Mie nliwahi kuiona misemo hii:
01. Mganga haagizii samaki
02. Ni kweli lakini hayakuhusu
03. Hata kwetu wapo
04. Jino moja
05. Kula tutakula ila tutachelewa
06. Kula ni kula mbaya kukomba mboga
07. Kumchinja kobe kwataka taiming
08. Ndio basi tena
09. Njaa haina baunsa
10. Hapo vipi??
11. Tatizo muda
12. Kaseme tena
13. Msafara wa mamba na kenge pia wamo
14. Gari bayaaaaaaaa, babako analo?
15. Tatizo mboga
16. Jogoo hafi kwa utitiri
17. Mbuzi yake kamba
18. Kunguru hafugiki
19. Midege isiyoliwa
20. Zimebaki stori
21. Kunya anye kuku akinya bata kaharisha
:welcome: