Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD)

Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD)

PhD zimekuwa nyingi kama njugu siku hizi aiseee subiri keshokutwa utaskia amekuwa Prof ukiuliza machapisho yake yapo wapi utapigwa dana dana mpaka basi
 
Not true, his real name is Misanya Bingi, I went to school with some of his sisters.
Weee ulikua unakunya.baada ya mavi kuwa magumu mno ,ili upunguze stress, Ghafla ukachukua simu na kuvamia Uzi huu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] em weka simu chini umalizie kukaa gogo Hilo ndo urudi hapa kukoment mmfffyyyuuuu
 
Weee ulikua unakunya.baada ya mavi kuwa magumu mno ,ili upunguze stress, Ghafla ukachukua simu na kuvamia Uzi huu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] em weka simu chini umalizie kukaa gogo Hilo ndo urudi hapa kukoment mmfffyyyuuuu
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Wapi Mike Mhagama kama sijakosea jina
Yuko America alikuwa anasoma na kufanya kazi pia ila sijui ni radio ama studio, ila maisha yake na familia yake now ni America.
 
  • Thanks
Reactions: ram
Safi sana ushauri mzuri huu,hebu ona watu kama kina Zuckenberg,Bill Gates etc......elimu zao za kawaida tu lkn wana pesa mbaya......muhimu tu mtu uwe na elimu ya kawaida harafu unaanza kutafuta chapaa.....ukizipata unaweza panga kusoma sasa tena!!
sure mkuu
 
Tangu uanze kuzitafuta hizo pesa ulishazipata?

Watanzania kwa kuropoka, TUKO VIZURI SANA
mkuu mbona povu...ulikuwa ni ushauri tu ...ila watanzania wengi tunapenda vyeo vya elimu/kusoma....lakin hatupendi kujishughulisha kiphd-na manisha kufanya utofauti katika kile unachokifanya...kwa nini tusiwaze kama hivi tunavyotamani kupata phd tukaweka nguvu kwa hicho unachokifanya kikawa kikubwa na chakitofauti...hivi vyeo vya elimu,wengi wamekufa na stress...baada ya kinua mgongo kuisha pasipo kuelewa! ukienda mahali ukiulizwa sana kuhusu elimu mwisho masters,napo kama ikitokea...lakin 'unafanya nini?' hili lipo kila karibu utako-network... is there anybody is asking about the level of education of Bakharesa?

Huu ni mtazamo wangu,na ushauri,its not a binding law kuwa lazima ufate...noh noh;so povu lisikutoke! so far so good,watanzania tunapenda sana kusoma,naelimu yetu we also useless...inasikitisha!
Stay Focus
 
Weee ulikua unakunya.baada ya mavi kuwa magumu mno ,ili upunguze stress, Ghafla ukachukua simu na kuvamia Uzi huu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] em weka simu chini umalizie kukaa gogo Hilo ndo urudi hapa kukoment mmfffyyyuuuu
Pole sana kwa Ugumu ya Marsha na stress zap Bongo. Unakuwa maana ya vacation? Basi Mimi nipo vacation?
 
Weee ulikua unakunya.baada ya mavi kuwa magumu mno ,ili upunguze stress, Ghafla ukachukua simu na kuvamia Uzi huu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] em weka simu chini umalizie kukaa gogo Hilo ndo urudi hapa kukoment mmfffyyyuuuu
I use IPad by the way, not fake phones from China.
 
Hongera yako Misanya Bingi,nakumbuka mapozi yako wakati ukitangaza enzi zilee,sijui bado unayo prof.??
 
Gpa yake undergraduate ilikua ya kubebwa sana na alikua abajipendekeza kwa walim balaa kweli walimbeba akaoata gpa kubwa. Ninachotaka kusema ni kwamba hakua bright!..hata hivyo hongera zake kujipendekeza kumemlipa!..
Kumbe unakumbuka aisee! Nafikiri tulikuwa pamoja. Misanya a libe wa undergraduate ni kweli kabisa....si kuamini prof.chachage (marehemu) angeweza kufanya hivyo. Mbise nafikiri ndiye aliqualify kupata udhamini wa kusoma masters ila Bingi alitembeza hela .
 
Unaweza kujipendekeza undergraduate ila sio mpaka Doctorate, hata yeye aliyajua haya ndio maana akakakomaa pale pale UDSM, sawa undergraduate hakuwa mkali kihivyo ila alijipanga sana kwenye MA, kwa wale waliosimamiwa naye kwenye seminer rooms watalithibitisha hili maana hawakuwa wakiamini ila mwishoni walimkubali. Sasa kafunga midomo yote kwa kupiga Uzamivu.... Na uprofesa huoooo ukizingatia bado yupo chuoni anafindisha. Hongera sana Mdau
Wewe utakuwa ulikuwa m wanafunzi wake. Sisi tulikuwa ma - class mate wake....ni mawili tofauti.
 
Acha chuki wewe na majungu, mbona we hukujipendekeza?
By the way, hongera sana Misanya Bingi
Siyo chuki kama alinunua GPA tusiseme? Wote tuliomaliza 200 5 unalijua hilo .
 
mkuu mbona povu...ulikuwa ni ushauri tu ...ila watanzania wengi tunapenda vyeo vya elimu/kusoma....lakin hatupendi kujishughulisha kiphd-na manisha kufanya utofauti katika kile unachokifanya...kwa nini tusiwaze kama hivi tunavyotamani kupata phd tukaweka nguvu kwa hicho unachokifanya kikawa kikubwa na chakitofauti...hivi vyeo vya elimu,wengi wamekufa na stress...baada ya kinua mgongo kuisha pasipo kuelewa! ukienda mahali ukiulizwa sana kuhusu elimu mwisho masters,napo kama ikitokea...lakin 'unafanya nini?' hili lipo kila karibu utako-network... is there anybody is asking about the level of education of Bakharesa?

Huu ni mtazamo wangu,na ushauri,its not a binding law kuwa lazima ufate...noh noh;so povu lisikutoke! so far so good,watanzania tunapenda sana kusoma,naelimu yetu we also useless...inasikitisha!
Stay Focus

For that reason, UNASHAURI WATANZANIA WOTE TUWE MABAKHRESA????
 
Nakumbuka amewahi kutukanwa kwenye kipindi cha kipusa Na msikilizaji mmoja aliempigia simu, nilijisikia vibaya sana, Na yeye alipoa sana ila ndio hivyo maisha lazima yawe Na vikwazo.!
 
Back
Top Bottom