Misamaha ya Kisiasa na hatari ya Taifa lisiloheshimu mamlaka wala kufuata Sheria

Misamaha ya Kisiasa na hatari ya Taifa lisiloheshimu mamlaka wala kufuata Sheria

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Msamaha ni jambo jema sana kama binadamu na pia ni sehemu ya ibada. Kitabu kitakatifu cha biblia tunasoma maandiko yakisema samehe saba mara sabini ikiwa na maana kwamba msamaha hauna kikomo.

Vile vile kitabu hicho kinasema kwamba tuheshimu mamlaka iliyowekwa na Mungu na ya Kaisari tumpe kaisari na Mungu tumpe Mungu.

Awamu ya tano na sita tumeshuhudia misamaha ya kisiasa kwa baadhi ya watuhumiwa na hata wafungwa maarufu.

Nikianza na awamu ya tano tulishuhudia mfungwa maarufu Babu Seya na wanawe wakiachiwa huru.

Baada ya kuapishwa kuwa Rais, Samia alianza kwa kuwasamehe masheikh wa uamsho na kuwatoa mahabusu walikokuwako kwa kipindi kirefu, hiyo ilifuatiwa kwa kufutwa kesi nyingi sana zilizokuwa zikiendelea mahakamani, zikiwemo za Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema.

Hivi majuzi baada ya kikao na viongozi wa Dini na maombi ya kumsamehe Mbowe, tuliona DPP akiingiza nia yake ya kutoendelea na kesi jambo lililomfanya mbowe kuwa huru.

Mambo yote hayo yaliyofanyika kama nilivyoainisha hapo awali katika bandiko langu hili utaona uhusiano wa moja kwa moja wa mamlaka ya Urais na vitendo hivyo.

Ikimaanisha kwamba maamuzi hayo yamekuwa influenced moja kwa moja na kiti.

Ili kesi iende mahakamani na mpaka maauzi ya mahakama yatolewe taasisi mbali mbali za nchi zinakuwa zimehusika, hapo tunakuwa na takukuru,polisi,idara ya usalama, DPP na mahakama.

Taasisi hizi kulingana na mfumo wa nchi yetu ni huru, zinapaswa kuwa huru katika kutekeleza majukumu yake ya kusimamia utiifu wa sheria kwa raia wote hapa nchini.

Michango ya wanasiasa katika taasisi hizo ni kama haipo kwani inapokuja swala la kusimamia sheria siasa inakua haina nafasi tena.

Kwa sasa tumekua tukishuhudia maombi na nguvu za kisiasa katika kumaliza maswala ya kisheria hiyo ni hatari kwani tunajenga Taifa la watu wanaotegemea huruma ya wanasiasa badala ya kufuata sheria.

Ukiachana na maamuzi ya kisiasa kuingilia mchakato wa kisheria jambo hili limeendelea hata kwenye taasisi za kiulinzi na usalama ambapo jana ulipita msamaha mwingine kwa JKT waliogoma na kufukuzwa.

Sasa utaona ni namna gani misamaha inazidi kujichimbia zaidi katika Taifa letu badala ya kufuata sheria na kuheshimu mamlaka.

Kwa kufanya hivi tunakua tunakatisha tamaa watendaji wa taasisi zinaohusika na kusimamia utii wa sheria na usimamizi wa haki na pia tuna salimisha uhuru wetu kwa wanasiasa kwamba katika nchi hii maamuzi yote yatafanywa na wanasiasa tu.

Ushauri wangu ni kuhakikisha tunazipa uhuru zaidi taasisi zetu kuliko kuwekeza na kuongeza nguvu kwa wanasiasa.

Naliona Taifa letu likiangukia katika vurugu kubwa ya kutokuheshimu mamlaka wala kutii sheria kwani mwisho wa siku mwanasiasa ataingilia na hatimaye mhusika kuwa huru kwa matendo yake ambayo alipaswa kuwajibika nayo kisiasa.
 
Unateseka ukiwa wapi mheshimiwa?

Kama hupendezwi na hii hali si uungane na Wapenda mabadiliko kudai Katiba Mpya ya Wananchi, na ambayo itampunguzia Rais mamlaka yake yaliyopitiliza!
Tunawakabidhi wanasiasa uhuru wetu wote.

