Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD)

Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD)

===========

View attachment 364200
Mtangazaji Mkongwe wa Radio nchini, DR. Misanya Bingi.

Aliyepata kuwa mtangazaji mahiri wa ITV ambaye sasa ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam jana alitunukiwa cheti chake cha PhD na sasa anajulikana kama Dkt Misanya Bingi.

JamiiForums inakupongeza kwa hatua hiyo na kukuombea wepesi huko kwenye uprofesa unakoelekea, hasa baada ya kutetea vyema andiko lako la "Female Circumcision" kwenye thesis yako.

Ni matumaini yetu wanafunzi wako wote hapo Sociology Dept. wanafurahi.

Hongera mwayego...... When one door is closed many others are open..
Nimepokea kwa shock taarifa ya kifo cha Misanya Bingi, nilifanya nae mahojiano wakati wa msiba wa Uncle J.

RIP MISANYA DISMAS BINGI!
P.
 
Back
Top Bottom