Misamaha ya Kisiasa na hatari ya Taifa lisiloheshimu mamlaka wala kufuata Sheria

Misamaha ya Kisiasa na hatari ya Taifa lisiloheshimu mamlaka wala kufuata Sheria

Sio kansa, ni fursa kwa demokrasia ya ushindani na nchi kwa ujumla.
Hamna, hakuna demokrasia ya kufunga washindani wako wa kisiasa au kuwapiga risasi, hiki ndicho wafuasi wa Magufuli wanataka, sababu ndio ilikuwa njia ya Magufuli.

Hawataki siasa za kiushindani na za kistaarabu, wanataka ubabe wa kutumia dola dhidi ya washindani. Hii ni kansa
 
Wanasiasa wa vyama vya upinzani ndio wanaoongoza kwa kuvunja sheria na kutoheshimu mamlaka wala hawatambui umuhimu wa kuitambua mihimili ya dola.

Lisu ; Rais amsamehe mbowe.

Zito ; Rais amsamehe Mbowe.

Viongozi wote hawa wawili wajuu kabisa hawajali mamlaka ilizonazo mihimili mingine wala hawaoni umuhimu wa kuwa na taasisi huru.

Hiyo katiba mpya ya nini kama hata hiyo iliyopo hakuna anayetaka kuiheshimu.
Pumbavu mkubwa, hakuna mpinzani aliyesema Mbowe asamehewe, walisema Mbowe aachiwe, weka nukuu yao hapa wakisema Mbowe asamehewe wewe msukule wa Sabaya
 
Pumbavu mkubwa, hakuna mpinzani aliyesema Mbowe asamehewe, walisema Mbowe aachiwe, weka nukuu yao hapa wakisema Mbowe asamehewe wewe msukule wa Sabaya
Free Sabaya.
 
Pumbavu mkubwa, hakuna mpinzani aliyesema Mbowe asamehewe, walisema Mbowe aachiwe, weka nukuu yao hapa wakisema Mbowe asamehewe wewe msukule wa Sabaya
Mtu mwenye roho ya chuki Kwa wengine ni ngumu kuificha chuki yake.
 
Msamaha ni jambo jema sana kama binadamu na pia ni sehemu ya ibada. Kitabu kitakatifu cha biblia tunasoma maandiko yakisema samehe saba mara sabini ikiwa na maana kwamba msamaha hauna kikomo.

Vile vile kitabu hicho kinasema kwamba tuheshimu mamlaka iliyowekwa na Mungu na ya Kaisari tumpe kaisari na Mungu tumpe Mungu.

Awamu ya tano na sita tumeshuhudia misamaha ya kisiasa kwa baadhi ya watuhumiwa na hata wafungwa maarufu.

Nikianza na awamu ya tano tulishuhudia mfungwa maarufu Babu Seya na wanawe wakiachiwa huru.

Baada ya kuapishwa kuwa Rais, Samia alianza kwa kuwasamehe masheikh wa uamsho na kuwatoa mahabusu walikokuwako kwa kipindi kirefu, hiyo ilifuatiwa kwa kufutwa kesi nyingi sana zilizokuwa zikiendelea mahakamani, zikiwemo za Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema.

Hivi majuzi baada ya kikao na viongozi wa Dini na maombi ya kumsamehe Mbowe, tuliona DPP akiingiza nia yake ya kutoendelea na kesi jambo lililomfanya mbowe kuwa huru.

Mambo yote hayo yaliyofanyika kama nilivyoainisha hapo awali katika bandiko langu hili utaona uhusiano wa moja kwa moja wa mamlaka ya Urais na vitendo hivyo.

Ikimaanisha kwamba maamuzi hayo yamekuwa influenced moja kwa moja na kiti.

Ili kesi iende mahakamani na mpaka maauzi ya mahakama yatolewe taasisi mbali mbali za nchi zinakuwa zimehusika, hapo tunakuwa na takukuru,polisi,idara ya usalama, DPP na mahakama.

Taasisi hizi kulingana na mfumo wa nchi yetu ni huru, zinapaswa kuwa huru katika kutekeleza majukumu yake ya kusimamia utiifu wa sheria kwa raia wote hapa nchini.

