mpndz
Member
- Sep 28, 2011
- 80
- 46
PhD sio makaratasi bhanaHamna, kabaki nayo mkewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PhD sio makaratasi bhanaHamna, kabaki nayo mkewe.
me tageti yangu ni kupanda DILIMULAINI tu 😎same to me
yaani target zangu ni kua PHD kwa uwezo wa maanani na naomba uzima tu
1. Poleni wahudumu Calabash,
2. Poleni Wanafunzi idara ya Sosholojia
3. Pole mjane
Mzee Pascal hii imenigusa sana!! Sana!! Maisha ni fumbo ...Nimepokea kwa shock taarifa ya kifo cha Misanya Bingi, nilifanya nae mahojiano wakati wa msiba wa Uncle J.
RIP MISANYA DISMAS BINGI!
P.
It's so sad, tumemuaga leo, anazikwa kesho kijijini kwao, Dodoma.Mzee Pascal hii imenigusa sana!! Sana!! Maisha ni fumbo ...
Ulishapatasame to me
yaani target zangu ni kua PHD kwa uwezo wa maanani na naomba uzima tu
Si mbaya mkuu naona una PhD ya kutweet na followers Kama wote mkuuMi nataka kuchukua phd ya mambo ya upasuaji hasa wa postrate
Miaka 9 imepita toka ulipotoa hiyo kauli, je umefikia wapi tupate moyo.Same to me
Yaani target zangu ni kuwa PHD kwa uwezo wa maanani na naomba uzima tu
...hatimaye na wewe umeweza and now ni PhD holder.Mbona umechelewa sana? Mimi siku niliyomuona Mrema akipita na farasi na matarumbeta City center Dar kuonesha degree yake basi tangu siku ile niliamini i can be anything i want.
Kusoma phd ni Woga wa maishaSame to me
Yaani target zangu ni kuwa PHD kwa uwezo wa maanani na naomba uzima tu
Flora Nducha kitambo sana!!...safi sana hiyo..Florah Nducha na Aunt Ndina je,wapi hawa masista?
Flora Nducha yupo Marekani VOA kama sikosei na Sunday Shomari....safi sana hiyo..Florah Nducha na Aunt Ndina je,wapi hawa masista?
"Sunday Shomari,wapi Monica Mfumia" Enzi za Diamond sound!! Kitambo sana hiyo!!Flora Nducha yupo Marekani VOA kama sikosei na Sunday Shomari.