Hata ile dhana ya kuwa na taasisi huru za kiraia inakuwa haipo tena.
 
Kama wananchi wenyewe wanajali masilahi ya wanasiasa kuliko masilahi yao wenyewe unadhani hapo kuna nini tena?
 
Umeqoute vifungu vizuri sana lakini upeo wako wa uelewa umeuwekea mipaka nina maswali 2:
1 . Unadhani kaisari wa Tanzania ni nani?
Je, ni ccm?
2. Kila mamlaka zinawekwa na Mungu, ni kweli, lakini unaamini pia Mungu huyohuyo huziondoa mamlaka dhalimu?
Msamaha ni jambo jema sana kama binadamu na pia ni sehemu ya ibada. Kitabu kitakatifu cha biblia tunasoma maandiko yakisema samehe saba mara sabini ikiwa na maana kwamba msamaha hauna kikomo.

Vile vile kitabu hicho kinasema kwamba tuheshimu mamlaka iliyowekwa na Mungu na ya Kaisari tumpe kaisari na Mungu tumpe Mungu.

Awamu ya tano na sita tumeshuhudia misamaha ya kisiasa kwa baadhi ya watuhumiwa na hata wafungwa maarufu.

Nikianza na awamu ya tano tulishuhudia mfungwa maarufu Babu Seya na wanawe wakiachiwa huru.

Baada ya kuapishwa kuwa Rais, Samia alianza kwa kuwasamehe masheikh wa uamsho na kuwatoa mahabusu walikokuwako kwa kipindi kirefu, hiyo ilifuatiwa kwa kufutwa kesi nyingi sana zilizokuwa zikiendelea mahakamani, zikiwemo za Tundu Lisu Makamu Mwenyekiti wa Chadema.

Hivi majuzi baada ya kikao na viongozi wa Dini na maombi ya kumsamehe Mbowe , tuliona DPP akiingiza nia yake ya kutoendelea na kesi jambo lililomfanya mbowe kuwa huru.

Mambo yote hayo yaliyofanyika kama nilivyoainisha hapo awali katika bandiko langu hili utaona uhusiano wa moja kwa moja wa mamlaka ya Urais na vitendo hivyo.
Ikimaanisha kwamba maamuzi hayo yamekuwa influenced moja kwa moja na kiti.

Ili kesi iende mahakamani na mpaka maauzi ya mahakama yatolewe taasisi mbali mbali za nchi zinakuwa zimehusika, hapo tunakuwa na takukuru,polisi,idara ya usalama, DPP na mahakama.

Taasisi hizi kulingana na mfumo wa nchi yetu ni huru, zinapaswa kuwa huru katika kutekeleza majukumu yake ya kusimamia utiifu wa sheria kwa raia wote hapa nchini.

Michango ya wanasiasa katika taasisi hizo ni kama haipo kwani inapokuja swala la kusimamia sheria siasa inakua haina nafasi tena.

Kwa sasa tumekua tukishuhudia maombi na nguvu za kisiasa katika kumaliza maswala ya kisheria hiyo ni hatari kwani tunajenga Taifa la watu wanaotegemea huruma ya wanasiasa badala ya kufuata sheria.

Ukiachana na maamuzi ya kisiasa kuingilia mchakato wa kisheria jambo hili limeendelea hata kwenye taasisi za kiulinzi na usalama ambapo jana ulipita msamaha mwingine kwa JKT waliogoma na kufukuzwa.

Sasa utaona ni namna gani misamaha inazidi kujichimbia zaidi katika Taifa letu badala ya kufuata sheria na kuheshimu mamlaka.

Kwa kufanya hivi tunakua tunakatisha tamaa watendaji wa taasisi zinaohusika na kusimamia utii wa sheria na usimamizi wa haki na pia tuna salimisha uhuru wetu kwa wanasiasa kwamba katika nchi hii maamuzi yote yatafanywa na wanasiasa tu.

Ushauri wangu ni kuhakikisha tunazipa uhuru zaidi taasisi zetu kuliko kuwekeza na kuongeza nguvu kwa wanasiasa.

