Misemo gani ya kijinga na kipumbavu watu hutumia kufarijiana?

Misemo gani ya kijinga na kipumbavu watu hutumia kufarijiana?

I)Leo kwangu kesho kwake
ii)Aliyempa yeye ndo aliyeninyima mimi
iii)Kama ipo ipo tu
Ongezea na wewe
Siku moja tulikuwa tumekaa kijiweni. Akapita tajiri mmoja wa mtaa tunaoishi kwenye Range Rover mpya, kali sana. Alikuwa anajukana kwa utajiri wake. Tulikuwa tumekaa na mzee mmoja, akaanza kuchoma choma ardhi kwa kijiti, tena kwa ghalabu huku akisema, ''hata uendeshe gari gani, wote njia yetu ni moja tu, tunaelekea huku'', akimaanisha ardhini. Na mara wote tuliokuwa pale tukajisikia kuliwazika na tukajiona na furaha, kama tumetua mzigo mzito.
 
Siku moja tulikuwa tumekaa kijiweni. Akapita tajiri mmoja wa mtaa tunaoishi kwenye Range Rover mpya, kali sana. Alikuwa anajukana kwa utajiri wake. Tulikuwa tumekaa na mzee mmoja, akaanza kuchoma choma ardhi kwa kijiti, tena kwa ghalabu huku akisema, ''hata uendeshe gari gani, wote njia yetu ni moja tu, tunaelekea huku'', akimaanisha ardhini. Na mara wote tuliokuwa pale tukajisikia kuliwazika na tukajiona na furaha, kama tumetua mzigo mzito.
Hahahaha
 
Siku moja tulikuwa tumekaa kijiweni. Akapita tajiri mmoja wa mtaa tunaoishi kwenye Range Rover mpya, kali sana. Alikuwa anajukana kwa utajiri wake. Tulikuwa tumekaa na mzee mmoja, akaanza kuchoma choma ardhi kwa kijiti, tena kwa ghalabu huku akisema, ''hata uendeshe gari gani, wote njia yetu ni moja tu, tunaelekea huku'', akimaanisha ardhini. Na mara wote tuliokuwa pale tukajisikia kuliwazika na tukajiona na furaha, kama tumetua mzigo mzito.
umaskini huo
 
Back
Top Bottom