Michango ya wanasiasa katika taasisi hizo ni kama haipo kwani inapokuja swala la kusimamia sheria siasa inakua haina nafasi tena.

Kwa sasa tumekua tukishuhudia maombi na nguvu za kisiasa katika kumaliza maswala ya kisheria hiyo ni hatari kwani tunajenga Taifa la watu wanaotegemea huruma ya wanasiasa badala ya kufuata sheria.

Ukiachana na maamuzi ya kisiasa kuingilia mchakato wa kisheria jambo hili limeendelea hata kwenye taasisi za kiulinzi na usalama ambapo jana ulipita msamaha mwingine kwa JKT waliogoma na kufukuzwa.

Sasa utaona ni namna gani misamaha inazidi kujichimbia zaidi katika Taifa letu badala ya kufuata sheria na kuheshimu mamlaka.

Kwa kufanya hivi tunakua tunakatisha tamaa watendaji wa taasisi zinaohusika na kusimamia utii wa sheria na usimamizi wa haki na pia tuna salimisha uhuru wetu kwa wanasiasa kwamba katika nchi hii maamuzi yote yatafanywa na wanasiasa tu.

Ushauri wangu ni kuhakikisha tunazipa uhuru zaidi taasisi zetu kuliko kuwekeza na kuongeza nguvu kwa wanasiasa.

Naliona Taifa letu likiangukia katika vurugu kubwa ya kutokuheshimu mamlaka wala kutii sheria kwani mwisho wa siku mwanasiasa ataingilia na hatimaye mhusika kuwa huru kwa matendo yake ambayo alipaswa kuwajibika nayo kisiasa.
Ndio maana wenzenu wakidai Katiba Mpya nyie mnawatukana!!...Haya sasa twendelee hivi hivi!!..Mlidhani wanaomba Kwa maslahi Yao na familia zao Tu!!.. Twendelee hivi hivi sasa
 
Wananchi wote, wakiwemo wanasiasa ni muhimu sana wajue Kila mtu anatakiwa atendewe kwa haki kwa mujibu wa sheria.
Utaratibu wa kisheria wa kushitaki ufuatwe kwa uwazi na haki siyo tu itendeke bali pia ionekane ikitendeka.
Kiwango cha uthibitisho bila shaka yoyote kwa mashitaka ya jinai kitumike mahakamani kama sheria inavyotaka na siyo hisia za jaji au hakimu.
Muhimu zaidi ni kwa watumishi wote wa uma wanaotakiwa na katiba kutojihusisha na siasa au kupendelea upande wowote wa vyama kuzingatia hilo na ikithbitika washughulikiwe kwa mujibu wa sheria.
 
Hamna, hakuna demokrasia ya kufunga washindani wako wa kisiasa au kuwapiga risasi, hiki ndicho wafuasi wa Magufuli wanataka, sababu ndio ilikuwa njia ya Magufuli.

Hawataki siasa za kiushindani na za kistaarabu, wanataka ubabe wa kutumia dola dhidi ya washindani. Hii ni kansa
Sio kansa kwa sasa kwa sababu hawana tena hayo mamlaka, kwa sasa mataga ni fursa.
 
Wananchi wote, wakiwemo wanasiasa ni muhimu sana wajue Kila mtu anatakiwa atendewe kwa haki kwa mujibu wa sheria.
Utaratibu wa kisheria wa kushitaki ufuatwe kwa uwazi na haki siyo tu itendeke bali pia ionekane ikitendeka.
Kiwango cha uthibitisho bila shaka yoyote kwa mashitaka ya jinai kitumike mahakamani kama sheria inavyotaka na siyo hisia za jaji au hakimu.
Muhimu zaidi ni kwa watumishi wote wa uma wanaotakiwa na katiba kutojihusisha na siasa au kupendelea upande wowote wa vyama kuzingatia hilo na ikithbitika washughulikiwe kwa mujibu wa sheria.
Wanasiasa wanatengeneza matabaka.

Kwamba wakifanya makosa hata kama ni makosa kweli kwakua ni wanasiasa basi wanahitaji huruma yetu that is totally wrong.

Lazima tujenge utaratibu kwamba mtu anakuwa accountable kwa matendo yake.
 
