1.Yatima hadeki.
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni.
4. Usiyempenda kaja.
5. Kobe hapimwi joto.
6. Acha kazi uone kazi kupata kazi.
7. Ukichezea koki utalowa.
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo.
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa.
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe.
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki.
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi.
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee.
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa.
25. Tako nalo lina nywele lakin hazinyolewi.
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake.
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Wakijifanya Mapanya sisi Paka tupo.
Ongeza na yako!