D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
kweli wewe popoma kwahiyo kujilalamisha kama mtoto wa kike unategemea Nini hebu futa upupu wako mwanaume halalamiki anajituma tuHuwa naamn jamii forum ina watu wa kuigana sana kila mtu mkuu alafu wanapenda kutajana sana utazani wao ndo waazilishi wa hii platform na wanaamin watu wengne hawawez kupost kitu cha maana kwakuwa sio flan kapost huwa nawadharau sana weng wenu ndo maana misamiat ni ile ile ya mkuu na papuchi