Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Hii niliona kwenye dirisha la nyuma kwenye matatu za kwenda machakos toka nairobi.OSU,MAKU! tena zimeandika kwa herufi kubwa!Yaani USO,K-M-A!Matusi hadharani!
 
Hii niliona kwenye dirisha la nyuma kwenye matatu za kwenda machakos toka nairobi.OSU,MAKU! tena zimeandika kwa herufi kubwa!Yaani USO,K-M-A!Matusi hadharani!

Unamaanisha OSA MAKU, Yaani chukua yako. Wala sio matusi.
Ina maana kwamba kama unafikiri nilichukua majini nitajirike, kachukue yako.
 
Jamani hapa bongo utakutana na daladala zina majina kiboko,mimi natupia baadhi nawe tupia yako hapo chini..
1. Majungu mliyo yapika sasa mtayapakua...
2. Nenda kaseme tena..
3. Gusa unate..
4. Flag ya chuma..
5. Masikini hafilisiki..

1;utam wa chipsi mimba
2;ukiona sketi za shule zinakuzuzua mshonee mkeo
3;utamu wa pipi mate
4:ukitaka kujua tabia ya mkeo filisika
5; Hata bibi alikuwa binti
6: paka haishi kwa msela
 
1;utam wa chipsi mimba
2;ukiona sketi za shule zinakuzuzua mshonee mkeo
3;utamu wa pipi mate
4:ukitaka kujua tabia ya mkeo filisika
5; Hata bibi alikuwa binti
6: paka haishi kwa msela

hahahahaha. namba 1 & 2 noma.
 
Back
Top Bottom