We ulininyima lift kwenye basi lako, nakwambia hivi malipo ni hapa hapa ipo siku tuMsemo huu wenye wivu wanaupenda sana hata ukinunua baiskeli siku wakikuona uko kwa mguu wanautumia kisa tu ulimtimulia vumbi
Ubaya wa misemo ya kiswahili inapingana yenyewe kwa yenyewe mfanoWe ulininyima lift kwenye basi lako, nakwambia hivi malipo ni hapa hapa ipo siku tu
Kuna swali la Kiswahili la kidato cha Nne,ambalo huuliza baadhi ya misemo,nahau na methali zimepitwa na wakati.JadiliUbaya wa misemo ya kiswahili inapingana yenyewe kwa yenyewe mfano
"Subira huvuta heri" inapingwa na
"Ngoja ngoja utakuta mwana si wako"
Hata huu wa Malipo ni hapahapa itakua tu na msemo mwingine wa kuupinga
Mfano wa misemo iliyopitwa na wakati niKuna swali la Kiswahili la kidato cha Nne,ambalo huuliza baadhi ya misemo,nahau na methali zimepitwa na wakati.Jadili
Sasa kama wewe ndio unapambana kwa juhudi zako binafsi, Huyo Mungu haitajiki na hana msaada wowote.Kumuachia haimaanishi uwe Mzembe , watu wasiosoma vizuri maandiko ndio wanatafsiri na kutumia vibaya huo msemo .Lakini hata mafundisho yameelekeza mtu apambane ili kufanikiwa .
Kumuachia Mungu katika utafutaji ni kunahusisha kufanya jitihada na nyenzo muhimu ili kupata kitu hiko na kutovuka mipaka mfano kutumia njia haramu kama uuaji ,dhuluma ,ufuska nk pamoja na kutokata tamaa na kuwa na dhana nzuri juu yako na Mwenyezi Mungu wakati wa shida au mambo yakienda tofauti na matarajio na kuendelea kupambana katika njia nzuri na Bora.
πππInategemea unautumia katika nyakati gani...... Mfano umelala tu unajisikia uvivu kutoka kwenda kwenye mishe unajifariji na "aah maisha ndo haya haya" hapa uvivu unajijaza na uvivu tena
Mbaya sana hiiKila mtoto huja na sahani yake