Naliona Taifa letu likiangukia katika vurugu kubwa ya kutokuheshimu mamlaka wala kutii sheria kwani mwisho wa siku mwanasiasa ataingilia na hatimaye mhusika kuwa huru kwa matendo yake ambayo alipaswa kuwajibika nayo kisiasa.
 
Sasa hivi ndiyo umeliona Hilo baada ya Mbowe kuwa huru?? Kwanini naWanasiasa hao hao wanapotumia Mamlaka zao kuwaumiza/kuwaonea wale msiowapenda hamlalamiki??

Katiba Mpya ni muhimu vinginevyo utaendelea kuteseka. Hakuna yeyote aliyesalama Kwa Katiba hii ya sasa. Meza inaweza kupinduliwa wakati wowote na ukajikuta uko kwenye dimbwi la mateso.
 
Msamaha ni jambo jema sana kama binadamu na pia ni sehemu ya ibada. Kitabu kitakatifu cha biblia tunasoma maandiko yakisema samehe saba mara sabini ikiwa na maana kwamba msamaha hauna kikomo.

Vile vile kitabu hicho kinasema kwamba tuheshimu mamlaka iliyowekwa na Mungu na ya Kaisari tumpe kaisari na Mungu tumpe Mungu.

Awamu ya tano na sita tumeshuhudia misamaha ya kisiasa kwa baadhi ya watuhumiwa na hata wafungwa maarufu.

Nikianza na awamu ya tano tulishuhudia mfungwa maarufu Babu Seya na wanawe wakiachiwa huru.

Baada ya kuapishwa kuwa Rais, Samia alianza kwa kuwasamehe masheikh wa uamsho na kuwatoa mahabusu walikokuwako kwa kipindi kirefu, hiyo ilifuatiwa kwa kufutwa kesi nyingi sana zilizokuwa zikiendelea mahakamani, zikiwemo za Tundu Lisu Makamu Mwenyekiti wa Chadema.

Hivi majuzi baada ya kikao na viongozi wa Dini na maombi ya kumsamehe Mbowe , tuliona DPP akiingiza nia yake ya kutoendelea na kesi jambo lililomfanya mbowe kuwa huru.

Mambo yote hayo yaliyofanyika kama nilivyoainisha hapo awali katika bandiko langu hili utaona uhusiano wa moja kwa moja wa mamlaka ya Urais na vitendo hivyo.
Ikimaanisha kwamba maamuzi hayo yamekuwa influenced moja kwa moja na kiti.

Ili kesi iende mahakamani na mpaka maauzi ya mahakama yatolewe taasisi mbali mbali za nchi zinakuwa zimehusika, hapo tunakuwa na takukuru,polisi,idara ya usalama, DPP na mahakama.

Taasisi hizi kulingana na mfumo wa nchi yetu ni huru, zinapaswa kuwa huru katika kutekeleza majukumu yake ya kusimamia utiifu wa sheria kwa raia wote hapa nchini.

Michango ya wanasiasa katika taasisi hizo ni kama haipo kwani inapokuja swala la kusimamia sheria siasa inakua haina nafasi tena.

Kwa sasa tumekua tukishuhudia maombi na nguvu za kisiasa katika kumaliza maswala ya kisheria hiyo ni hatari kwani tunajenga Taifa la watu wanaotegemea huruma ya wanasiasa badala ya kufuata sheria.

Ukiachana na maamuzi ya kisiasa kuingilia mchakato wa kisheria jambo hili limeendelea hata kwenye taasisi za kiulinzi na usalama ambapo jana ulipita msamaha mwingine kwa JKT waliogoma na kufukuzwa.

Sasa utaona ni namna gani misamaha inazidi kujichimbia zaidi katika Taifa letu badala ya kufuata sheria na kuheshimu mamlaka.

Kwa kufanya hivi tunakua tunakatisha tamaa watendaji wa taasisi zinaohusika na kusimamia utii wa sheria na usimamizi wa haki na pia tuna salimisha uhuru wetu kwa wanasiasa kwamba katika nchi hii maamuzi yote yatafanywa na wanasiasa tu.

Ushauri wangu ni kuhakikisha tunazipa uhuru zaidi taasisi zetu kuliko kuwekeza na kuongeza nguvu kwa wanasiasa.

