Supercomputer
JF-Expert Member
- Feb 13, 2021
- 634
- 1,311
I) Leo kwangu kesho kwake
ii) Aliyempa yeye ndo aliyeninyima mimi
iii) Kama ipo ipo tu
Ongezea na wewe
ii) Aliyempa yeye ndo aliyeninyima mimi
iii) Kama ipo ipo tu
Ongezea na wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku moja tulikuwa tumekaa kijiweni. Akapita tajiri mmoja wa mtaa tunaoishi kwenye Range Rover mpya, kali sana. Alikuwa anajukana kwa utajiri wake. Tulikuwa tumekaa na mzee mmoja, akaanza kuchoma choma ardhi kwa kijiti, tena kwa ghalabu huku akisema, ''hata uendeshe gari gani, wote njia yetu ni moja tu, tunaelekea huku'', akimaanisha ardhini. Na mara wote tuliokuwa pale tukajisikia kuliwazika na tukajiona na furaha, kama tumetua mzigo mzito.I)Leo kwangu kesho kwake
ii)Aliyempa yeye ndo aliyeninyima mimi
iii)Kama ipo ipo tu
Ongezea na wewe
HahahahaSiku moja tulikuwa tumekaa kijiweni. Akapita tajiri mmoja wa mtaa tunaoishi kwenye Range Rover mpya, kali sana. Alikuwa anajukana kwa utajiri wake. Tulikuwa tumekaa na mzee mmoja, akaanza kuchoma choma ardhi kwa kijiti, tena kwa ghalabu huku akisema, ''hata uendeshe gari gani, wote njia yetu ni moja tu, tunaelekea huku'', akimaanisha ardhini. Na mara wote tuliokuwa pale tukajisikia kuliwazika na tukajiona na furaha, kama tumetua mzigo mzito.
Hahahaha na Kuna hii ya kingereza "one day yes" imekaa kizembe sana😅😅💔Pesa sio kila kitu. Hii kauli ya kishujaa sana 🤣
Halafu losers wengi ndio kauli yetu hii.Hahahaha na Kuna hii ya kingereza "one day yes" imekaa kizembe sana😅😅💔
umaskini huoSiku moja tulikuwa tumekaa kijiweni. Akapita tajiri mmoja wa mtaa tunaoishi kwenye Range Rover mpya, kali sana. Alikuwa anajukana kwa utajiri wake. Tulikuwa tumekaa na mzee mmoja, akaanza kuchoma choma ardhi kwa kijiti, tena kwa ghalabu huku akisema, ''hata uendeshe gari gani, wote njia yetu ni moja tu, tunaelekea huku'', akimaanisha ardhini. Na mara wote tuliokuwa pale tukajisikia kuliwazika na tukajiona na furaha, kama tumetua mzigo mzito.
Kuimba kupokezanaI)Leo kwangu kesho kwake
ii)Aliyempa yeye ndo aliyeninyima mimi
iii)Kama ipo ipo tu
Ongezea na wewe