Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,442
Nimesikitika. Duniani hapa tunapitaKafariki bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikitika. Duniani hapa tunapitaKafariki bhana
Same herrsame to me
yaani target zangu ni kua PHD kwa uwezo wa maanani na naomba uzima tu
Ha haaMbona umechelewa sana? Mimi siku niliyomuona Mrema akipita na farasi na matarumbeta City center Dar kuonesha degree yake basi tangu siku ile niliamini i can be anything i want.
Life is a journey comradeDaah kweli sisi binadamu tunapita , kutoka kupewa hongera mpaka RIP
Hamna, kabaki nayo mkewe.Kaondoka na PhD yake... So sad
...ahahahaaaaHamna, kabaki nayo mkewe.
Nimepokea kwa shock taarifa ya kifo cha Misanya Bingi, nilifanya nae mahojiano wakati wa msiba wa Uncle J.===========
View attachment 364200
Mtangazaji Mkongwe wa Radio nchini, DR. Misanya Bingi.
Aliyepata kuwa mtangazaji mahiri wa ITV ambaye sasa ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam jana alitunukiwa cheti chake cha PhD na sasa anajulikana kama Dkt Misanya Bingi.
JamiiForums inakupongeza kwa hatua hiyo na kukuombea wepesi huko kwenye uprofesa unakoelekea, hasa baada ya kutetea vyema andiko lako la "Female Circumcision" kwenye thesis yako.
Ni matumaini yetu wanafunzi wako wote hapo Sociology Dept. wanafurahi.
Hongera mwayego...... When one door is closed many others are open..
1. Poleni wahudumu Calabash,
2. Poleni Wanafunzi idara ya Sosholojia
3. Pole mjane
Alikuwa anapenda kwenda Calabash ehh1. Poleni wahudumu Calabash,
2. Poleni Wanafunzi idara ya Sosholojia
3. Pole mjane