Kuna moja uiliandikwa "UKIONA USISEME". Siku moja ikapata ajali, ikagota kwenye mtaro, kila aliyepita akasoma yale maneno yaliyoandikwa kwenye masaburi ya gari, akaenda zake. Lol, ilichukua siku tatu hadi kupata msaada
mganga haagizi tembele,,,,,,,,MBAGALA TO POSTA
ushuzi bora wa mwaka haukauki harufu.........MBAGALA TO MBANDE
shuzi limepata mjambaji......MBAGALA TO MWEMBEKIUNO