Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

''NORIEGA WANTED PANAMA CITY'' Mwenge Gongo la Mboto! ......wkt uleee Rais Noriega akitafutwa na MAREKANI, ajili ya kuuza madawa ya kulevya akakimbilia ubalozi wa vaticanQ
 
Nimekunja sura kisha baada ya kwenda mbele kidogo nikatabasamu nilipogundua kwamba kumbe ni changamsha genge tu umeweka

Anyways hii comment yako ngoja niikariri kisha nitakukamata pahala!
 
Nimekunja sura kisha baada ya kwenda mbele kidogo nikatabasamu nilipogundua kwamba kumbe ni changamsha genge tu umeweka

Anyways hii comment yako ngoja niikariri kisha nitakukamata pahala!
Ningejikataa sana! km ungenielewa kirahisi! sisi uzao wetu huaga tuneleweka baaadaye sana! vizazi vya mbele hukooo! km Yesu wangemuelewa,asili yake wallah! wasingethubutu kumuua!

lkn waliomuelewa hata kumi hawafiki, na mie pia ivoivo! mdo tulivo!...siyo kosa lako! ila vinsaba vyako!
 
Nimekunja sura kisha baada ya kwenda mbele kidogo nikatabasamu nilipogundua kwamba kumbe ni changamsha genge tu umeweka

Anyways hii comment yako ngoja niikariri kisha nitakukamata pahala!

[emoji23][emoji23]
 
Uzao gani? Uandishi tu ufyoko.. acha kujipaisha kwenye hamna tuliza kipele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…