D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
kweli wewe popoma kwahiyo kujilalamisha kama mtoto wa kike unategemea Nini hebu futa upupu wako mwanaume halalamiki anajituma tuHuwa naamn jamii forum ina watu wa kuigana sana kila mtu mkuu alafu wanapenda kutajana sana utazani wao ndo waazilishi wa hii platform na wanaamin watu wengne hawawez kupost kitu cha maana kwakuwa sio flan kapost huwa nawadharau sana weng wenu ndo maana misamiat ni ile ile ya mkuu na papuchi
umeshaelewa mkuuBado najifunza [emoji144]
kipochi manyoya
Spend less,save more![emoji53][emoji53][emoji53]
Spend after savingsSpend less,save more![emoji53][emoji53][emoji53]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]!.......Unafaa kuolewa my dear!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23] [emoji23] [emoji23]!.......Unafaa kuolewa my dear!
Tatizo ni vile mimi huwa napenda chura ningepropose my dear![emoji4][emoji4][emoji4]
policccmIfuatayo ni misamiati inayotumika kwa wingi na pengine kwa upekee tu hapa JF kiasi cha kwamba ukitumia kwenye mitandao mingine ya kijamii unaweza usieleweke;
Mkuu
Chattle wakiamaanisha Chato
Mkulu
Ngosha
Karibu mwanajukwaa Uendeleze na wewe misamiati hiyo
jiongezePambana na hali yako
bwana yuleIfuatayo ni misamiati inayotumika kwa wingi na pengine kwa upekee tu hapa JF kiasi cha kwamba ukitumia kwenye mitandao mingine ya kijamii unaweza usieleweke;
Mkuu
Chattle wakiamaanisha Chato
Mkulu
Ngosha
Karibu mwanajukwaa Uendeleze na wewe misamiati hiyo
Hahahaha chura ananesanesaTatizo ni vile mimi huwa napenda chura ningepropose my dear![emoji4][emoji4][emoji4]
Wewe chura ipo?[emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji24][emoji24][emoji24]