Misafara ya viongozi ni mzigo kwa wananchi

Misafara ya viongozi ni mzigo kwa wananchi

Mkuu zingatia neno: "usishangae."

Pia zingatia hawa hawa na ka utaratibu ka kuiga na mpambe was kusimama nyuma. Mbona si pk, Macron wala Biden?

Haka ka kasumba ka CCM kanakuwa kametuingia ingia damuni hivi ..

Hivyo usishangae mkuu ..
Yaani ndugu yangu, nimepata bahati ya kushuhudia convoy za Marais SA, Botswana, Rwanda....gari SI zaidi ya 5 na hakuna kusumbua sana traffic zingine! Nchi maskini lakini mikwara ya kifalme chungu nzima.... kaazi kwelikweli..
 
Yaani ndugu yangu, nimepata bahati ya kushuhudia convoy za Marais SA, Botswana, Rwanda....gari SI zaidi ya 5 na hakuna kusumbua sana traffic zingine! Nchi maskini lakini mikwara ya kifalme chungu nzima.... kaazi kwelikweli..
Angalia viongozi wetu hata wanapotembelea huko nje. Ulinzi wao na misafara yao huwa easy kabisa. Lakini kosa wanapokanyaga ardhi ya nyumban !!. Utadhani wananchi wao ndiyo maadui wao ?! Nashindwa kuelewa logic ya watu wa nyumbani kuonekana maadui kuliko huko nje.

Mikwara ya ulinzi mkubwa, misafara mikubwa, lakini wakiwa kwa watu huko wanapishana mpaka na vibaka bila shida yoyote. Sijui ni kasumba ?!
 
Back
Top Bottom