja kwa moja ni Jehenamu hakuna cha Eee! Mungu iweke roho ya marehemu mahali pema peponi.Hapana!
Soma historia ya kanisa katoliki na jitihada zake za kuyazima makanisa mengine yaliyoibuka na kuukosoa mfumo wa katoliki.Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Hii code " Paris Club" , itabd nije PM.Mzee wetu "belongs to many societies in his faith" Wakatoliki wamekwisha maliza heshima yao kwake, bado tusubiri wale wa "Paris Club" ambao ni lazima "chronologically" Mkulu wetu akapate kuwa ndiye mwana mrithi na kupewa ile pete ya maagano.
Ile zawadi ya tausi wale, wale, wale! Nje ya maagano ya mbio za mwenge wa uhuru, ni balaa tupu, ni misiba baada ya misiba. Ingawaje ni " consipiracy theory" bali yanayokwenda kutokea ni kifo rasmi ya chama tawala. Mods lirudisheni jukwaa la dini/imani ili yale yaliyokusudiwa kwa taifa hili, watumishi wa Mungu aliye hai wakapate kuyaweka hadharani.
Kiongozi, hao si wakulingaisha na akina Gwajiboy, Mzee wa Upako,bMwingira nk.Kuanzia uvaaji, nidhamu ya ibada hadi swala la kuzingatia muda maaskofu wa Katoliki wako vizuri.
Nimesikiliza mahubiri ya mhashamu baba askofu Ngalale Kumtwa hayakuwa na mbwembwe wala malalamishi bali yalijaa busara, hekima na Upendo.
Kiukweli ipo tofauti ya kutosha kabisa baina ya maaskofu wa haya makanisa rasmi na wale wa Huduma za kiroho.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Bora sanamu kuliko nyie mnaowaabudu baba wachungaji(binadamu wenzenu)Wanaabudu sanamu tu