Msamaha ni jambo jema sana kama binadamu na pia ni sehemu ya ibada. Kitabu kitakatifu cha biblia tunasoma maandiko yakisema samehe saba mara sabini ikiwa na maana kwamba msamaha hauna kikomo.

Vile vile kitabu hicho kinasema kwamba tuheshimu mamlaka iliyowekwa na Mungu na ya Kaisari tumpe kaisari na Mungu tumpe Mungu.

Awamu ya tano na sita tumeshuhudia misamaha ya kisiasa kwa baadhi ya watuhumiwa na hata wafungwa maarufu.

Nikianza na awamu ya tano tulishuhudia mfungwa maarufu Babu Seya na wanawe wakiachiwa huru.

Baada ya kuapishwa kuwa Rais, Samia alianza kwa kuwasamehe masheikh wa uamsho na kuwatoa mahabusu walikokuwako kwa kipindi kirefu, hiyo ilifuatiwa kwa kufutwa kesi nyingi sana zilizokuwa zikiendelea mahakamani, zikiwemo za Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema.

Hivi majuzi baada ya kikao na viongozi wa Dini na maombi ya kumsamehe Mbowe, tuliona DPP akiingiza nia yake ya kutoendelea na kesi jambo lililomfanya mbowe kuwa huru.

Mambo yote hayo yaliyofanyika kama nilivyoainisha hapo awali katika bandiko langu hili utaona uhusiano wa moja kwa moja wa mamlaka ya Urais na vitendo hivyo.

Ikimaanisha kwamba maamuzi hayo yamekuwa influenced moja kwa moja na kiti.

Ili kesi iende mahakamani na mpaka maauzi ya mahakama yatolewe taasisi mbali mbali za nchi zinakuwa zimehusika, hapo tunakuwa na takukuru,polisi,idara ya usalama, DPP na mahakama.

Taasisi hizi kulingana na mfumo wa nchi yetu ni huru, zinapaswa kuwa huru katika kutekeleza majukumu yake ya kusimamia utiifu wa sheria kwa raia wote hapa nchini.

Michango ya wanasiasa katika taasisi hizo ni kama haipo kwani inapokuja swala la kusimamia sheria siasa inakua haina nafasi tena.

Kwa sasa tumekua tukishuhudia maombi na nguvu za kisiasa katika kumaliza maswala ya kisheria hiyo ni hatari kwani tunajenga Taifa la watu wanaotegemea huruma ya wanasiasa badala ya kufuata sheria.

Ukiachana na maamuzi ya kisiasa kuingilia mchakato wa kisheria jambo hili limeendelea hata kwenye taasisi za kiulinzi na usalama ambapo jana ulipita msamaha mwingine kwa JKT waliogoma na kufukuzwa.

Sasa utaona ni namna gani misamaha inazidi kujichimbia zaidi katika Taifa letu badala ya kufuata sheria na kuheshimu mamlaka.

Kwa kufanya hivi tunakua tunakatisha tamaa watendaji wa taasisi zinaohusika na kusimamia utii wa sheria na usimamizi wa haki na pia tuna salimisha uhuru wetu kwa wanasiasa kwamba katika nchi hii maamuzi yote yatafanywa na wanasiasa tu.

Ushauri wangu ni kuhakikisha tunazipa uhuru zaidi taasisi zetu kuliko kuwekeza na kuongeza nguvu kwa wanasiasa.

Naliona Taifa letu likiangukia katika vurugu kubwa ya kutokuheshimu mamlaka wala kutii sheria kwani mwisho wa siku mwanasiasa ataingilia na hatimaye mhusika kuwa huru kwa matendo yake ambayo alipaswa kuwajibika nayo kisiasa.
Taasisi zetu zinashindwa kuutumia uhuru walionao wanakimbilia kujipendekeza kwa Rais ili wapandishwe vyeo,tumeona maamuzi ya ovyo kabisa yakitolewa na tume ya uchaguzi,tumeona takukuru wakifuta kesi nyingi tu walizobambikia watu.tumeona majaji walipandishwa vyeo kwa kutoa maamuzi ya ovyoovyo kwenye mahakama za chini nakuja kutupiliwa mbali kwenye mahakama za juu
 
Back
Top Bottom