Naliona Taifa letu likiangukia katika vurugu kubwa ya kutokuheshimu mamlaka wala kutii sheria kwani mwisho wa siku mwanasiasa ataingilia na hatimaye mhusika kuwa huru kwa matendo yake ambayo alipaswa kuwajibika nayo kisiasa.
Hayo unayosema yangewezekana tu kama mihimili na idara zote zingekuwa HURU.. Kwa mazingira ya Tanzania ya ccm ambapo mahakama, polisi, nk wanatenda kazi kwa maelekezo toka juu, ghilba, fitina, uonevu, uongo, utapeli, nk, misamaha ni muhimu. Usisahau mashtaka karibu yote Kwa wanasiasa ni ya uonevu, kukomoa na kubambika!
 
Tunawakabidhi wanasiasa uhuru wetu wote.

Hata ile dhana ya kuwa na taasisi huru za kiraia inakuwa haipo tena.
Mbona umekuwa ukishangilia pindi wale was upande wako wanavyowanyanyasa ama kuwaonea wa upande wa pili🤔
 
Tunawakabidhi wanasiasa uhuru wetu wote.

Hata ile dhana ya kuwa na taasisi huru za kiraia inakuwa haipo tena.
Mwambie wenzio akina Tajiri Tanzanite Kinuju Idugunde Na Kiturilo Rais SSH amekatiza ghafla matamanio yenu ya kuona Mbowe anakula mvua za kutosha gerezani. Tuliwaambia Mbowe siyo sawa ba Jambazi lenu Sabaya hamkutaka kutuelewa. Ona sasa aibu imewashuka.
 
Wafuasi wa Magufuli ni kansa inayoitafuna nchi, Samia kama anataka aongoze vizuri serikali na chama chake inabidi hawa watu asiwaonee huruma..ni wahutu kutoka Burundi, wanachoelewa wao ni mauaji na kutumia nguvu
Samia shughulika na hii cancer kabla haijawa kubwa
 
Tunawakabidhi wanasiasa uhuru wetu wote.

Hata ile dhana ya kuwa na taasisi huru za kiraia inakuwa haipo tena.
Kumbe unaongelea dhana? Mimi tangu naanza kusoma andiko lako nilijua unaongelea uhalisia wa vyombo ulivyovitaka kuwa huru kumbe unaongelea dhana? Yaani hata wewe UNADHANI (dhana) kwamba viko huru. Kwa tàarifa yako na naamini Kwa ukongwe wako JF hata wewe unajua ila unajribu kujitoa fahamu Kwa sababu tu usiyemtaka yuko nje ya mahabusu, ila unajua Wazi nchi hii hakuna Mahakama huru, hakuna Polisi huru, Hakuna TISS huru(tena hawa ndo ovyo kuliko taasisi yoyote nchini), hakuna Bunge huru wala Hakuna Tume huru. Msiwe mnatoka nje kudanganya watu Kwa kutumia DHANA dhanifu ambazo hazina uhalisia. Kwa yuliyoshuhudia katika kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA katika kesi iliyoitwa ya Ugaidi huwezi kusema kuna Mahakama huru. Kwa tuliyoshuuudia kwenye kesi hii huwezi kusema kuna ofisi huru ya DPP, Kwanza Kwa kukubali kesi yenye ushahidi hafifu kama ule iende mahakamani na pili Kwa kufuta kesi ambayo imeestablish Prima fasie (hata kimchongo) eti iondolewe.
 
Na ndo maana tunataka katiba mpya itakayokata huu mzizi wa fitina, tunataka rais asiwe na mamlaka hii ya kuhodhi kila kitu, ili hata hawa wabambikaji kesi wasiwe wanafuata maelekezo ya mamlaka bali wafanye kazi kwa kufuata sheria na watakuwa na nguvu ya kuisimamia sheria
 
Wafuasi wa Magufuli ni kansa inayoitafuna nchi, Samia kama anataka aongoze vizuri serikali na chama chake inabidi hawa watu asiwaonee huruma..ni wahutu kutoka Burundi, wanachoelewa wao ni mauaji na kutumia nguvu
Samia shughulika na hii cancer kabla haijawa kubwa
Imbe.cile.
 
Sio kansa, ni fursa kwa demokrasia ya ushindani na nchi kwa ujumla.
Wafuasi wa Magufuli ni kansa inayoitafuna nchi, Samia kama anataka aongoze vizuri serikali na chama chake inabidi hawa watu asiwaonee huruma..ni wahutu kutoka Burundi, wanachoelewa wao ni mauaji na kutumia nguvu
Samia shughulika na hii cancer kabla haijawa kubwa
 
Kumbe unaongelea dhana? Mimi tangu naanza kusoma andiko lako nilijua unaongelea uhalisia wa vyombo ulivyovitaka kuwa huru kumbe unaongelea dhana? Yaani hata wewe UNADHANI (dhana) kwamba viko huru. Kwa tàarifa yako na naamini Kwa ukongwe wako JF hata wewe unajua ila unajribu kujitoa fahamu Kwa sababu tu usiyemtaka yuko nje ya mahabusu, ila unajua Wazi nchi hii hakuna Mahakama huru, hakuna Polisi huru, Hakuna TISS huru(tena hawa ndo ovyo kuliko taasisi yoyote nchini), hakuna Bunge huru wala Hakuna Tume huru. Msiwe mnatoka nje kudanganya watu Kwa kutumia DHANA dhanifu ambazo hazina uhalisia. Kwa yuliyoshuhudia katika kesi ya Mwenyekiti wa CHADEMA katika kesi iliyoitwa ya Ugaidi huwezi kusema kuna Mahakama huru. Kwa tuliyoshuuudia kwenye kesi hii huwezi kusema kuna ofisi huru ya DPP, Kwanza Kwa kukubali kesi yenye ushahidi hafifu kama ule iende mahakamani na pili Kwa kufuta kesi ambayo imeestablish Prima fasie (hata kimchongo) eti iondolewe.
Wanasiasa wa vyama vya upinzani ndio wanaoongoza kwa kuvunja sheria na kutoheshimu mamlaka wala hawatambui umuhimu wa kuitambua mihimili ya dola.

Lisu ; Rais amsamehe mbowe.

Zito ; Rais amsamehe Mbowe.

Viongozi wote hawa wawili wajuu kabisa hawajali mamlaka ilizonazo mihimili mingine wala hawaoni umuhimu wa kuwa na taasisi huru.

Hiyo katiba mpya ya nini kama hata hiyo iliyopo hakuna anayetaka kuiheshimu.
 
Wanasiasa wa vyama vya upinzani ndio wanaoongoza kwa kuvunja sheria na kutoheshimu mamlaka wala hawatambui umuhimu wa kuitambua mihimili ya dola.

Lisu ; Rais amsamehe mbowe.

Zito ; Rais amsamehe Mbowe.

Viongozi wote hawa wawili wajuu kabisa hawajali mamlaka ilizonazo mihimili mingine wala hawaoni umuhimu wa kuwa na taasisi huru.

Hiyo katiba mpya ya nini kama hata hiyo iliyopo hakuna anayetaka kuiheshimu.
Kila mara nakwambiaga jaribu kuficha ujinga na chuki zako kwa Wapinzani hasa Chadema. Halafu unajiita Layman,stroke imekula ubongo wako.
 
Kila mara nakwambiaga jaribu kuficha ujinga na chuki zako kwa Wapinzani hasa Chadema. Halafu unajiita Layman,stroke imekula ubongo wako.
Inashangaza wapinzani hao hao wakiwa vinara wa kukiuka katiba iliyopo huku wakidai mpya kwa mambo yale yale wanayoyakiuka katika ya Zamani.

Kuna haja gani ya kuwa na Takukuru, Mahakama, polisi na sheria za nchi kama matokeo ya kazi za mihimili hiyo ikitegemea political will.
 
Inashangaza wapinzani hao hao wakiwa vinara wa kukiuka katiba iliyopo huku wakidai mpya kwa mambo yale yale wanayoyakiuka katika ya Zamani.

Kuna haja gani ya kuwa na Takukuru, Mahakama, polisi na sheria za nchi kama matokeo ya kazi za mihimili hiyo ikitegemea political will.
Acha chuki zako , Tena upande unaoupigia debe kwa kukiuka Sheria na katiba yetu, usiseme Kwani hata shetani ana nafuuu🤪
 
Back
Top Bottom